Kwenye ukweli tusemeee... Diamond ameleta challenge sana bongo fleva... He deserves to be the best...
🙏🙏🙏🙏
kwa imani yetu muziki ni haram au uongo ?
Ndiyo kashapotea
Alianza kulalamika ujerumani akaenda uingereza na sasa tanzania......siku si nyingi atalalamikia mbagala
Sasa ni wakati wa kukabidhi kijiti kwa wengne. Arudie ile kazi yake ya zamani kule mbagala na tandale mtogani.
Menejiment yake iangalie upya jinsi yeye almasi anabyofanya kazi zake. Wakuinua kazi zake ni menejiment yake na wao ndio wanaweza kumuangusha.
Kuna vitu mtu anaongea vinaweza kuathiri utendaji wa kazi zake, hasa hawa masupastaa na wanasiasa. Ndio maana wengi huajiri watu wa kuangalia mienendo yao hasa kwenye mitandao ya kijamii., mahojiano na waandishi wa habari na majibizano na wasanii wenzake ambayo kwa hakika hayana tija kwenye kazi zake. Awe na watu wanaomskrutini na kumkanya yapi aseme na yapi asiseme au kujibizana na mtu. Bahati mbaya Mimi sio shabiki wa mziki, hata ukiniuliza ana nyimbo ngapi mwaka huu sina weledi, lakini mtukama almasi ni kioo cha Tanzania na hatuna budi kuinua kipaji chake na kumpa sapoti. Haijalishi wewe ni shabiki wake ama la. Kuna yule dogo alikuwa akija sana jf heaven on desert, huu ndo wakati wa kufanya kazi ili kuhakikisha chati ya almasi inabaki juu. Tatizo letu watanzania ni wivu. Tunataka wote tuwe masikini.
Diamond ndiye nani tena mi namjua Ally Kiba alieimba Cinderella na Makmuga.
watu mnaokaa kijijini mnajulikana tu tandale mtongani ni wapi ?
WanaJF sasa ni dhahiri vita ya kummaliza Diamond kisanii ni kubwa sana na peke yake hataiweza kutokana na aina ya watu wanaoiendesha,mmeshuhudia jana kilichofanyika Fiesta.Binafsi sina tatizo na Diamond mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,huyu Dogo anajitahidi,anajituma na anaiheshimu sana kazi yake kwa bahati mbaya Mungu anamuwashia Greenlight linajitokeza kundi tena la Watanzania wenzetu bila sababu zozote za Msingi linaamua kummaliza,Diamond ni Icon ya kitaifa kimataifa hakuna faida yoyote tutakayopata kwa kumuua kisanii ila kuna faida taifa litapata kwa kumuunga mkono,Fimbo ya mnyonge ni umoja,naombeni tumsaidie huyu Bwanamdogo na nashauri Menejimenti yake iangalie mbele Promotion zifanyike TV na Radio za kimataifa zaidi kwasababu ishaonekana Local kuna hujuma.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
na wewe peleka ujinga wako huko. Au wew huna imani?
we dogo acha dharau za kishamba. Hiyo ni typing error. Au na wewe umeona hiyo ni hoja? B.we.g.e kweli.
we dogo acha dharau za kishamba. Hiyo ni typing error. Au na wewe umeona hiyo ni hoja? B.we.g.e kweli.
hapa umeniita mjinga na hapa chini unalalamika nina dharau haya nani mwenye dharau kati ya mimi na wewe ndio maana tandale hupajui mtoni mtongani hupajui
Diamond ndo mbunge wa wapi?
Alii Kiba kumbe ni mwanamuziki? Ndio namsikia leo