Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dr. Magufuli unaagwa, waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani.

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania?
 
Mkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
 
Tanzania tuko na demokrasia ya kuigwa duniani kote kuhusu uhuru wa matumizi ya barakoa. London imegubikwa na maandamano ya kudai uhuru wa demokrasia ya lockdown, barakoa na chanjo. Waandamanaji wote hawakuvaa barako. Polisi ndio walivaa kwa kulazimishwa na MADIKTETA na MANDULI Malkia Elizabeth na PM Borris Johnson.
 
Mkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.

Corona haiui kirahisi hivyo. Acheni kudanganya watu. Vaa Barakoa yako. Fanya mazoezi. Kwa mtu mwenye afya Ni mafua tu hayo mazito.

Kwa mimi niliyekaa huko 11-mpaka mwishoni mwa December 29.12 Kukata mitaa yote. Na kuhudhuria sherehe zote kuanzia ndoa mpaka kipaimara. Nk. Mipira mpaka ya mtaani Barakoa zangu 25 nilizokuja NAZo zikiwa kwenye bag nyumbani badala ya kuzivaa kama huku. Dar na Kigoma na Bagamoyo sehemu nilizopita kama ilikuwa na corona Basi itakuwa ilifichwa Kibiti. Mana nilipima huku kabla. Nikapima huko. Then nikapima tena huku Mara za kutosha lakini. Mimi na mke Wangu hatukuwa na positiv.

Inawezekana Sasa Labda Kuna mtu badala ya kutuletea Tz Mali Akileta corona yenye tabia ya peke yake. Mana wenzetu huko utaskia Corona lashindwa kupumua kafa. Sio rahisi namna hiyo. Ndo mana Kasema chunguzeni aina ye kirusi Chenu. Acheni kunyoshana vidole. Hivi kama kweli CHadema mna wanachama mill 28. wakivaa hawa Barakoa si Ntakuwa mmetuokoa watu Achane habari za marehemu na watu Wake. Nyie anzeni kuandika mauzi ya kuwahamasisha wanachadema kuvaa Barakoa na kupiga lockdown kama Sisi huku 3 months. Please. Itaneni tuanze Kesho. Kampeni vaa barakoa na back home total lockdown 3 months. Life would be very simple.
 
Acha ujinga wewe! Uchumi wa dunia umeanguka kwa sababu ya corona. Nchi chungu nzima duniani zimekuwa na idadi kubwa ya vifo kuliko wakati mwingine wowote ule kwa zaidi ya miaka 100 hadi kusababisha nchi nyingi kuwa na lockdown ili kupunguza maambukizi. Halafu unaandika upuuzi wake eti corona haiuwi kirahisi kiasi hicho!!!!
Corona haiui kirahisi hivyo. Acheni kudanganya watu. Vaa Barakoa yako. Fanya mazoezi. Kwa mtu mwenye afya Ni mafua tu hayo mazito.

Kwa mimi niliyekaa huko 11-mpaka mwishoni mwa December 29.12 Kukata mitaa yote. Na kuhudhuria sherehe zote kuanzia ndoa mpaka kipaimara. Nk. Mipira mpaka ya mtaani Barakoa zangu 25 nilizokuja NAZo zikiwa kwenye bag nyumbani badala ya kuzivaa kama huku. Dar na kigoma na Bagamoyo sehemu nilizopita kama ilikuwa na corona Basi itakuwa ilifichwa kibiti. Mana nilipima huku kabla. Nikapima huko. Then nikapima tena huku Mara za kutosha lakini. Mimi na mke Wangu hatukuwa na positiv.

Inawezekana Sasa Labda Kuna mtu badala ya kutuletea Tz Mali Akileta corona yenye tabia ya peke yake. Mana wenzetu huko utaskia Corona lashindwa kupumua kafa. Sio rahisi namna hiyo. Ndo mana Kasema chunguzeni aina ye kirusi Chenu. Acheni kunyoshana vidole. Hivi kama kweli CHadema mna wanachama mill 28. wakivaa hawa Barakoa si Ntakuwa mmetuokoa watu Achane habari za marehemu na watu Wake. Nyie anzeni kuandika mauzi ya kuwahamasisha wanachadema kuvaa Barakoa na kupiga lockdown kama Sisi huku 3 months. Please. Itaneni tuanze Kesho. Kampeni vaa barakoa na back home total lockdown 3 months. Life would be very simple.
 
