Nkingwamh
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 290
- 210
Hapo kweli tumeingiliwa mkuu, tundu lisu angekua kapewa discharge tungeandamatu!mambo yetu hadi tuonyeshe cheti cha ndoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kweli tumeingiliwa mkuu, tundu lisu angekua kapewa discharge tungeandamatu!mambo yetu hadi tuonyeshe cheti cha ndoa?
Ni yapi na yameandikwa katika kitabu ganiWatu wafuate maadili ya mtanzania...
KWA AKILI ZAO HAYO NDIYO MAMBO YANAYOZUIA VIWANDA KUJENGWA. TRUMP HAJAKOSEA NA LILE TUSI LAKE LA SHIT....Kwamba maeneo ya chango'mbe dar es salaam wale wanaume wa dar wnaoendana na fashooon za kina lil uzi,21 savage,wiz khalifa za kuvaa visurual vya kubana yaani vimodo na kunyoa viduku wamepokea vichapo kutoka kwa walinzi wa amani na kunyolewa viduku hivyo
Pia inasemekana huko Arusha hata wadada waliovaa jeans wanakamatwa
Okie dokie,naliomba jeshimahiri kabisa la polisi Afrika nzima yaani Police tanzania waanze msako wa guest houses wakikuta watu wanafanya ule mchezo wa kimama na baba wawaambie waonyeshe vyeti vya ndoa hii itasaidia sana kulinda maadili mema ya jamaii tya Mtanzania,jamii yenye upendo ,amani,inayoishi vizuri bila kubaguana chini ya Rais mpendwa mwenye moyo wa upendo kwa wananchi wake bila kujali itikadi za vyama vyao
Hiyo modo umelipiwa na naniModo nitaacha ila gest sitaacha.... Maana sijalipiwa na mtu
Nikuletee kinywaji ganiKho kho khooo
TangawiziNikuletee kinywaji gani
Wakianza kukamata wanaume ambao wananyoa kama January naomba uniite!Wakwendee hukoo wanaingilia watu mpaka mavazi yao na unyoaji wao