Wanyakyusa punguzeni uchawi kwa wageni tuje kuwekeza mbeya

Wanyakyusa punguzeni uchawi kwa wageni tuje kuwekeza mbeya

Status
Not open for further replies.
Watani zangu wanyakyusa tulieni ndo dawa inaingia taratibu leo mmepatikana huyu BLESSINGS ni fyatu kupita maelezo atawachambua mpaka mjione choo
 
Mchukulieni huyu blessings kama mtu wa utani jamani. mkikasirika humu mtapasuka bure tu
 
Mimi nampinga kwasababu anatukana Wanyakyusa na kutudharau sababu ya imani zake za kichawi,ana maneno ya maudhi sana kwanza anaongea bila tafiti,pili anataka kulazimisha watu waamini uchawi kama yeye anavyo amini! ningeweza kukaa kimya kama angesema mbeya wachawi nisinge jali maana ni ujinga wake ana amini hivyo lakini kusema watu wa mbeya wa hovyo sana kwakweli hapo hajatutendea haki kabisa na hii thread hajaanzia huku ipo hata kwenye jukwaa la biashara ametukana sana,so ulitaka nikae kimya? hivi Tz tukianza kutukana hivyo huoni hiyo ni mbegu mbaya sana ya chuki? mfano wewe mtu akikomaa humu jamii forum kwamba watu wa kwenu wa hovyo sana ana attack kabila unaona hicho kitu kiko sawa kweli?

so mimi kinacho niudhi ni hicho tu,kwamba watu wa mbeya wa hovyo tu! Watanzania tumeanza kuwa hivyo siku hizi!hiyo hoja yako ya kudhuriwa watu wa aina flani hivi wewe na akili zako timamu unamini maneno ya kijinga hivyo? ingekuwa kweli kwa matusi yote haya aliyotukana kwani watu wa mbeya hao mnaowadharau maana sijui nyie ni wa mkoa gani ambao bora sana,si wangemloga tu siyo? maana amewatukana! hapo huwezi kweli kufikili tu ukaona huo ni upumbavu tu wakutaka kutakana watu? au JF Imegueka kijiwe cha wendawazimu na mabingwa kutukana watu hapa.

Mambo ya maana tumeacha kujadili tumeanza kuoneshana ubora wa makabila wakati wageni wanachukua mali asili yetu yote!ukiwadaharu watu wa mbeya yeye anatoka wapi ambao wao ni watanzania wa maana sana kuliko wale mbeya? mimi nilidhani sisi wote ni watanzania tuko sawa kumbe wengine wanajiona ni bora sana kuliko wengine!binafsi siwezi mdharau mtu sababu ya kabila,dini,rangi wala mkoa anaotoka hata siku moja,nimekua na watanzania wenzangu tumesoma wote mpaka elimu ya juu kabisa na wala sijawahi jiona mimi kabila langu ni bora zaidi kuliko wengine maana huo ni ujinga wa hali juu kabisa.Wenzetu Wanyarwanda wanajenga umoja wanakataa ujinga huu sisi mijitu inapalilia ukabila,umkoa,ukanda as if hatukuona madhara waliyopata.

Pole sana, umeandika huku ukiwa na uchungu na hasira isiyomithirika. Walimwengu ndivyo tulivyo tunanyoosheana kidole wakati vingine vikiturudia wenyewe.
 
Si kina Nicholas huwa wanajitapa huko kwenu kwa maana sana? kwanini msiende fanyia biashara kwenu?
Ndio umeniita kuja thibitisha kwanini pressionair waliona hakuna maana?Hata bima hawajui umuhimu wake?
 
Last edited by a moderator:
Ndio umeniita kuja thibitisha kwanini pressionair waliona hakuna maana?Hata bima hawajui umuhimu wake?


Wapo wenye hadhi ya kutupa huduma ya bima sio hao..

Kwenu mbona hampeleki hizo huduma?
 
Nilijaribu kufungua ofisi ya bima mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa(wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya. Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo. WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi
Ungeongezea pia hawataki wachaga..du km kiarabu..Ni wazi sasa kiarabu kimekuwa ni lugha ya wachawi bongo...kule AR napo jamaa wa TRA chatu wake kauwawa...kitambaa kimeandikwa maandishi km minyoo imemwagwa juu ya kitambaa.Maandisho ya lugha Ritz hawezi pumua bila yenyewe. Sasa hawa jamaa wanati aiabu ,hawajuia umuhimu wa bima?au bima yao imewekwa ktk giza....?
 
Wapo wenye hadhi ya kutupa huduma ya bima sio hao.. Kwenu mbona hampeleki hizo huduma?
Haha....bima nayo ina wenye Hadhi...?Bima ni za serikali wengine ni mawakala tuu kima wewe....utakuwa umeapauka km wenzio mafuta yanadunda.....Mlidhani Bima inapigwa mali kauri?ndio maana mmemind mshikaji.Nyie kwa mizinga..na masifa ktk starehe hamjambo.Wenzenu KIL wapo mbali.....hizo bima hadi wamkwenda kwa watu wa vichakani....sasa msaidiwe vipi nyie....hata mkipewa office sifa ktk starehe huwa zinawamaliza mkufa ngoma mkiwa mmepauka km chungu.iliyoganda majivu.mkiletwa watu kuwafundisha mnawafanyia huo ujinga..mnawachuna ngozi...mnawapiga nondo...bado saana alluuuuuu nyie.
 
