Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,130
- 6,097
Serikali yaeleza sababu ya bei ya saruji kupanda
Serikali imesema saruji kupanda bei kumechangiwa na mambo kadhaa ikiwa ni pamoja ni baadhi ya viwanda kufungwa kwa ajili ya matengenezo. Akizungumza na TBC, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Ludovick Nduhiye amesema kufungwa kwa viwanda hivyo kumeathiri viwanda vingine kwani...
swahilitimes.co.tz
Njooni huku wamewajibuuu😛😛😛😛