Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Sasa huyo membe mbona ukachero wake atuoni au wa enzi za Mwalimu, na ukachero wake mbona ameshindwa kuubomoa upinzani au kumsaidia jiwe kuuwa upinzani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujio wa Lisu umemvuruga balaa mzee wa kupita bila kupingwa Hadi kaomba poo kwenda kusiniNikuulize wewe, unajiskiaje mtu uliyesema hawezi kurudi na akirudi hawezi tena kuwa active politician kumuona akiwa very active kwenye siasa pamoja na ulemavu mliompa hadi sasa anaenda kumshinda mgombea wenu Magufuli ?
Karatu kuna wanawake weupe Hadi mzee kaamua kulala karatu.Vipi tundu hajambo? Ameamkaje leo?
Aaah wapi katiba yao hairuhusiwi kuwa na akili kumzidi mwenyekitiCcm iwe makini na ccm wa zamani mpaka pale ccm ikishinda. Wale wanaweza Fanya lolote.
Kwenye chumba cha kura na maeneo ya sirini ndo kuna mengi.Aaah wapi katiba yao hairuhusiwi kuwa na akili kumzidi mwenyekiti
Unamuongelea Membe katika ulingo wa siasa hata aibu huna?, Mtu anagombea urais hata kampeni ya siku moja hajafanya?, Anazidiwa na hata Hashim Rungwe, Bro hata kama umelipwa kuleata uzi hapa sometime njaa zetu ziwe breakAmani iwe nanyi wadau.
Heri ya siku ya jumapili!!
Leo napenda kuelezea kwa kifupi kuhusu makachero wenye haiba ya kutabasamu kucheka kuwa ni watu wa kuogopwa kupindukia
1. Emerson Mnagangwa
Huyu sasa ndo Raisi wa Zimbabwe, kabla ya kuwa Raisi aliwai kuwa Makamu wa Raisi na kabla ya hapo aliwai kuwa Waziri na Mkuu wa Usalama wa Zimbabwe. Huyu aliishi na Mugabe Kama mtu loyal sana kwake. Mugabe alivyoanza ujinga alianza mipango ya chini ya kumuondoa Mugabe ila haiba yake ya kucheka na kutabasamu vilimfanya Mugabe ashindwe kumgundua.
Baada ya Zimbabwe kuwekewa vikwazo akiwa makamu wa Raisi alishirikiana na mshirika wa Mugabe China kumuondoa Mugabe madarakani. Hadi Mugabe anatoka madarakani hakuamini kuwa kachero mbobezi Mnagangwa ndo amemtoa madarakani.
Kwenye speech yake ya kwanza baada ya kumpindua Mugabe alisema ameongea kwa kirefu na kupongezwa na swahiba wake Jakaya Kikwete[emoji3]
2. Jakaya Kikwete.
Huyu watanzania wanamjua sana anakuchekea vizuri nje ila hujui analokuwazia ndani. Lowassa alichekewa sana, aliachwa afanye kila kitu na siku ya mwisho hakuamini alichokuja kukiona. Hiyo ndo kikwete
3. Bernad Camilius Membe.
Huyu kama Kikwete na Mnagangwa nae ana tabia zinazoendana nao. Ana haiba ya kucheka na kufurahi muda wote Ila hujui anakuwazia nini.
