Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Waombolezaji wengi wapuuza kuvaa Barakoa, wamedanganywa na nani?

Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dr. Magufuli unaagwa, waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani.

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania?
Wamedanganywa na Magufuli.
 
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dr. Magufuli unaagwa, waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani.

Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania?
Wao wameamua
 
Tangu lini Corona inawapata watu wanaopigika kwenye jua kila siku.Watu wanaofanya kazi ngumu Corona haina nafasi kwao.Wanaoathirika sana na Corona ni wazee wenye magonjwa mbalimbali na wale wapo kwenye kiyoyozi masaa yote.Walio happy taifa wengi ni watu wa chini Corona haiwahusu
Wakitoka hapo wataenda kukutana na maboss kazini, au wazee home na ndiyo hiyo consequences inaoneka. Tusiwe na mizaa na uhai. Wasiwasi ndo akili zenyewe
 
Hiki ndicho kitafuata kuna idadi kubwa watafariki baada ya siku chache kwani kuna maambukizi makubwa yamepenyezwa hapo
Hujakoma tu kutabiria wenzako vifo.
Mungu ndiye anayeoanga Nani afe Nani abaki, kwa sababu gani na kwa njia gani.
 
Back
Top Bottom