BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchanganya L na R kama ni mpenzi wako, she makes you become downer.unajua maana ya nsuri? msee wangu inatumika kama utani tu, ila huo uduanzi wa kuchanganya r na l hatunaga sisi.
mara ya kwanza kwenda kanda ya ziwa nilikuwa nawakosoa sana na hzo r l zao, mwishowe nikachoka.Kuchanganya L na R kama ni mpenzi wako, she makes you become downer.
Umber luluSijawahi kuona mnyakyusa mrembo!
Ndio wameshazoea na hawafanyi mipango ya kujitoa huko.mara ya kwanza kwenda kanda ya ziwa nilikuwa nawakosoa sana na hzo r l zao, mwishowe nikachoka.
kuna demu nilimpataga mkali balaa kishundu si kishundu halafu sio mchoyo kila nitakachamuomba jbu lake huwa.....ni wewe tu, ila sasa hajui kutamka jina lake, anaitwa Flora ila yeye huwa anatamka Flola, nilishamsahihisha mpaka mwishowe nikaamua kumuacha alivo.Ndio wameshazoea na hawafanyi mipango ya kujitoa huko.
Gigy sio mrembo?Sijawahi kuona mnyakyusa mrembo!
🤣🤣🤣Write your reply...Z NA S MANYARA KLM NA ARUSHA.NSURI MSEE WANGU
Wizo ake 😂😂😂😂
mamy ake 😂😂😂😂😂Wizo ake 😂😂😂😂
Wako wengi Sana
Beibeyyy 😘💋mamy ake 😂😂😂😂😂
NikweliHakuna kitu inakera unalikuta lidada linachanganya "R" na "L" kwenye matamshi.
Unakuta ni msomi au mzuri tu lakini unamsikia anatamka "chakuRa" au "ajaRi". "UsijaRi baby" !!
Nikikutana na lidada linaongea Kiswahili cha "R" "R" kama mgambo wa Congo huwa naghairi kumzagamua kabisa. Namnasa makofi na kumtimua.
Ukikutana na Wanyaturu hadi raha. wale watu wanaongea Kiswahili fasaha bwana hata kama lafudhi yao sio tamu sana lakini Kiswahili chao ni mwaaaahhh!!
Unakuta lidada linavuruga tu Chakura, usijaRiiiiii, SijaRaaa, kwa kwelii lazima nikubamize makofi.
Wanyaturu hongereni kwa Kiswahili Kizuri. Ni kati ya lugha pekee nchini ambayo haijaathiri matamshi ya Kiswahili.
Makabila yote mengine lazima ukute wana shida za "R" na "L". Wanachefua mno.
Raha ya mpenzi ajue Kiswahili bwana! mambo ya kufokeana kama wakurya hapana!
SijaRAA! Ebo!
Khaaaa matusiHahahahaaa.... Heheheee
Nio a' mwanyokwe! Munio wako mnyampaa.. 🤣🤣
Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain cocastic Mwifwa
😂😂😂Hakuna mnyakyusa mrembo wote wapo km masanamu ya vitisho
Hahahaha 😂 😂 ni kukoroma hatariwairaq sijawajua sana.
Shida lafudhi yao inadana dana sana kwenye koromeo.
Sio kweli,hawana ubaguzi wowote.Wanaoweza kutofautisha maneno kiboko Yao wairaq, ila ni wabaguzi sana Hawa viumbe usiombe kabsa.
Yule dada mwenye sura nzito kama futari ya miwa?Umber lulu