Tetesi: wanyoa viduku,wavaa jeans wala vichapo

Tetesi: wanyoa viduku,wavaa jeans wala vichapo

Wale wabunifu wa vazi la taifa hawajamaliza kutushonea!
 
Tuambieni vazi la taifa ni lipi?
2. Upi ni utamaduni wa mtanzani?
3. Kufanya mapenzi siyo utamaduni wetu?
 
Two adults having sex in a guest house kwa hiari Huwezi kuingilia maamuzi yao, na sio kila anayefanya ngono lazima awe na ndoa. Watu wenye mawazo kama yako ndio mnatakiwa mkamatwe.
 
Hawana kazi za kufanya Elimu haijawasaidia wapo busy na vitu vya kijinga jinga tuu...
 
Kwamba maeneo ya chango'mbe dar es salaam wale wanaume wa dar wnaoendana na fashooon za kina lil uzi,21 savage,wiz khalifa za kuvaa visurual vya kubana yaani vimodo na kunyoa viduku wamepokea vichapo kutoka kwa walinzi wa amani na kunyolewa viduku hivyo
Pia inasemekana huko Arusha hata wadada waliovaa jeans wanakamatwa
Okie dokie,naliomba jeshimahiri kabisa la polisi Afrika nzima yaani Police tanzania waanze msako wa guest houses wakikuta watu wanafanya ule mchezo wa kimama na baba wawaambie waonyeshe vyeti vya ndoa hii itasaidia sana kulinda maadili mema ya jamaii tya Mtanzania,jamii yenye upendo ,amani,inayoishi vizuri bila kubaguana chini ya Rais mpendwa mwenye moyo wa upendo kwa wananchi wake bila kujali itikadi za vyama vyao
Baba yangu alipokuwa ananikataza kujiunga na jeshi la polisi kipindi kileeee nilikuwa naumia sana, lakini sasa nishaanza kuelewa
 
Nashangaa watu wanasapoti huu ujinga ................sisi watu weusi tunamatatizo sana hapo tunaona ni sawa kabisa wala hatupimani akili.....ivi unadhan sahv marekani au ulaya wanaweza wakamuwajibisha raia wao kisa mavazi .....kweli sisi tunastahili kutukanwa.....na bado tutatukanwa sana
 
IMG_20180113_180427.jpg
Yeap!
 
Back
Top Bottom