Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Kuna yoyote anayezungumzia criminals hapa?. Hapa tunazungumzia impostors wa kibanyamulenge, posing as Tanzanians.

P.
Ukisema wanajipenyeza kupata power kama watu wengine wanazuiwa haileti maana. Wote tuna nafasi sawa. Mtu akilala usimuamshe...ila haya maandishi ya namna hii yanaleta chuki na kuwaga watu. Kama hakuna ukweli anayeyasambaza anastahili kuwajibika

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Ukisema wanajipenyeza kupata power kama watu wengine wanazuiwa haileti maana. Wote tuna nafasi sawa. Mtu akilala usimuamshe...ila haya maandishi ya namna hii yanaleta chuki na kuwaga watu. Kama hakuna ukweli anayeyasambaza anastahili kuwajibika

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
sio mimi ninayesema wanajipenyeza to the positions of power, bali walikuwepo, hadi jeshini, walipobainika wamejulikana, walikimbia wenyewe na wengine walifukuzwa, tatizo sasa ni wale waliolowea, kuzaliwa, kusomea na kuzungumza lugha za wenyeji ambao ni very hard to detect.

Paskali
 
Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni,

Hapa utakutana na mzee mnonezi, mzee micheli, Ndailos, na Mzee Aganyila, hawa ni watu maarufu wanaoratibu shughuli mbali mbali pamoja na

1.Kuhakikisha wanapata uwakilishi katika ngazi mbali mbali katika nchi ya Tanzania, sekta mbali mbali,

2. Uhakika wa kupata pa kuhifadhi wakimbizi wapya wanaokuja kinyemela ndani ya misitu ya kimisi, Runzewe na biharamulo kasindaga,

3. Kuhakikisha wanaratibu wanyarwanda wote wanaoishi Tanzania kunyonya iwezekanavyo na kutuma hela nyumbani,

4.Kuyatatua matatizo yaliyowapata wenzao sehem mbali mbali Tanzania,

Majimbo ambayo wamefanikiwa kuyakamata mpaka sasa hivi
1.Wilaya nzima ya Muleba, lile ni koloni rasmi la wanyarwanda, kuanzia Mubunda, Bihija, Ngote, Kanyeranyere mpaka ziwa Burigi,

2. Wilaya ya karagwe , mabila, nkwenda, kishao na kaisho,

3.Biharamulo yote

4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini

5.kigoma baadhi ya maeneo


Sekta ambazo mpaka sasa wamekalia
1.askari polisi na magereza wamepata mpaka ukuu wa magereza yaan bwana jera

2. TRA
3.uhamiaji
4. TCRA
5. Bungeni pia


Lakini kaa mkijua mpango wenu wa kuhakikisha jamaa fulani anakuwa rais hatutakubali sisi kama.watanzania wema , hatutakubali kupangiwa rais na Rwanda kisa kulinda maslahi yenu ya ukanda huu hapa tumekataa sana

Wale vijana watatu wanaotaka kusajiliwa sekta nyeti tumeshapata taarifa na kuwanyima.vibali vya kuwa nchini

BIG UP MZEE MAGUFULI

Ila punguza urafiki na Kagame
Mhh,,,,,,,,,,,,,,,,,,sawa
 
sio mimi ninayesema wanajipenyeza to the positions of power, bali walikuwepo, hadi jeshini, walipobainika wamejulikana, walikimbia wenyewe na wengine walifukuzwa, tatizo sasa ni wale waliolowea, kuzaliwa, kusomea na kuzungumza lugha za wenyeji ambao ni very hard to detect.

Paskali
We do not have an immune from the world of espionage. Kuna taarifa zinaibwa na wageni, wazawa walionunuliwa na hata wengine kwa sababu ya itikadi zao au imani za kisiasa. Inatokea hivyo Marekani, Israel, Russia na kwingineko.

Kwanini tunafikiria wao ni threat zaidi ya tamaa ya madaraka, kutowajibika na kunakoonyeshwa na baadhi yetu? Mbona baadhi yetu walipopewa madaraka wakaleta hatari sababu ya kujipendelea waziwazi wao na familia zao?

Kabla ya kuamua kwa baadhi yetu kwamba hii ndio karata ya kutuvusha kisiasa kipindi hiki, vema tuangalie changamoto zake baadae.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
ongea kiswahili,mada yote ipo kiswahili na wa tanzania wanachangia kwa kiswahili fasaha acha ulimbukeni wa kinyarwanda hapa
Unachekesha sana. Kila asiyekubaliana na hoja hii dhaifu unamuita mnyarwanda. Siasa zenu za majungu na fitna hazitawapeleka mnakotaka kufika.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
kiukwel hawa watu hawafai mm kwetu chato kachwamba yaan ukienda eneo moja ichwankima wameshanunua maeneo kibao na wanalima sana asa hv kama wasukuma, pia wengi wao wamekuwa wasukuma kabisa kwa mtu ambae sio msukuma ni raisi kuwaamin kuwa ni wasukuma, mara nyingi ukikutana nao huwa wanataja makabila matatu, yaan " mnyambo, muhangaza au msukuma" yaan ichwankima kwa sasa ndo wao kila kitu nashaangaa serikali ipo inawafaham kabisa na wanawaona kila siku wakishusha mijengo pale na kununua maeneo. hawa niwatu hatari sana kwa miaka ijayo, maana ata Rwanda historia inaonyesha walifika kama kikundi kidogo kikitokea somalia na sudani wakiwa na mifugo, kwa sasa wahutu wote walishatawanywa na kubaki watusi ambao wanazid kujipanua, serikali liangalieni sana hili mbelen ni hatari sana kwa ustawi wa nchi yetu, tusifurahie kuwaoa na kuwawenda ndani tukiamin ni watu wema kwetu
REF; Walaka wa Mchungaji Mtikila@KAGAME APENYEZA WANYARWANDA 5000 WENYE SILAHA' Viongozi wenye mapenzi mema na hii nchi msipuuze hii inshu sisi tunaotoka haya maeneo tunawafaham vizuri sn hawa watu

Hizi chuki tulizonazo kwa watu wenye asili ya nchi jirani tuengezielekeza kwa mafisadi wanaotukwamisha maendeleo. Tungekuwa mbali sana
 
Back
Top Bottom