Umaskin mkubwa sana mkuu..walevi ni wapumbavu wa mwisho pombe ni mahususi kwa wapumbavu,losers kichocheo cha uwasherati ulioambatana na umasikini
Anza na hiyo simu ama pc unayotumia inatoa mionzi ambayo inadhuru mwili wako polepole,Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinaua
Sasa unywe sumu sababu unajua kua kuna kufa. Hio ni akili ama matope. Mungu amekubariki.kukupa miaka 80 ya kuishi, wewe unaipunguza kwa kusema sababu kuna kufa ngoja ninywe sumu(pombe kali).
MLEVI siyo lazima anywe visungura!nazungumzia walevi je tajiri namba moja duniani ni mlevi? ni tajiri gani unayemfahamu ni mlevi wa visungura
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa watu wengine ..
Mtu anywae pombe hana akili kabisa tunakiwa tunywe ujiWasaalam!!!!
Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...
Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..
Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.
Kaa tafakari.
ACHA POMBE..
Mzee uta justify kwa kila jambo ila hilo ni angalizo, hakuna cha kuheshimu kinywaji cha mtu,hio ni sumu unaweka mwilini,sasa usi justify kunywa kilevi (sumu) kwa kusema sababu nina simu ina mionzi basi kufa kupo tu..hio sio akili.Anza na hiyo simu ama pc unayotumia inatoa mionzi ambayo inadhuru mwili wako polepole,
Pili hospitalini wapo wagonjwa wenye shida za ini na Figo ambao hawajawahi kutumia pombe, ukiona uko na afya njema mshukuru Sana Mola wako na uwache kuwanyooshea wengine vidole.
Tatu ikiwa Mimi nakunywa pombe na wewe unakunywa Maji kila mmoja aheshimu kinywaji cha mwenzie tusipangiane.
Hayo maini yako Mazima Yana matumizi gani ukifa!?? Kwanza Mungu alisema TUTAPEWA MIILI MIPYA .... Sasa wewe tunza halafu uje upewe miwili wangu namimi nipewe wako.... Kazana kutunza hayo maini...Wasaalam!!!!
Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...
Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..
Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.
Kaa tafakari.
ACHA POMBE..
Kama unawapa pesa wanunue pombe hapo sawa una haki ya kuwapangia cha kufanya ,ila kama wananunua kwa pesa yao kaa kimya maana hata akiumwa hauchangii chochote.Mzee uta justify kwa kila jambo ila hilo ni angalizo, hakuna cha kuheshimu kinywaji cha mtu,hio ni sumu unaweka mwilini,sasa usi justify kunywa kilevi (sumu) kwa kusema sababu nina simu ina mionzi basi kufa kupo tu..hio sio akili.
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa mtu/watu wengine ..
Linakukasirisha wewe kama nani? Unapata hasira kwa mafanikio ya mtu?ukitaka na wewe uza pombe.Umaskin mkubwa sana mkuu..
Ila wenye kampun hizo za pombe wanaendelea kua matajiri, juzi kuna mmoja kanunua gari ya milioni 700 na wako huko.kwenye mitandao.wanayaonesha mafanikio yao makubwa
Hili jambo hua linanikasirisha sana
Sawa uko sahihiMzee uta justify kwa kila jambo ila hilo ni angalizo, hakuna cha kuheshimu kinywaji cha mtu,hio ni sumu unaweka mwilini,sasa usi justify kunywa kilevi (sumu) kwa kusema sababu nina simu ina mionzi basi kufa kupo tu..hio sio akili.
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa mtu/watu wengine ..
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa ukiwa na maini mazima ama yaliyokufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa watu wengine ..lakini ni akili mbovu kutotunza afya yako huku ukinywa vilevi sumu sababu hutaki kufa ukiwa na maini yaliyosalama kwamba ufe na maini yaliyochoka, kwani ni ajabu kwako kujua kua kuna nchi nyingine viungo hivyo vinaweza musaidia mtu mwingineHayo maini yako Mazima Yana matumizi gani ukifa!?? Kwanza Mungu alisema TUTAPEWA MIILI MIPYA .... Sasa wewe tunza halafu uje upewe miwili wangu namimi nipewe wako.... Kazana kutunza hayo maini...
Sawa, endelea kunywa vilevi sumu uwatajirishe matajiri wenye viwanda vya pombe kali..siku ukiwa hoi kitandani unaomba kufa rudi hapa kukoment tena boss.Linakukasirisha wewe kama nani? Unapata hasira kwa mafanikio ya mtu?ukitaka na wewe uza pombe.
Pombe ilikuwepo Karne na karne,pombe ilikuwepo kabla ya yesu na itaendelea kuwepo
Wagonjwa walio hoi kitandani ni walevi tu?Sawa, endelea kunywa vilevi sumu uwatajirishe matajiri wenye viwanda vya pombe kali..siku ukiwa hoi kitandani unaomba kufa rudi hapa kukoment tena boss.
Pombe ni sumu, pombe kali ni sumu. Acha pombe, acha kuwatajirisha wenye kampun za pombe huku wewe ukiiacha familia yako kwenye mateso makubwa sababu ya kunywa pombe ama kufa kwa pombe.Kama unawapa pesa wanunue pombe hapo sawa una haki ya kuwapangia cha kufanya ,ila kama wananunua kwa pesa yao kaa kimya maana hata akiumwa hauchangii chochote.
Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, au sababu utalazwa kwa magonjwa mengine, na hata hivyo hayo magonjwa mengine mengi asilimia 98 ni yanatokana na afya kufanya uzembe kwenye afya,,mengine ajali n.k hizo ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa mtu/watu wengine ..Wagonjwa walio hoi kitandani ni walevi tu?
Je kinachodhuru mwili ni pombe pekeyake?Wasaalam!!!!
Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...
Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..
Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.
Kaa tafakari.
ACHA POMBE..