Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa ukiwa na maini mazima ama yaliyokufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa watu wengine ..lakini ni akili mbovu kutotunza afya yako huku ukinywa vilevi sumu sababu hutaki kufa ukiwa na maini yaliyosalama kwamba ufe na maini yaliyochoka, kwani ni ajabu kwako kujua kua kuna nchi nyingine viungo hivyo vinaweza musaidia mtu mwingine
Aliyekuwmbia situnzi afya yangu kisa pombe ni nani!!?...
Pombe ni sumu, pombe kali ni sumu. Acha pombe, acha kuwatajirisha wenye kampun za pombe huku wewe ukiiacha familia yako kwenye mateso makubwa sababu ya kunywa pombe ama kufa kwa pombe.
Soda sio sumu!?? Vidonge sio sumu!?? ..... Bugia soda acha nibugie gambe .... Afya yangu ni dhamana yangu kama wewe na afya yako ......
 
MLEVI siyo lazima anywe visungura!

Mlevi ni mlevi tu hata kama anakunywa wine (mvinyo),kiwango Cha ulevi ndicho hutofautiana!

Watu hunywa visungura kwasababu ya Hali ya kipato,unadhani mtu ana mavumba ya kutosha bado anakunywa kisungura?,na Je nani alikwambia tajiri namba moja si mlevi?
asilima kubwa matajiri huzaliwa hawana pesa wachache huzirithi na hata hao pia hutumia akili kubwa kuzikuza, sasa point ya utafutaji pesa huanzia chini ukianza tuh visungura kwa kigezo hiki ndio kiwango changu wacha nilewe nakuhakikishia hutafika wine,na ukifika kiwango cha mvinyo wa bei ghali hutopata muda wakunywa au pengine ukapata huo muda mara moja kwa mwaka tena kwa kiwango kidogo hivyo hakuna tajiri mlevi kwani huo muda hana wakulewa
 
Je kinachodhuru mwili ni pombe pekeyake?
Tumefunzwa kila kitu kwa kiasi.. Chochote kikizidi kiwango ni sumu
Walokole/wasabato Wana shida sana ..... Yanajiona tayari yameshafika mbinguni Kwa kutokunywa pombe tu ... Na wazima wa afya Kwa kutokunywa pombe tu ..... Madhambi na masumu ni mengi mno duniani humu ...ila wao kila siku kufungua Uzi pombeee pombeee ....
 
asilima kubwa matajiri huzaliwa hawana pesa wachache huzirithi na hata hao pia hutumia akili kubwa kuzikuza, sasa point ya utafutaji pesa huanzia chini ukianza tuh visungura kwa kigezo hiki ndio kiwango changu wacha nilewe nakuhakikishia hutafika wine,na ukifika kiwango cha mvinyo wa bei ghali hutopata muda wakunywa au pengine ukapata huo muda mara moja kwa mwaka tena kwa kiwango kidogo hivyo hakuna tajiri mlevi kwani huo muda hana wakulewa
Unataka kumuona tajiri akiwa barabarani amelewa chakari?
 
Muda Fulani msongo na kukata tamaa ya kufanikiwa zaidi hupelekea Hali hizo, but Mimi binafsi kuacha pombe kazi ipo, nahofia kopoteza kundi kubwa la marafiki

Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..

Kwa mfano leo wewe na mimi tumekufa, lakini wewe umekufa huku maini yako bado mazuri sana, na mimi nimekufa huku yangu yana matobo kisa pombe, MAINI YAKO MAZIMA HUKU UKIWA UMEKUFA YANA FAIDA GANI TENA?
Mhhh we jamaa noma
 
Wewe unafikiri wenye viwanda vya Coca-Cola na Pepsi hawana majumba na magari?
Bure kabisa wewe
 
Umaskin mkubwa sana mkuu..
Ila wenye kampun hizo za pombe wanaendelea kua matajiri, juzi kuna mmoja kanunua gari ya milioni 700 na wako huko.kwenye mitandao.wanayaonesha mafanikio yao makubwa
Hili jambo hua linanikasirisha sana
nakubaliana na wewe ukitaka kuwa tajiri wekeza kwenye pombe huko kuna kundi kubwa la wapumbavu
 
Muhimu diko mkali. Unaonaga wapi mlevi na hospitali tena wa hayo makali
 
Mkuu
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Duniani tunapita tu.. Unataka utunze hizo figo na maini ili uende nayo wapi?
Mwisho wa siku kila mtu atakufa unataka ufe ukiwa na figo nzima ili uende nazo wapi?
 
Back
Top Bottom