Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Mask inatengeneza fear....inashusha immune level... hupati vijidudu dawa... unajitengenezea ugumu wa kupumua na unameza hewa chafu na vijidudu toka kwenye pumua yako..

Mask inaleta fear na kushusha level ya human energy kutoka 5D to 3D dimension....

Aliyetengeneza ugonjwa ndio anakufundisha jinsi ya kunywa maziwa..[emoji3][emoji3]

Luciferians at work...

Uvae mask usivae by 2030 watabaki 500 millions people... reducing 95% ya population (Refer Georgia guidestones)
Mkuu unadhani kuna umuhimu wowote wa kubadilisha hiyo ID ?
 
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Wacha tufe amekufa kamanda wetu sisi ni nani tusife
 
1.niambie serikali ipi inayokubali kukosolewa?.
2.nini chanzo cha watu kutekwa,kukamatwa,kufungwa na hata kupoteza maisha?.
kipi kilichowaponza kama sio UHURU ULIOPITILIZA?
Kwa kukosoa tu watu watekwe halafu ionekane ni jambo la kawaida tu !
 
Unajua maana ya DEMOCRACY? ukiweza kujua nini maana ya DEMOCRACY itakusaidia kujibu maswali yako mengine.
1.niambie serikali ipi inayokubali kukosolewa?.
2.nini chanzo cha watu kutekwa,kukamatwa,kufungwa na hata kupoteza maisha?.
kipi kilichowaponza kama sio UHURU ULIOPITILIZA?
 
Inawezekana kabisa wanakufa sana lakini Serikali hairipoti idadi ya maambukizi mapya na idadi ya vifo pamoja na kuombwa kufanya hivyo na WHO..
Nilisikia utabiri kama huu kuwa Watu watakufa sana baada ya ile Kili Marathon.
 
Mimi kiongozi wenu najua mengi, hayo mabarakoa yanatoka huko yamewekewa virusi vya korona
 
Baada ya kusema hivyo dunia ikaanza kulalamikia fake masks....

Alipopima papaya dunia ikaja kulalamika kuhusu kits kuwa infected na virus...

His power ya kuona vya gizani
Mimi kiongozi wenu najua mengi, hayo mabarakoa yanatoka huko yamewekewa virusi vya korona
 
Tusilazimishe watu kuvaa barakoa, haina maana sana kwa mazingira yetu ya kimaskini ya bongo.
 
Kwani walio vaa Barakoa Ulaya na Marekani ndio walio baki salama
Mbona pamoja na Lock down zao lakini Bado walikufa wengi
Sisi Bado Mungu Ali tulinda.
 
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Hii Nchi haina korona
Nenda Ulaya na Marekani
Wanao vaa Barakoa ndio Wanao kufa kila siku.
Sisi hapa Hilo janga halipo
 
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Baada ya week ama mwezi tutashuhudia idadi kubwa ya vifo mfululizo baada idadi kubwa ya maambukizi kwa Asikari na waombolezaji waliofurika huko uwanja wa Uhuru bila tahadhari za barakoa kunawa mikono kupaka vitakasa mikono huku salam za kushikana mikono zikitawala ma kueneza maambukizi kwa kasi kubwa zaidi
 
Wamedanganywa na Marehemu mwenyewe hakutaka kwenda pekee yake, alitaka wapendwa wake wamfuate hata kabla hajazikwa kukamilisha kazi aliyotumwa na yule mwovu.
Hiki ndicho kitafuata kuna idadi kubwa watafariki baada ya siku chache kwani kuna maambukizi makubwa yamepenyezwa hapo
 
Mkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
unataka niambia wote waliokufa kwa corona walikuwa hawavai barakoa...? sizan kama barakoa ndio inaweza kukuweka mbali na corona, afu msitutishe,mtuache tuishi maisha yetu
corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine
 
Corona haiui kirahisi hivyo. Acheni kudanganya watu. Vaa Barakoa yako. Fanya mazoezi. Kwa mtu mwenye afya Ni mafua tu hayo mazito.

Kwa mimi niliyekaa huko 11-mpaka mwishoni mwa December 29.12 Kukata mitaa yote. Na kuhudhuria sherehe zote kuanzia ndoa mpaka kipaimara. Nk. Mipira mpaka ya mtaani Barakoa zangu 25 nilizokuja NAZo zikiwa kwenye bag nyumbani badala ya kuzivaa kama huku. Dar na kigoma na Bagamoyo sehemu nilizopita kama ilikuwa na corona Basi itakuwa ilifichwa kibiti. Mana nilipima huku kabla. Nikapima huko. Then nikapima tena huku Mara za kutosha lakini. Mimi na mke Wangu hatukuwa na positiv.

Inawezekana Sasa Labda Kuna mtu badala ya kutuletea Tz Mali Akileta corona yenye tabia ya peke yake. Mana wenzetu huko utaskia Corona lashindwa kupumua kafa. Sio rahisi namna hiyo. Ndo mana Kasema chunguzeni aina ye kirusi Chenu. Acheni kunyoshana vidole. Hivi kama kweli CHadema mna wanachama mill 28. wakivaa hawa Barakoa si Ntakuwa mmetuokoa watu Achane habari za marehemu na watu Wake. Nyie anzeni kuandika mauzi ya kuwahamasisha wanachadema kuvaa Barakoa na kupiga lockdown kama Sisi huku 3 months. Please. Itaneni tuanze Kesho. Kampeni vaa barakoa na back home total lockdown 3 months. Life would be very simple.
Hiyo lock down ya Miezi 3 utakuwa una wahudumia Wewe?
Wali kuambia barakoa ndio Ina zuwia korona?
Mbona Nchi Zenye Lock down ndio Zina kiwango kikubwa cha Vifo?
Na barakoa Wana vaa kila siku
Acheni Maujinga ya PhD
Hii ni biashara tu nipo South Afrika hapa
Naona kila kitu
 
Mask inatengeneza fear....inashusha immune level... hupati vijidudu dawa... unajitengenezea ugumu wa kupumua na unameza hewa chafu na vijidudu toka kwenye pumua yako..

Mask inaleta fear na kushusha level ya human energy kutoka 5D to 3D dimension....

Aliyetengeneza ugonjwa ndio anakufundisha jinsi ya kunywa maziwa..[emoji3][emoji3]

Luciferians at work...

Uvae mask usivae by 2030 watabaki 500 millions people... reducing 95% ya population (Refer Georgia guidestones)
Marehemu anataka asindikizwe na wengi ndiyo maana covid 19 imesimama hapo hapo uwanja wa Uhuru ipate kuwanasa wengi ambao hawataki kuvaa barakoa
 
Acha ujinga wewe! Wapi nilipokutisha? Kama huna la maana la kuandika pita kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani.
unataka niambia wote waliokufa kwa corona walikuwa hawavai barakoa...? sizan kama barakoa ndio inaweza kukuweka mbali na corona, afu msitutishe,mtuache tuishi maisha yetu
corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine
 
Back
Top Bottom