SAY NO TO RAPE : Incidents of sexual violence, particularly rape and defilement against students, have been on the rise in various areasUkiangalia wengi wa wale wanaoishabikia CCM ni wale wanaolipwa au kufaidika kibinafsi na uwepo wa CCM. Labda ni viongozi, au wazazi na ndugu zao ni viongozi au wanufaika wa CCM kwa namna moja au nyingine.
Ni wakati mzuri sasa wa kuondokana na CCM na mfumo waliokwisha kuujenga kwa miaka zaidi ya 60 na kuendelea nchini. Ni chama ambacho wenye maslahi yao binafsi ndio wanakitegemeza na ndio maana hofu kubwa na kutanda kwa polisi Dar ni kwasababu ya hofu ya Umma wa watanzania ambao wengi hawakipendi chama hiki.
Kipi Bora kulipwa na CCM (Tanzania) au Mabeberu?Ukiangalia wengi wa wale wanaoishabikia CCM ni wale wanaolipwa au kufaidika kibinafsi na uwepo wa CCM. Labda ni viongozi, au wazazi na ndugu zao ni viongozi au wanufaika wa CCM kwa namna moja au nyingine.
Ni wakati mzuri sasa wa kuondokana na CCM na mfumo waliokwisha kuujenga kwa miaka zaidi ya 60 na kuendelea nchini. Ni chama ambacho wenye maslahi yao binafsi ndio wanakitegemeza na ndio maana hofu kubwa na kutanda kwa polisi Dar ni kwasababu ya hofu ya Umma wa watanzania ambao wengi hawakipendi chama hiki.
Yote hayo ni mambo ya hovyo. Bora kupigania haki, demokrasia na uhuru wa watanzania.Kipi Bora kulipwa na CCM (Tanzania) au Mabeberu?
Haki ya nani? Vibaraka wa Mabeberu?Yote hayo ni mambo ya hovyo. Bora kupigania haki, demokrasia na uhuru wa watanzania.
Haki na uhuru wa watanzania na wewe ukiwepo. Kwanini nyie CCM mnapenda kuwanyanyasa raia sana?Haki ya nani? Vibaraka wa Mabeberu?
Watanzania wanaendelea na mishe zao, vibaraka wa Mabeberu ndio wanataka kuleta taharukiHaki na uhuru wa watanzania na wewe ukiwepo. Kwanini nyie CCM mnapenda kuwanyanyasa raia sana?
Mzee Mbowe akifariki nitalewa usiku kucha walaiSamia akifa siwezi kulia
Mkuu hata hao ulio wataja namo wamo wanao ichukia ccmUkiangalia wengi wa wale wanaoishabikia CCM ni wale wanaolipwa au kufaidika kibinafsi na uwepo wa CCM. Labda ni viongozi, au wazazi na ndugu zao ni viongozi au wanufaika wa CCM kwa namna moja au nyingine.
Ni wakati mzuri sasa wa kuondokana na CCM na mfumo waliokwisha kuujenga kwa miaka zaidi ya 60 na kuendelea nchini. Ni chama ambacho wenye maslahi yao binafsi ndio wanakitegemeza na ndio maana hofu kubwa na kutanda kwa polisi Dar ni kwasababu ya hofu ya Umma wa watanzania ambao wengi hawakipendi chama hiki.