Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Tanzania tuko na demokrasia ya kuigwa duniani kote kuhusu uhuru wa matumizi ya barakoa. Londoni imegubikwa na maandamano ya kudai uhuru wa demokrasia ya lockdown, barakoa na chanjo. Waandamanaji wote hawakuvaa barako. Polisi ndio walivaa kwa kulazimishwa na MADIKTETA na MANDULI Malkia Elizabeth na PM Borris Johnson.
Mhu!
 
Tanzania tuko na demokrasia ya kuigwa duniani kote kuhusu uhuru wa matumizi ya barakoa. Londoni imegubikwa na maandamano ya kudai uhuru wa demokrasia ya lockdown, barakoa na chanjo. Waandamanaji wote hawakuvaa barako. Polisi ndio walivaa kwa kulazimishwa na MADIKTETA na MANDULI Malkia Elizabeth na PM Borris Johnson.
Waafrika tuna tatizo kubwa sana kwenye akili zetu, kuna watu mpaka leo wanakyambia mimi condom sivai, sijui akili zetu zimedumaa???
 
Corona haiui kirahisi hivyo. Acheni kudanganya watu. Vaa Barakoa yako. Fanya mazoezi. Kwa mtu mwenye afya Ni mafua tu hayo mazito.

Kwa mimi niliyekaa huko 11-mpaka mwishoni mwa December 29.12 Kukata mitaa yote. Na kuhudhuria sherehe zote kuanzia ndoa mpaka kipaimara. Nk. Mipira mpaka ya mtaani Barakoa zangu 25 nilizokuja NAZo zikiwa kwenye bag nyumbani badala ya kuzivaa kama huku. Dar na kigoma na Bagamoyo sehemu nilizopita kama ilikuwa na corona Basi itakuwa ilifichwa kibiti. Mana nilipima huku kabla. Nikapima huko. Then nikapima tena huku Mara za kutosha lakini. Mimi na mke Wangu hatukuwa na positiv.

Inawezekana Sasa Labda Kuna mtu badala ya kutuletea Tz Mali Akileta corona yenye tabia ya peke yake. Mana wenzetu huko utaskia Corona lashindwa kupumua kafa. Sio rahisi namna hiyo. Ndo mana Kasema chunguzeni aina ye kirusi Chenu. Acheni kunyoshana vidole. Hivi kama kweli CHadema mna wanachama mill 28. wakivaa hawa Barakoa si Ntakuwa mmetuokoa watu Achane habari za marehemu na watu Wake. Nyie anzeni kuandika mauzi ya kuwahamasisha wanachadema kuvaa Barakoa na kupiga lockdown kama Sisi huku 3 months. Please. Itaneni tuanze Kesho. Kampeni vaa barakoa na back home total lockdown 3 months. Life would be very simple.
Angalia huyu mpuuzi [emoji706] [emoji706]
 
Mwaka jana tuliweza kuvuka kolona na mwaka huu tutavuka, nasema uongo ndugu zangu?
Mwaka jana waziri wa Afya alihimiza watu kunawa mikono, kupata vitakasa mikono, kutosalimiana kwa kushikana mikono, shule zilifungwa kwa mda ndoo za maji zikahimizwa kila nyumba level seat kwenye mabasi, hamasa ya waziri Ummy mwalimu ilikuwa kubwa sana na ilipokelewa kwa mikono miwili ndiyo maana corona ikafeli kupenya Tanzania, lakini sasa hakuna hamasa yeyote waziri wa Afya hana anachofanya ndiyo maana maambukizi yamekuwa makubwa zaidi.
 
