Wanyaturu ni kabila pekee lisilo na athari ya lugha kimatamshi; Wanawake wapo pia ni wakali sana

Wanyaturu ni kabila pekee lisilo na athari ya lugha kimatamshi; Wanawake wapo pia ni wakali sana

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
6,373
Reaction score
16,073
Hakuna kitu inakera unalikuta lidada linachanganya "R" na "L" kwenye matamshi.

Unakuta ni msomi au mzuri tu lakini unamsikia anatamka "chakuRa" au "ajaRi". "UsijaRi baby" !!

Nikikutana na lidada linaongea Kiswahili cha "R" "R" kama mgambo wa Congo huwa naghairi kumzagamua kabisa. Namnasa makofi na kumtimua.

Ukikutana na Wanyaturu hadi raha. wale watu wanaongea Kiswahili fasaha bwana hata kama lafudhi yao sio tamu sana lakini Kiswahili chao ni mwaaaahhh!!

Unakuta lidada linavuruga tu Chakura, usijaRiiiiii, SijaRaaa, kwa kwelii lazima nikubamize makofi.

Wanyaturu hongereni kwa Kiswahili Kizuri. Ni kati ya lugha pekee nchini ambayo haijaathiri matamshi ya Kiswahili.

Makabila yote mengine lazima ukute wana shida za "R" na "L". Wanachefua mno.

Raha ya mpenzi ajue Kiswahili bwana! mambo ya kufokeana kama wakurya hapana!

SijaRAA! Ebo!
 
Hakuna kitu inakera unalikuta lidada linachanganya "R" na "L" kwenye matamshi.

Unakuta ni msomi au mzuri tu lakini unamsikia anatamka "chakuRa" au "ajaRi". "UsijaRi baby" !!

Nikikutana na lidada linaongea Kiswahili cha "R" "R" kama mgambo wa Congo huwa naghairi kumzagamua kabisa. Namnasa makofi na kumtimua.

Ukikutana na Wanyaturu hadi raha. wale watu wanaongea Kiswahili fasaha bwana hata kama lafudhi yao sio tamu sana lakini Kiswahili chao ni mwaaaahhh!!

Unakuta lidada linavuruga tu Chakura, usijaRiiiiii, SijaRaaa, kwa kwelii lazima nikubamize makofi.

Wanyaturu hongereni kwa Kiswahili Kizuri. Ni kati ya lugha pekee nchini ambayo haijaathiri matamshi ya Kiswahili.

Makabila yote mengine lazima ukute wana shida za "R" na "L". Wanachefua mno.

Raha ya mpenzi ajue Kiswahili bwana! mambo ya kufokeana kama wakurya hapana!

SijaRAA! Ebo!
Wanaoweza kutofautisha maneno kiboko Yao wairaq, ila ni wabaguzi sana Hawa viumbe usiombe kabsa.
 
Hakuna kitu inakera unalikuta lidada linachanganya "R" na "L" kwenye matamshi.

Unakuta ni msomi au mzuri tu lakini unamsikia anatamka "chakuRa" au "ajaRi". "UsijaRi baby" !!

Nikikutana na lidada linaongea Kiswahili cha "R" "R" kama mgambo wa Congo huwa naghairi kumzagamua kabisa. Namnasa makofi na kumtimua.

Ukikutana na Wanyaturu hadi raha. wale watu wanaongea Kiswahili fasaha bwana hata kama lafudhi yao sio tamu sana lakini Kiswahili chao ni mwaaaahhh!!

Unakuta lidada linavuruga tu Chakura, usijaRiiiiii, SijaRaaa, kwa kwelii lazima nikubamize makofi.

Wanyaturu hongereni kwa Kiswahili Kizuri. Ni kati ya lugha pekee nchini ambayo haijaathiri matamshi ya Kiswahili.

Makabila yote mengine lazima ukute wana shida za "R" na "L". Wanachefua mno.

Raha ya mpenzi ajue Kiswahili bwana! mambo ya kufokeana kama wakurya hapana!

SijaRAA! Ebo!
We kuna thread moja umejitambulisha kuwa wewe ni wa kike! Kwaiyo kumbe una jinsia mbili mwenzetu??
 
Hakuna kitu inakera unalikuta lidada linachanganya "R" na "L" kwenye matamshi.

Unakuta ni msomi au mzuri tu lakini unamsikia anatamka "chakuRa" au "ajaRi". "UsijaRi baby" !!

Nikikutana na lidada linaongea Kiswahili cha "R" "R" kama mgambo wa Congo huwa naghairi kumzagamua kabisa. Namnasa makofi na kumtimua.

Ukikutana na Wanyaturu hadi raha. wale watu wanaongea Kiswahili fasaha bwana hata kama lafudhi yao sio tamu sana lakini Kiswahili chao ni mwaaaahhh!!

Unakuta lidada linavuruga tu Chakura, usijaRiiiiii, SijaRaaa, kwa kwelii lazima nikubamize makofi.

Wanyaturu hongereni kwa Kiswahili Kizuri. Ni kati ya lugha pekee nchini ambayo haijaathiri matamshi ya Kiswahili.

Makabila yote mengine lazima ukute wana shida za "R" na "L". Wanachefua mno.

Raha ya mpenzi ajue Kiswahili bwana! mambo ya kufokeana kama wakurya hapana!

SijaRAA! Ebo!
Iringa ni waathirika wakubwa wa lugha ya kiswahili...inatia kinyaa kutumia R kwenye L na L kwenye R
Inakata mzuka hatari
 
Back
Top Bottom