Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Nguruwe ni warafi!! Ukichukua mkate ukaunyunyizia Konyagi kubwa ukampa akala, dakika kumi nyingi, unabeba kama gogoKule Chunya kulikuwa sehemu salama kabisa ila tangu washkaji watie kambi ndio ikawa mara yangu ya kwanza kuweka historia kuwa miongoni mwa watu walioshuhudia vipaji vya kipekee katika swala zima la wizi.
Majamaa walikuwa wanaiba sana na kupora vipimo na sometimes walikuwa hadi wana wadhuru watu.
Ila moja ya tukio ambalo sikuwahi kufikiria kuwa inawezekana ni kitendo cha mtu kuiba nguruwe bila nguruwe kupiga kelele.
Mbozi na Songwe pako shwari sikuhizi , miaka ile ya nyuma ndio kulikuwa ni mji wenye uhalifu kuliko yote Tanzania hapa ,kuanzia ujambazi , uchunaji ngozi , mauaji ya kishirikina kama kupiga watu NONDO nk
si ukorofi ni ukweli mtupu tu🤣🤣🤣🤣We mkorofi
Basi hatari sanasi ukorofi ni ukweli mtupu tu
Huko umalila ni wapi? kabila gani linaishi uko? je nao ni wanga?Mkuu huku kwetu umalila msangule ni mtu aliyefariki afu baadae anaonekana anaishi sehemu nyingine tena japo kwa miaka hii sisikii sana.
Ila for sure issue ya wala nyama za watu ni complex sababu nazijua baadhi ya koo za kimalila zinasemekana ni masalia ya wanyamanyafu.
Hee![emoji2962]mkuu wewe ni wa kabila gani maana humu yametajwa makabila mengi.Naona kabila langu linashambuliwa
Ni kwasabb ya wingi wa wahutu na watusi.Kweli, Geita nayo inang'ara Kwa matukio
Dah.wanafanya mambo ya ajabuajabu sanaNi kwasabb ya wingi wa wahutu na watusi.
Mhe. Hasunga alikuwa waziri wa kilimo.nitajie ni myiha gani kashawahi kushika ngazi za juu za uongozi katika nchi hii!!!?? Mnaishia kuwa mamonita tu
Hata ule mto unaoita jirani na Meta Sec pale haipiti wiki maiti lazima maiti ziokotwe mle.kipindi nipo advance shule moja mbeya mjini 88, kuna jamaa nilikutana nae tulikua class 1 sasa akawa ananishawishi sana tuende Mbozi kutalii kuangalia Kimondo ila nilishindwa kumbe ndo kuna watu makatili kiasi ichi
Ila kati ya mikoa niliyoishi naona mbeya ni mkoa HATARI Sana for mine experience b'se kipindi tupo shule ilikua haipiti week lazima mtu auwae kwa mtaa wa mazingira ya shule pale b'se tulikua na teacher wetu wa phy alikua anakuja kutufundisha saa 11 alfajiri Kwaiyo akawa anatusimulia hayo matukio ili kutujaza upepo tupige kitabu b'se yeye amenajitoa muhanga kutoka kwake hadi shule wakati ambao ni HATARI kwake lakini anafanya hivyo kwaajili yetu
Alifariki kwa ajali ya gariKuna yule tajiri Wao anaitwa full doz Bado Yuko
[emoji1787][emoji1787]hapana mkuu ni Rungwe ila point yangu ni hiyo R nikimaanisha mother tongue ya kinyaki ni nadra sana kukuta R kama ilivyo kwa wamakonde wanatoka 'M'twara lkn wanatamka 'N'twara.Kwa hiyo Rungwe ni Lungwe?
Mkuu umewachana sana,inawezekana kweli walifanya hivyo ila sio wote walitenda hilo,usihukumu kabila zima kwa kosa la watu hata 20 tu...Mna roho mbayaaa nimesoma nao mbozi mission secondary school kote mlowo, vwawa, idiwili, itaka , igamba, mahenge, isansa mmejaa nyie tu mnaroho mbayaaa ya maviii hamfaiii na ndiyo maana mnajitenga mnaishi wenyewe Kwa wenyewe hata mbeya mjini hampo mmejificha maporini yaani nyie hamna tofauti na wasafwa wa uyole sijuii mliumbwa Kwa lengo gani hapa duniani? hamtaki kuchangamana na watu ni wabinafsi hampendi mtu asiye wa kabila lenu afanikiwe kazi tu kusema shonii, mwakata.... Mwakata uli .. haansiii wapuuzi wakubwa mlimteka kaka yangu mkamkata miguu Kisa alikatisha kwenye shamba la alizeti kule matula nawalaani miaka ALFU LELA ULELA.
Ndomana nilifirahi sana mkoa wa mbeya ulivyotenganishwa na liwilaya la mbozi lililojaa mahayawani watupu wasiojielewa.
Hebu nitajie ni myiha gani kashawahi kushika ngazi za juu za uongozi katika nchi hii!!!?? Mnaishia kuwa mamonita tu kwenye madarasa mliyojaa nyie watu wa hovyo miso na mfano..
Kwa kifupi nyie ni wapumbavu tu.
Duh,kwahyo shetani kabila lake ni hilo au??Wanyiha ni mashetani
Nimecheka sana paragraph ya mwisho mkuu. Nacheka tu peke yangu. Dah!Tumugoje tumuleshe?
Huo ndio msimbo wao, au password yao, ikiwa na maana "Tumuuwe au tumuache?"
Hawa watu ni wagumu sana kwenye mahusiano, ni makatili sana na Wana roho ya ajabu kabisa. Mwanamke anaweza kukuacha ndani u taabani, kwa kuumwa, akaenda kanisani akarudi usiku kisha akapitilizia kulala
Wabena hawana shida kabisa asee,ni watu wazuri sana yaani,Mungu awabariki sana.Yaani wote hawa wana matatizo ya kiakili
Unawajua wagogo vizuriwanadamu wote ni wabaya kama hawajaokoka. ila kiukweli ukiwachukua wale wasiomjua Mungu, weka hapa makabila mawili tu, kabila la wanyiha na warangi, ndugu yangu kimbia kwa nguvu zako zote ulizojaliwa. utanishukuru. ila wakimjua Mungu labda, la sivyo, nimeishi maisha mengi na maeneo mengi, sijawahi kuona watu kama hawa wawili.
Nyamanyafu ni ukoo ndugu na wandali na wanyakyusa wote ni wanyakyusa yaani ni sawa na mkagulu akisema Mimi sio mgogo ni mkagulu Mimi binafsi natokea koo ya nyamanyafuWanyamanyafu asili yao ni sumbawanga huko ila waliingia Mbeya miaka ya zamani sana baada ya kufukuzwa huko ndo wakajichimbia Ikuti huko ndo maana utaona kwa makabila mengi ya Mbeya kuanzia Wanyiha,wandali, wanyaki, wamalila kuna masalia ya hao jamaa.