Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Tatizo ni kuwa waliaminishwa kuwa korona hakuna Tanzania kwakuwa Mungu ameiepusha Tanzania na korona. Hilo ndilo kosa
Kilichotufikisha hapa tulipo ni kuchanganya coronavirus na imani za kidini. Tukasahau wataalam wa afya na WHO inasema nini kuhusu coronavirus.
 
Hapo uwanja wa Uhuru sasa ni uwanja bora wa covid 19 kuvuna wafuasi imepiga kambi kubwa inaendelea kujipenyeza kwa nguvu baada ya week tutashuhudia maangamizi makubwa, kuidharau barakoa na kuendekeza salam za mikono vitaigharimu Taifa hapo baadae
 
ACHA WAFE si wameamua kuchagua kufa?.
Hapo uwanja wa Uhuru sasa ni uwanja bora wa covid 19 kuvuna wafuasi imepiga kambi kubwa inaendelea kujipenyeza kwa nguvu baada ya week tutashuhudia maangamizi makubwa, kuidharau barakoa na kuendekeza salam za mikono vitaigharimu Taifa hapo baadae
 
Hapo uwanja wa Uhuru sasa ni uwanja bora wa covid 19 kuvuna wafuasi imepiga kambi kubwa inaendelea kujipenyeza kwa nguvu baada ya week tutashuhudia maangamizi makubwa, kuidharau barakoa na kuendekeza salam za mikono vitaigharimu Taifa hapo baadae
Mwaka jana tuliweza kuvuka kolona na mwaka huu tutavuka, nasema uongo ndugu zangu?
 
2-Image-from-iOS-19.jpg
 
Wanaichi wahimizwe kuvaa barakoa katika mikusanyiko vinginevyo mlipuko wa korona awamu nyingine watanzania watapukutika kama kuku waliokosa kinga katika mabanda yao.
 
Watu wanaanguka wanachuruza kamasi machozi mate ana Asikari wanaowahudumia hawajavaa barakoa na wakitoka hapo wanaenda kuungana familia zao na kusambaza maambukizi mitaani kwao , watu wameenda uwanja wa Uhuru kusaka covid 19 wenyewe kwa kutovaa barakoa huku baadhi wakianguka kugusana majasho wa wengine huku salam za kushikana mikono ambazo ni hatari zaidi zikishamiri kwa kasi kubwa, baada ya siku chache Taifa litashuhudia maafa makubwa mno
 
Wanaichi wahimizwe kuvaa barakoa katika mikusanyiko vinginevyo mlipuko wa korona awamu nyingine watanzania watapukutika kama kuku waliokosa kinga katika mabanda yao.
Hata salam za kushikana mikono ambazo ni hatari sana bado zinaendelea
 
Lazima mvune mnachopamda watu mkasongamane bila Barakoa katikati ya Pandemic hatari halafu mtegemee nini
Sasa covid 19 imepiga kambi uwanja wa Uhuru inakula vichwa vyote visivyovaa barakoa
 
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Wanaenzi Mwamba wa mbinu Asili#Bupiji, Planet+++, covidol, nimricarf na Nyungu phases.
Hizi mbinu ni sahihi ila pia ni lazima uzingatie zile tahadhari nyinginezo hasa ukiwa na afya mgogoro na umri ni:
1. Uvae barakoa
2. Umbali I.e social distancing
3. Nawa/takasa
4. Epuka mikusanyiko isiyo na ulazima
5. Kujitenga kama ikilazimu -- hii ilimfaa hayati wetu kabisa. Alitakiwa kufichwa kabisa kwa nguvu zote wasaidizi wake watekeleze. Tumepoteza hazina kizembe.

Nk
 
Back
Top Bottom