Tanzania tuko na demokrasia ya kuigwa duniani kote kuhusu uhuru wa matumizi ya barakoa. Londoni imegubikwa na maandamano ya kudai uhuru wa demokrasia ya lockdown, barakoa na chanjo. Waandamanaji wote hawakuvaa barako. Polisi ndio walivaa kwa kulazimishwa na MADIKTETA na MANDULI Malkia Elizabeth na PM Borris Johnson.
Nimeshangaa mpinga mabeberu Pro. Kabudi amevaa barakoa msibani...
Bado najiuliza "korona ipo au....?" Tujuzwe hii siri
 
Humu JF kumejaa mavuvuzela na mazezeta siyo the so called "great thinkers".
 
Hivi hujui mabarakoa ndio chanzo cha watu kukoswa hewa nzuri na kupelekea kufa?.

Tangu korona mpya ianze hapa soko la samunge arusha watu wanapumuliana, pikinik watu wanapumuliana lakini wako salama hadi leo.

Vaa wewe ambaye unaona inafaa kuvaliwa sio kuwalazimisha watu kuvaa vitu ambavyo wanaona vinawakosesha hewa.

Watu mitaani wanachangamana sanaa lakini hatuoni hiyo corona yako.

Mnaojifungia kwenye migari kila mara ndio mvae, sisi tunaotembea kwa miguu barakoa yanini?
 
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Maalim Seif alitangaza kwamba ana corona. Ona watu walivyokuwa kwenye mazishi yake (kutovaa barakoa na kusongamana). Kama ni kudanganywa kwa waombolezaji, unamaanisha Maalim aliwadanganya watu kwamba ana corona wakati hakuwa nayo?
 
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Wamedanganywa na Marehemu mwenyewe hakutaka kwenda pekee yake, alitaka wapendwa wake wamfuate hata kabla hajazikwa kukamilisha kazi aliyotumwa na yule mwovu.
 
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Mask inatengeneza fear....inashusha immune level... hupati vijidudu dawa... unajitengenezea ugumu wa kupumua na unameza hewa chafu na vijidudu toka kwenye pumua yako..

Mask inaleta fear na kushusha level ya human energy kutoka 5D to 3D dimension....

Aliyetengeneza ugonjwa ndio anakufundisha jinsi ya kunywa maziwa..[emoji3][emoji3]

Luciferians at work...

Uvae mask usivae by 2030 watabaki 500 millions people... reducing 95% ya population (Refer Georgia guidestones)
 
Hivi ukiulizwa corona inazuiwa na mask unaweza toa sababu za kisanyasi ? nenda kasome Respiratory system then usome ni kiwango gani ambacho mwanadamu anatakiwa kuingiza na kutoa cha hewa na ukivaa mask ni kiwango chani cha hewa safi unaingiza na kutoa . Kumbuka ukivaa barakoa hewa unayotoa inakuwa blocked na hewa unayotakiwa kuingiza inakuwa blocked sasa unakuwa unaingiza mchanganyiko wa hewa.

Kingine kwa nini wagonjwa wa covid wanaitaji ventilator machine kwa sababu ya kuwasaidia kupumua ukiwa ww unadistarb mfumo wa upumuaji wa kujifunika mdomo na pua ? wenye matatizo ya Moyo, kisukari ,mapafu na figo nao wavae barakoa unadhani utakuwa unawaweka kwenye hatari kiasi gani?

Hili uonekane upo hai ni lazima pawepo na gas exchange ndo maana ICU lazima pawepo na ventilator ukikosa hewa dakika kadhaa tu umekufa

Pia unatakiwa kujua hili upumue vizuri mapafu yanatakiwa kufanya kazi yake vzr sasa ukiyapa kazi nyingine ya kuchambua oxygen and carbon dioxide kwenye mchanganyiko wa hewa ndani ya barakoa yako nadhani utakuwa huyatendei haki mapafu yako
 
Back
Top Bottom