Wanyaturu ni kabila pekee lisilo na athari ya lugha kimatamshi; Wanawake wapo pia ni wakali sana

Wanyaturu ni kabila pekee lisilo na athari ya lugha kimatamshi; Wanawake wapo pia ni wakali sana

Ndio wameshazoea na hawafanyi mipango ya kujitoa huko.
kuna demu nilimpataga mkali balaa kishundu si kishundu halafu sio mchoyo kila nitakachamuomba jbu lake huwa.....ni wewe tu, ila sasa hajui kutamka jina lake, anaitwa Flora ila yeye huwa anatamka Flola, nilishamsahihisha mpaka mwishowe nikaamua kumuacha alivo.
 
Upande wa Mashariki
Upande wa Magharibi

Wanyaturu wanajua Lugha bwana hizo ni direction wanazotoa wanyaturu wakikuelekeza kwenda mahali huwezi potea.

Sio tu wanaijua lugha ya kiswahili vizuri ila hata ushamba hawana mnyaturu ukimleta mjini ni tofaut na muha,msukuma,mchaga na wengineo.

Japo hawana utajiri/matajiri ule mkoa ila n moja ya mikoa yenye watu smart lafudhi mpaka kichwani
 
Hakuna kitu inakera unalikuta lidada linachanganya "R" na "L" kwenye matamshi.

Unakuta ni msomi au mzuri tu lakini unamsikia anatamka "chakuRa" au "ajaRi". "UsijaRi baby" !!

Nikikutana na lidada linaongea Kiswahili cha "R" "R" kama mgambo wa Congo huwa naghairi kumzagamua kabisa. Namnasa makofi na kumtimua.

Ukikutana na Wanyaturu hadi raha. wale watu wanaongea Kiswahili fasaha bwana hata kama lafudhi yao sio tamu sana lakini Kiswahili chao ni mwaaaahhh!!

Unakuta lidada linavuruga tu Chakura, usijaRiiiiii, SijaRaaa, kwa kwelii lazima nikubamize makofi.

Wanyaturu hongereni kwa Kiswahili Kizuri. Ni kati ya lugha pekee nchini ambayo haijaathiri matamshi ya Kiswahili.

Makabila yote mengine lazima ukute wana shida za "R" na "L". Wanachefua mno.

Raha ya mpenzi ajue Kiswahili bwana! mambo ya kufokeana kama wakurya hapana!

SijaRAA! Ebo!
Nikweli
 
Back
Top Bottom