Leo nitaishia hapa sitamuongelea sana ila naisi Kuna watu walifikiri wameweza kumpandikiza mahali kumbe waliribuniwa na haiba yake. Alisema kama masikhara atafunga Goli dk ya 89 kwenye uchaguzi huu. Naisi sasa anaelekea kufunga
Poleni sana CCM , Poleni sana wana Lumumba[emoji23][emoji23][emoji3]
Upo intoxicated 24hr wala utusumbuiUnajaribu kuandika mambo ambayo yapo juu ya uwezo wako wala wewe mwenyewe huyaelewi
This pure insanity
Mkuu aliyekuambia kuwa huyu alienda ACT kutafuta uraisi ndo alikupotosha.Unamuongelea Membe katika ulingo wa siasa hata aibu huna?, Mtu anagombea urais hata kampeni ya siku moja hajafanya?, Anazidiwa na hata Hashim Rungwe, Bro hata kama umelipwa kuleata uzi hapa sometime njaa zetu ziwe break
Membe kamaliza part yake asubuhi hukuepo jukwaani asubuhi?Sasa huyo membe mbona ukachero wake atuoni au wa enzi za Mwalimu, na ukachero wake mbona ameshindwa kuubomoa upinzani au kumsaidia jiwe kuuwa upinzani
Mwenyekiti wao ndie mungu wao,na katiba ya ccm ndio kitanzi chao.Thus wanafukazana kwa maamuzi ya mwenyekiti na sio wanachama.Kwenye chumba cha kura na maeneo ya sirini ndo kuna mengi.
Aaah wapi, amechelewa wananchi washaunganaMembe kamaliza part yake asubuhi hukuepo jukwaani asubuhi?
Hujaona barua yake ya 24/09/2020 kwenda kwa Maalimu
Nimesoma kwa umakini, nikajua kuna madini kumbe takataka.Amani iwe nanyi wadau.
Heri ya siku ya jumapili!!
Leo napenda kuelezea kwa kifupi kuhusu makachero wenye haiba ya kutabasamu kucheka kuwa ni watu wa kuogopwa kupindukia
1. Emerson Mnagangwa
Huyu sasa ndo Raisi wa Zimbabwe, kabla ya kuwa Raisi aliwai kuwa Makamu wa Raisi na kabla ya hapo aliwai kuwa Waziri na Mkuu wa Usalama wa Zimbabwe. Huyu aliishi na Mugabe Kama mtu loyal sana kwake. Mugabe alivyoanza ujinga alianza mipango ya chini ya kumuondoa Mugabe ila haiba yake ya kucheka na kutabasamu vilimfanya Mugabe ashindwe kumgundua.
Baada ya Zimbabwe kuwekewa vikwazo akiwa makamu wa Raisi alishirikiana na mshirika wa Mugabe China kumuondoa Mugabe madarakani. Hadi Mugabe anatoka madarakani hakuamini kuwa kachero mbobezi Mnagangwa ndo amemtoa madarakani.
Kwenye speech yake ya kwanza baada ya kumpindua Mugabe alisema ameongea kwa kirefu na kupongezwa na swahiba wake Jakaya Kikwete[emoji3]
2. Jakaya Kikwete.
Huyu watanzania wanamjua sana anakuchekea vizuri nje ila hujui analokuwazia ndani. Lowassa alichekewa sana, aliachwa afanye kila kitu na siku ya mwisho hakuamini alichokuja kukiona. Hiyo ndo kikwete
3. Bernad Camilius Membe.
Huyu kama Kikwete na Mnagangwa nae ana tabia zinazoendana nao. Ana haiba ya kucheka na kufurahi muda wote Ila hujui anakuwazia nini.
Leo nitaishia hapa sitamuongelea sana ila naisi Kuna watu walifikiri wameweza kumpandikiza mahali kumbe waliribuniwa na haiba yake. Alisema kama masikhara atafunga Goli dk ya 89 kwenye uchaguzi huu. Naisi sasa anaelekea kufunga
Poleni sana CCM , Poleni sana wana Lumumba[emoji23][emoji23][emoji3]
Nimechekaje na kweli kuna watoto hapo jamani ni weupe ni balaa ,wale watoto wa Addis Ababa Ethiopia hata hapa kwetu karatu tunao sanaKaratu kuna wanawake weupe Hadi mzee kaamua kulala karatu.
Nikuulize wewe, unajiskiaje mtu uliyesema hawezi kurudi na akirudi hawezi tena kuwa active politician kumuona akiwa very active kwenye siasa pamoja na ulemavu mliompa hadi sasa anaenda kumshinda mgombea wenu Magufuli ?
