Wanyonge hatuna chetu awamu hii

Wanyonge hatuna chetu awamu hii

Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Unasema ni mapema sana kuyasema huku umeshasema?

Hamuwezi kuficha chuki zenu kwa mama yetu,mama SSH. Hebu mwacheni raisi wetu ahudumie watanzania bila ubaguzi. Msianze siasa za mucho hear makunsi ya watu kumchukia kwa ajili ya masilahi yenu.
 
Hakutakiwa awe karibu na wanyonge bali awatoe katika unyonge wenu. Kama alishindwa hilo basi sasa mkae kwa kutulia
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Zama hizi sio zama za wanyonge ni zama za wavujajasho wanaojituma pamoja na makabwela wanopambana na maisha. Mama amekuja kuwainua hao kkwanza.Mambo ya wanyonge baki nayo wewe kwanza.
 
Wanyonge awamu yenu imeisha.Awamu yetu kutamba sasa kaeni kwa kutulia.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] Yani mtu anayefaa kuitwa mnyonge ni yule asie na macho miguu na mikono Sasa Kama umeweza.

Kuandika hivyo means unajiweza wewe ni kijana na nguvu kaxi ya taifa so usijidekeze
 
Mtetezi wa wanyonge yupo kwenye tution ya kuongoza malaika we kama ni mnyonge mfate.
 
‘wanyonge’ hawatakiwi hata mbinguni hawa hawana nafasi “ ...hakuna kinyonge kitakachoingia pale...” imeandikwa. Hata hivyo, nawakubali ‘wasakatonge’ neno lenyenyewe ‘wasakatonge’ linalinaleta taswira kwamba ‘tunapambana’.

Kama tunavodai, tupo kwenye vita ya uchumi; ‘wanyonge’ hawafai ila ‘wasakatonge’ wanafaa na wanamchango kwa Taifa. Mnyonge ametulia tu sehemu ‘X’, juhudi kubwa anayofanya ni kutengeneza sura ya huruma wakati wote, sio vizuri.
Binafsi si-intateini unyonge.
 
Nyie siyo wanyonge bali mnadanganywa kupooza ukali wa maneno tu! Nyie mnaonwa na wengi kuwa ni waji.nga!
Mnakosaje wa kuwasemea wakati mko ktk majimbo yenye Wabunge?! Wanyonge ni watu wasiojitambua (Waji.nga).!
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Huu utahira sijui mtaacha lini
 
Huyo aliyekuwa anawapumbaza watu na kuwavika taji la unyonge aliwasaidia nini... Kikwete alikusanya bilion 800 kwa mwezi..watu wakaishia maisha mazuri...huyo aliyewavika taji la unyonge alijinasibu kukusanya trion 1.... Maisha yakawa ya hovyoooo....bora wezi warudi tushibe..kuliko watakatifu walikuwa wanatuua kwa njaa.... Maisha mafupi mno..
 
Back
Top Bottom