Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

Nyamanyafu ni ukoo ndugu na wandali na wanyakyusa wote ni wanyakyusa yaani ni sawa na mkagulu akisema Mimi sio mgogo ni mkagulu Mimi binafsi natokea koo ya nyamanyafu
mkuu km hutajali naomba kujua haya

  • kwaiyo nyamanyafu ni ukoo na sio kabila?
  • kabila lenu ni lipi apo au wewe unajitambuulisha wa kabila lipi?
  • nn maana au asili ya ilo jina nyamanyafu?
 
Nilikuwa na demu anaitwa Neema, Mnyiha, nikipata ajali nikaumia vibaya sana, usiku huo hakirudi nyumbani akaenda kukesha bar na dada yake
Aisee hii ni kali kuliko, Neema alikosa neema kwakweli.
 
Sio kwa risala hii...yote hii ni ya wanyiha tu...hakuna hata mnyiha mmoja mwenye roho nzuri
 
Kumbe kila siku kuwasema wamachame bora hata wachagga wamachame
 
Haya Karibu Chuga Ujipatie Binti Cheupe dawa swafi si mnasema dada zetu nao ni wauaji Pole mkuu
 
Ila Mbeya kwa uchawi na ushirikina wanatisha aisee , halafu makanisa yaliyojaa sasa ,kila kona kanisa , utadhani nini .
Watu kila siku makanisani kuimba na kuserebuka ,ila uchawi sasa
Hilo ni tawi la Nigeria ya East Afrika yan Nigeria Makanisa kila kona ila nayo ni Machawi na makatili balaa
 
Wanyiha ndo nawasikia WARANGI nimeishi nao hahaha Asalam Malekoo😂😂😂
 
Nilimpaa mimba mlowo mnyihaa wa huko kamsamba,akaanza leta pigo za madawa Yao ya kienyejii.A nilikata mawasilianooo hapohapo na uzuri nilihamaaa mkoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…