Mkuu kwa hakika mada yako hii umeandika pumba.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] angejua anvyodharauliwa humu kwa ujinga wake angetulia tu!!
Boss wakoMimi ndiye niliyempa tundu ulemavu ?
Hoja yako ni ipi hasa kwenye uzi wako huu? Mara zote uko upande wa TAL, leo kulikoni? Tambua kwamba Kachero Mbobezi hana silka ya kubwabwaja, hajiinui, sio mwenye kujiweka bayana lakini yuko miongoni mwa viumbe vinavyitwa wanadamu. Hicho unachokielezea kimeegemea sana kwa watu watatu kama ulivyowataja mwenyewe.Amani iwe nanyi wadau.
Heri ya siku ya jumapili!!
Leo napenda kuelezea kwa kifupi kuhusu makachero wenye haiba ya kutabasamu kucheka kuwa ni watu wa kuogopwa kupindukia
1. Emerson Mnagangwa
Huyu sasa ndo Raisi wa Zimbabwe, kabla ya kuwa Raisi aliwai kuwa Makamu wa Raisi na kabla ya hapo aliwai kuwa Waziri na Mkuu wa Usalama wa Zimbabwe. Huyu aliishi na Mugabe Kama mtu loyal sana kwake. Mugabe alivyoanza ujinga alianza mipango ya chini ya kumuondoa Mugabe ila haiba yake ya kucheka na kutabasamu vilimfanya Mugabe ashindwe kumgundua.
Baada ya Zimbabwe kuwekewa vikwazo akiwa makamu wa Raisi alishirikiana na mshirika wa Mugabe China kumuondoa Mugabe madarakani. Hadi Mugabe anatoka madarakani hakuamini kuwa kachero mbobezi Mnagangwa ndo amemtoa madarakani.
Kwenye speech yake ya kwanza baada ya kumpindua Mugabe alisema ameongea kwa kirefu na kupongezwa na swahiba wake Jakaya Kikwete😀
2. Jakaya Kikwete.
Huyu watanzania wanamjua sana anakuchekea vizuri nje ila hujui analokuwazia ndani. Lowassa alichekewa sana, aliachwa afanye kila kitu na siku ya mwisho hakuamini alichokuja kukiona. Hiyo ndo kikwete
3. Bernad Camilius Membe.
Huyu kama Kikwete na Mnagangwa nae ana tabia zinazoendana nao. Ana haiba ya kucheka na kufurahi muda wote Ila hujui anakuwazia nini.
Leo nitaishia hapa sitamuongelea sana ila naisi Kuna watu walifikiri wameweza kumpandikiza mahali kumbe waliribuniwa na haiba yake. Alisema kama masikhara atafunga Goli dk ya 89 kwenye uchaguzi huu. Naisi sasa anaelekea kufunga
Poleni sana CCM , Poleni sana wana Lumumba😂😂😀
Huko Tanganyika, kachero ni mtu anayefanya kazi idara ya usalama wa Taifa.Hivi kachero maana yake Nini bro
Shukrani mkuuHuko Tanganyika, kachero ni mtu anayefanya kazi idara ya usalama wa Taifa.
Sehemu zingine za dunia, kachero anaweza kuwa mpelelezi au afisa kipenyo. Halafu wanakuwa watu wa kawaida tu.
Kibongo bongo, kachero anaonekana kama mtu mwenye akili nyingi na mwenye nguvu za maajabu.
Ni kaulimbukeni fulani tu hivi ambacho labda kanatokana na ugeni wa mifumo ya kiintelinjensia kwa nchi changa kama Tanganyika.
Wengine nasikia huwa wanatembea na bastola wanachomeka kwenye mkanda wa sarawili.
Akienda bar anaichomoa anaiweka mezani ili kila mtu amuamkie shkamoo.
Huyo ndio kachero wa Tanganyika.
Nimecheka ,[emoji23][emoji23]Unajaribu kuandika mambo ambayo yapo juu ya uwezo wako wala wewe mwenyewe huyaelewi
This pure insanity