Nenda kachukue covid 19 kama haujavaa barakoa ili uwapelekee familia yako na majirani zako
Unakaribia kuolewa nini ndoa uliyokuwa unaisubiri miaka mingi?
Maana unavyo ogopa kufa mpaka unatushtua
 
Yaani ndiyo tuliambiwa Nimr wamethibitisha. Mambo ya Kinjekitile na maji ya kuyeyusha risasi. Za kuambiwa unachanganya na za kwako. Yale masharti ya kujikinga na Corona ndiyo muhimu kuliko vyote.
Mwaka jana watu walijikinga kwa bidii mpaka kupelekea baadhi ya magonjwa kutoweka, lakini sasa watu hawajikingi kabsa ndiyo maana corona imeamua kuwachakaza kiwepesi zaidi
 
Unakaribia kuolewa nini ndoa uliyokuwa unaisubiri miaka mingi?
Maana unavyo ogopa kufa mpaka unatushtua
Nakuoa wewe lakini usije na maambukizi uliyokwenda kuchukua kizembe uwanja wa Uhuru kwa kutovaa barakoa makusudi kisa eti nitakushitua,
 
Nakuoa wewe lakini usije na maambukizi uliyokwenda kuchukua kizembe uwanja wa Uhuru kwa kutovaa barakoa makusudi kisa eti nitakushitua,
Mbona hujajibu swali?[emoji38] kama ME sema mie nilijua KE
 
Nakuoa wewe lakini usije na maambukizi uliyokwenda kuchukua kizembe uwanja wa Uhuru kwa kutovaa barakoa makusudi kisa eti nitakushitua,
Maana wa mama ndio huwa na hofu na huruma kama yako[emoji38][emoji28]
 
Mtu unaenda uwanja wa Uhuru bila barakoa ukianguka unabebwa na wenye jasho wasiovaa barakoa kisha unataka mungu akukinge dhidi ya corona? hivi kwa nini mnapenda kumtumbua mungu kwa kumpa majukumu yasiyo yake?
 
Mtu unaenda uwanja wa Uhuru bila barakoa ukianguka unabebwa na wenye jasho wasiovaa barakoa kisha unataka mungu akukinge dhidi ya corona? hivi kwa nini mnapenda kumtumbua mungu kwa kumpa majukumu yasiyo yake?
"kumtumbua mungu" kivipi tena?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mwaka jana waziri wa Afya alihimiza watu kunawa mikono, kupata vitakasa mikono, kutosalimiana kwa kushikana mikono, shule zilifungwa kwa mda ndoo za maji zikahimizwa kila nyumba level seat kwenye mabasi, hamasa ya waziri Ummy mwalimu ilikuwa kubwa sana na ilipokelewa kwa mikono miwili ndiyo maana corona ikafeli kupenya Tanzania, lakini sasa hakuna hamasa yeyote waziri wa Afya hana anachofanya ndiyo maana maambukizi yamekuwa makubwa zaidi.
Naibu yule gwaji girl ndo kabisa ,ana mambo Kama ya mganga wa kienyeji.muda mwingi vituko mitandaoni na kujipost akila bata na bae wake.Sijui Kama mindset yake iko vizur Mana naona mauza uza tu
 
Mie nakuoa lakini uje umevaa barakoa siyo kwenda kuchukua covid 19 kule uje kuleta maambukizi makusudi
Ahaa kumbe wewe kina kanjbai maana ndio wana mila hizo Mke kumuoa mume[emoji28][emoji2223]
 
Waafrika tuna tatizo kubwa sana kwenye akili zetu, kuna watu mpaka leo wanakyambia mimi condom sivai, sijui akili zetu zimedumaa???
Ndiyo maana wazungu mpaka leo wanaamini ukoloni unapaswa kurejea upya maana waafrika hawaishi vioja
 
Lazima mvune mnachopanda watu mkasongamane bila Barakoa katikati ya Pandemic hatari halafu mtegemee nini
Corona sio Mungu sisi hatuabudu korona kama nyie


Nyie ndie mtakufa nayo
 
Ahaa kumbe wewe kina kanjbai maana ndio wana mila hizo Mke kumuoa mume[emoji28][emoji2223]
Wewe ujue nakufahamu ni mwanamke ingawa unameza dawa la kuongeza kinga nitakuoa hivyo hivyo kukuondolea nuksi ya kutoolewa
 
Back
Top Bottom