Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Unless utuambie wewe hautakufa ila kama utakufa unataka kupeleka wapi maini yakiwa mazima?

Labda nikupe homework ndogo tu bwana mnywa juice, hebu nenda amana hospital au muhimbili alafu omba register ya mochwali alafu angalia kwa miezi 6 iliyopita maiti ngapi ziliingia kwa sababu ya kunywa pombe kali alafu linganisha na maiti ngapi ziliingia sababu ya ajali au sababu ya other medical magonjwa, ukipata jibu nunua konyagi unywe (isiwe feki lakini!)

Unaogopa kufa kwa pombe alafu unapanda boda kila siku?
 
Pale kariakoo waliokufa ni walevi tu kumbe!
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa watu wengine ..
 
Kwa mfano leo wewe na mimi tumekufa, lakini wewe umekufa huku maini yako bado mazuri sana, na mimi nimekufa huku yangu yana matobo kisa pombe, MAINI YAKO MAZIMA HUKU UKIWA UMEKUFA YANA FAIDA GANI TENA
Unless utuambie wewe hautakufa ila kama utakufa unataka kupeleka wapi maini yakiwa mazima?

Labda nikupe homework ndogo tu bwana mnywa juice, hebu nenda amana hospital au muhimbili alafu omba register ya mochwali alafu angalia kwa miezi 6 iliyopita maiti ngapi ziliingia kwa sababu ya kunywa pombe kali alafu linganisha na maiti ngapi ziliingia sababu ya ajali au sababu ya other medical magonjwa, ukipata jibu nunua konyagi unywe (isiwe feki lakini!)

Unaogopa kufa kwa pombe alafu unapanda boda kila siku?
Hoja sio kutunza maini, hoja ni kujikinga na magojwa ya kutesa, ambayo ni madhara ya moja kwa moja ya pombe.

Ingekuwa maini yakiharibika huumwi, ingekuwa poa
 
Siyo kwamba hatunywi pombe ili tusife,kwasababu hata wasiokunywa pia hufa!

Siyo kwamba hatunywi maji na juisi ili tuendelee kuishi,maana hata wasiokunywa juisi na maji pia huishi vilevile !

Siyo kwamba hatufanyi ZINAA ili tusipate UKIMWI kwasababu hata wasiofanya ZINAA wanao huo UKIMWI !

Siyo kwamba hatuli wanga na mavitu yaliyosindikwa ili tusipate kansa,maana hata wasiokula hayo bado wanapata kansa!


Hatufanyi hayo yote kwasababu Mungu wetu hafanyi hayo!,Mungu wetu ni mwema na sisi tunapaswa Kuwa wema !

Mungu wetu si mwenye dhambi hivyo nasi twapaswa kuikimbia dhambi!
 
Kwa mfano leo wewe na mimi tumekufa, lakini wewe umekufa huku maini yako bado mazuri sana, na mimi nimekufa huku yangu yana matobo kisa pombe, MAINI YAKO MAZIMA HUKU UKIWA UMEKUFA YANA FAIDA GANI TENA?
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa watu wengine ..
 
Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinaua
Sasa unywe sumu sababu unajua kua kuna kufa. Hio ni akili ama matope. Mungu amekubariki.kukupa miaka 80 ya kuishi, wewe unaipunguza kwa kusema sababu kuna kufa ngoja ninywe sumu(pombe kali).
Uongo mbona mi sioni athari zake mnazosema. Hiyo sumu inaitwaje?
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Huwezi kupambana na Darwinian evolution, survival of the fittest, nowadays more mentally.

Pia, alcoholism inatambulika kama ugonjwa wa akili siku hizi, kwa hivyo unaweza kuwalaumu wagonjwa wenye uraibu wa pombe kama watu wanaoweza kufanya maamuzi rationally wakati hawawezi, ni mateja.

Sijagusa pombe kuanzia January 1 2024 na ninapanga kuendelea hivyo.
 
Unless utuambie wewe hautakufa ila kama utakufa unataka kupeleka wapi maini yakiwa mazima?

Labda nikupe homework ndogo tu bwana mnywa juice, hebu nenda amana hospital au muhimbili alafu omba register ya mochwali alafu angalia kwa miezi 6 iliyopita maiti ngapi ziliingia kwa sababu ya kunywa pombe kali alafu linganisha na maiti ngapi ziliingia sababu ya ajali au sababu ya other medical magonjwa, ukipata jibu nunua konyagi unywe (isiwe feki lakini!)

Unaogopa kufa kwa pombe alafu unapanda boda kila siku?
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa watu wengine ..sasa uharibu afya yako kizembe kwa sababu unajua utaanguka na bodaboda au utapata ajali au utaangukiwa na gorofa kama.watu wa kariakoo.
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Acha kututisha mkuu! Magonjwa now days anaumwa mtu yoyote sio mpaka unywe pombe” piga vyombo fanya mazoezi pumzika..... japo hii sio njia yakuzuia usife muda ukifika ni safari ata unywe maji tu
 
Naona unaamua kuikosesha serikali mapato. Mkuu acha watu waunguze maini tupate dawa mahospitalini,serikali ipate mishahara ya kulipa watumishi,tupate pesa ya kujenga miundombinu na mengine mengi.
 
Back
Top Bottom