Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 4,062
- 5,741
Si Tundu Lissu awaambie wavae WATAMSIKILIZA si wanampenda?Kwaio waombolezaji nanyi mnafata protocol ya aliekufa sio..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si Tundu Lissu awaambie wavae WATAMSIKILIZA si wanampenda?Kwaio waombolezaji nanyi mnafata protocol ya aliekufa sio..?
Alikuwa havai kwa sababu za kiafya.Kwani alie kufa alikua anavaa barakoa? Tuanzie hapo kwanza
NdiyoSi Tundu lissu a waambie wavae WATAMSIKILIZA si wanampenda?
Magufuli walimpenda na kumwamini maana isingekua hivyo wasingekubali kusongamana vile ku-risk maisha yaoWatanzania nafikuri wamekata tamaa na MAISHA
Tumegubikwa na ujinga kwenye hili la coronaTanzania tuko na demokrasia ya kuigwa duniani kote kuhusu uhuru wa matumizi ya barakoa. Londoni imegubikwa na maandamano ya kudai uhuru wa demokrasia ya lockdown, barakoa na chanjo. Waandamanaji wote hawakuvaa barako. Polisi ndio walivaa kwa kulazimishwa na MADIKTETA na MANDULI Malkia Elizabeth na PM Borris Johnson.
Mkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
...hiki kingekuwa kilinge cha fikra kweli, tungevinjari hoja kama hivi..Hivi ukiulizwa corona inazuiwa na mask unaweza toa sababu za kisanyasi nenda kasome Respiratory system then usome ni kiwango gani ambacho mwanadamu anatakiwa kuingiza na kutoa cha hewa na ukivaa mask ni kiwango chani cha hewa safi unaingiza kumbuka mask hewa unayotoa inakuwa blocked na hewa unayotakiwa kuingiza inakuwa blocked sasa unakuwa unaingiza mchanganyiko wa hewa
Kingine kwa nini wagonjwa wa covid wanaitaji ventilator machine kwa sababu ya kuwasaidia kupumua sasa ukiwa ww unadistarb mfumo wa upumuaji wa kujifunika mdomo na pua ? wenye matatizo ya Moyo, kisukari ,mapafu na figo nao wavae barakoa unadhani utakuwa unawaweka kwenye hatari kiasi gani?
Hili uonekane upo hai ni lazima pawepo na gas exchange ndo maana ICU lazima pawepo na ventilator ukikosa hewa dakika kadhaa tu umekufa
Kwa hyo unamshauri nini samia?
Itakukumba wewe hiyo Corona na itakuuaMkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
Aheshimu raia, katiba. mahakama ziwe huru, vyombo vya habari viwe huru, atende haki bila upendeleo wa aina yoyote ile na waliobambikiwa kesi fake wote awaachie huru.
Vizuri.
Na asipofanya hayo.
Na yeye atakuwa adui YENU?.
Pia kumbuka HAKUNA UHURU USIOKUWA NA MIPAKA.
Hebu tujulishe hiyo mipaka inaanzia wapi na kuishia wapi?
Rejea uhuru mliokuwa nao wa kumkosoa magufuli.
Ikafikia watu kutekwa na wengine kufungwa na hata kupoteza maisha yao.
Unadhani samia atakubali kukosolewa na kukaa kimya?.
Kumbuka hakuna serikali Inayopenda kukosolewa DUNIANI
Huo utafiti wa kwamba hakuna Serikali inayokubali kukosolewa duniani uliufanya lini na kwa nchi zipi!? Eti uhuru wa kumkosoa magufuli!!! Lini huu uhuru ulitolewa? [emoji15][emoji15]
Nilisikia utabiri kama huu kuwa Watu watakufa sana baada ya ile Kili Marathon.Mkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
Kwani mwili ni wako?jishughulishe sana na afya yako kijanaNdani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?