Haha....bima nayo ina wenye Hadhi...?Bima ni za serikali wengine ni mawakala tuu kima wewe....utakuwa umeapauka km wenzio mafuta yanadunda.....Mlidhani Bima inapigwa mali kauri?ndio maana mmemind mshikaji.Nyie kwa mizinga..na masifa ktk starehe hamjambo.Wenzenu KIL wapo mbali.....hizo bima hadi wamkwenda kwa watu wa vichakani....sasa msaidiwe vipi nyie....hata mkipewa office sifa ktk starehe huwa zinawamaliza mkufa ngoma mkiwa mmepauka km chungu.iliyoganda majivu.mkiletwa watu kuwafundisha mnawafanyia huo ujinga..mnawachuna ngozi...mnawapiga nondo...bado saana alluuuuuu nyie.


Laanakum...

Mtoto wa haramu
 
Laanakum... Mtoto wa haramu
Wewe ndio mwandishi kile kitambaa cha kiarabu kilichofungwa yule Chatu wa jamaa wa TRA Arusha na huko mbeya nini?naona unashuka lugha ambayo hata ukimwaga minyoo, spagheti, mizizi ya miti, nyoka lazima waone neno la lugha yao....kila siku lazima waone mirako ktk kila kitu kinachofanana na minyoo....au mizizi.
 
Haha....bima nayo ina wenye Hadhi...?Bima ni za serikali wengine ni mawakala tuu kima wewe....utakuwa umeapauka km wenzio mafuta yanadunda.....Mlidhani Bima inapigwa mali kauri?ndio maana mmemind mshikaji.Nyie kwa mizinga..na masifa ktk starehe hamjambo.Wenzenu KIL wapo mbali.....hizo bima hadi wamkwenda kwa watu wa vichakani....sasa msaidiwe vipi nyie....hata mkipewa office sifa ktk starehe huwa zinawamaliza mkufa ngoma mkiwa mmepauka km chungu.iliyoganda majivu.mkiletwa watu kuwafundisha mnawafanyia huo ujinga..mnawachuna ngozi...mnawapiga nondo...bado saana alluuuuuu nyie.

Watu wa Mbeya tuliambiwa wachaga ni wabuguzi ona sasa matusi hayo na ngoja muipigie CHADEMA kura maana wao wanajiona wako juu ya makabila mengine mtakoma!Mimi nimeisha watoa maana washenzi tu,mnajifanya watu wa kufundisha sijui kufundisha kitu gani? nimekaa kwenu miaka mitano sijaona huo uwalimu mlionao zaidi ya wizi tu.
 
Nilijaribu kufungua ofisi ya bima mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa(wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya. Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo. WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi

Kwanini mnahangaika naye huyu jamaa?. Hata ofisi hakufungua......yeye ALIJARIBU tu..........ila hakufungua. Watu wa biashara na uwezekaji wanaweza kutusaidia hapa: Huyu jamaa ni mgeni mbeya, yeye sio kampuni (network), ila ghafla anataka kujaribu kufungua ofisi sehemu nne tofauti..., hamuoni kuwa ana shida huyu , hana elimu ya uwezekaji nahisi hata ya mambo ya Bima. Ndio wale wale badala ya kufanya tathmini ya kisayansi ...anakimbilia majibu mepesi NIMELOGWA. Makampuni 90% ya Bima Mbeya yanaendeshwa na watu ambao hata sio wenyeji wa Mkoa wa Mbeya
 
Nilijaribu kufungua ofisi ya bima mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa(wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya. Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo. WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi

Umeamua kujipaisha uonekane umo. Ubongo wako hauna uwezo wa kibiashara. Business strategies hakuna kichwani mwako. Mbeya wachaga wamejaa na hawana mpango wa kuondoka. Wapemba wamejazana mbeya, wasukuma wamezifanya wilaya za mbalali na chunya kuwa zao na wala hawabugudhiwi na wenyeji. Mashirika ya bima mbeya yako mengi na inaonyesha ulipoingia kama ni kweli ulifanya hivyo hukutambua kuwa biashara yoyote ina washindani. Ulijiona wewe TANESCO.

Lakini nafikiri wewe ni mmoja wa yale makabila yanayoendekeza ngoma za baikoko na kigodoro. Mbeya hakuna mdundiko mkuu ulikuwa na nafasi ya kufanya vizuri kama akili ingekuwa timamu. Biashara ya bima si ya kukaa ofisini unakaa kwenye kiti cha kuzunguka huku ukicheza game kwenye PC. Inahitaji kujituma.

MCHAWI ANAWAJUA WACHAWI WENZIE.
 
To be honest it seems you are running out of idea,do not blame people for your own failures, work hard you will leap what you are your 're working and God blessing.
 
To be honest it seems you are running out of idea,do not blame people for your own failures, work hard you will leap what you are your 're working and God blessing.

biashara yenyewe alikuwa anajaribu
 
mtoa mada mm nmekaa na kusoma mbeya naujuaa huo mkoa vizuri mbona sijawahi ona mambo hayo ya ulozi....mbeya nakumbuka kulikuwa na wanyakyusa, wakinga, wasafwa etc.....kwangu mm mbeya ndiyo mkoa mojawapo ambao sitokuja kusahau maishani mwangu kwani nilijifunza mambo mengi sanaaaa.. blessings
 
Last edited by a moderator:
Je wale matajiri wa mbeya wafuga majoka wapo Vamponji,kasisi mbeya balaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom