Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni,

Hapa utakutana na mzee mnonezi, mzee micheli, Ndailos, na Mzee Aganyila, hawa ni watu maarufu wanaoratibu shughuli mbali mbali pamoja na

1.Kuhakikisha wanapata uwakilishi katika ngazi mbali mbali katika nchi ya Tanzania, sekta mbali mbali,

2. Uhakika wa kupata pa kuhifadhi wakimbizi wapya wanaokuja kinyemela ndani ya misitu ya kimisi, Runzewe na biharamulo kasindaga,

3. Kuhakikisha wanaratibu wanyarwanda wote wanaoishi Tanzania kunyonya iwezekanavyo na kutuma hela nyumbani,

4.Kuyatatua matatizo yaliyowapata wenzao sehem mbali mbali Tanzania,

Majimbo ambayo wamefanikiwa kuyakamata mpaka sasa hivi
1.Wilaya nzima ya Muleba, lile ni koloni rasmi la wanyarwanda, kuanzia Mubunda, Bihija, Ngote, Kanyeranyere mpaka ziwa Burigi,

2. Wilaya ya karagwe , mabila, nkwenda, kishao na kaisho,

3.Biharamulo yote

4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini

5.kigoma baadhi ya maeneo


Sekta ambazo mpaka sasa wamekalia
1.askari polisi na magereza wamepata mpaka ukuu wa magereza yaan bwana jera

2. TRA
3.uhamiaji
4. TCRA
5. Bungeni pia


Lakini kaa mkijua mpango wenu wa kuhakikisha jamaa fulani anakuwa rais hatutakubali sisi kama.watanzania wema , hatutakubali kupangiwa rais na Rwanda kisa kulinda maslahi yenu ya ukanda huu hapa tumekataa sana

Wale vijana watatu wanaotaka kusajiliwa sekta nyeti tumeshapata taarifa na kuwanyima.vibali vya kuwa nchini

BIG UP MZEE MAGUFULI

Ila punguza urafiki na Kagame

Kudadadeki wallahi, Mmaaaa!!!!!!!
 
4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini
BIG UP MZEE MAGUFULI
Ila punguza urafiki na Kagame
Mkuu Bratinicca, inaelekea unawajua sana hawa imposters wa banyamulege wanaojifanya Wasukuma!, kiukweli watu hawa ni hatari sana kwa ustawi wa taifa letu, haswa wanavyojua kujipenyeza na kuganda kama luba, vipi kuhusu yule Katto, uliotueleza kwenye uzi ule, alizaliwa wapi, jee wazazi wake halisi ni kina nani na walitokea wapi kabla hawajalowea hapo walipolewea, huyu Katto siku hizi yuko wapi, na kama alibadili jina, kwa nini alibadili jina na sasa anaitwa nani na ana wadhifa gani hapo alipo?.

Paskali
 
Mkuu Bratinicca, inaelekea unawajua sana hawa imposters wa banyamulege wanaojifanya Wasukuma!, kiukweli watu hawa ni hatari sana kwa ustawi wa taifa letu, haswa wanavyojua kujipenyeza na kuganda kama luba, vipi kuhusu yule Katto, uliotueleza kwenye uzi ule, alizaliwa wapi, jee wazazi wake halisi ni kina nani na walitokea wapi kabla hawajalowea hapo walipolewea, huyu Katto siku hizi yuko wapi, na kama alibadili jina, kwa nini alibadili jina na sasa anaitwa nani na ana wadhifa gani hapo alipo?.

Paskali
Mkuu Pascal Mayalla Ni vigumu sana kuizungumzia historia ya Kato ukiwa huru, ilibidi isemwe mapema kabla Kato hajawa mkubwa, maana karagwe kakaa kidogo babu yake kabla hawajaamia maeneo uhakika,

Hawa banyamulenge ni watu hatari kwa ustawi wa amani ya Taifa letu,

Watu wakifika wanabadiri majina kwa usiri mkubwa,

Kuna mmoja alikuja wakati wa wakimbizi mwaka 1994, nimesoma naye shule Moja sasa hivi ni bwana jela na serikali imempeleka ivory coast kusoma zaid
 
Naona kanda ya ziwa imekuwa ikichukiwa bila sababu kwa mda mrefu sasa hasa makabila yake. Hivi kuwa Mhaya, Mzinza au Mnyambo ni kosa?.
Kuna Wayao, wachaga na Wanyakyusa wote wapo mipakani lakini hakuna chuki dhidi yao kama kwa makabila ya Kanda ya ziwa na Kigoma.
Inabidi mbadilike na mitazamo hasi iliyoota mizizi.
 
Mkuu Pascal Mayalla Ni vigumu sana kuizungumzia historia ya Kato ukiwa huru, ilibidi isemwe mapema kabla Kato hajawa mkubwa, maana karagwe kakaa kidogo babu yake kabla
hawajaamia maeneo uhakika,

Hawa banyamulenge ni watu hatari kwa ustawi wa amani ya Taifa letu,


Watu wakifika wanabadiri majina kwa usiri mkubwa,

Kuna mmoja alikuja wakati wa wakimbizi mwaka 1994,
nimesoma naye shule Moja sasa hivi ni bwana jela na serikali imempeleka ivory coast kusoma zaid
Jela gani Mkuu
Jela gani kaka
 
Back
Top Bottom