Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwahio waombolezaji nanyi mnafata protocol ya aliekufa sio..?Kwani alie kufa alikua anavaa barakoa? Tuanzie hapo kwanza
Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Tanzania hatuna Corona ,usijisahaulishe.
Mkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
Corona haiui kirahisi hivyo. Acheni kudanganya watu. Vaa Barakoa yako. Fanya mazoezi. Kwa mtu mwenye afya Ni mafua tu hayo mazito.
Kwa mimi niliyekaa huko 11-mpaka mwishoni mwa December 29.12 Kukata mitaa yote. Na kuhudhuria sherehe zote kuanzia ndoa mpaka kipaimara. Nk. Mipira mpaka ya mtaani Barakoa zangu 25 nilizokuja NAZo zikiwa kwenye bag nyumbani badala ya kuzivaa kama huku. Dar na kigoma na Bagamoyo sehemu nilizopita kama ilikuwa na corona Basi itakuwa ilifichwa kibiti. Mana nilipima huku kabla. Nikapima huko. Then nikapima tena huku Mara za kutosha lakini. Mimi na mke Wangu hatukuwa na positiv.
Inawezekana Sasa Labda Kuna mtu badala ya kutuletea Tz Mali Akileta corona yenye tabia ya peke yake. Mana wenzetu huko utaskia Corona lashindwa kupumua kafa. Sio rahisi namna hiyo. Ndo mana Kasema chunguzeni aina ye kirusi Chenu. Acheni kunyoshana vidole. Hivi kama kweli CHadema mna wanachama mill 28. wakivaa hawa Barakoa si Ntakuwa mmetuokoa watu Achane habari za marehemu na watu Wake. Nyie anzeni kuandika mauzi ya kuwahamasisha wanachadema kuvaa Barakoa na kupiga lockdown kama Sisi huku 3 months. Please. Itaneni tuanze Kesho. Kampeni vaa barakoa na back home total lockdown 3 months. Life would be very simple.
Sina shaka na hilo kabisa !Mkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
Nimeshangaa mpinga mabeberu Pro. Kabudi amevaa barakoa msibani...Tanzania tuko na demokrasia ya kuigwa duniani kote kuhusu uhuru wa matumizi ya barakoa. Londoni imegubikwa na maandamano ya kudai uhuru wa demokrasia ya lockdown, barakoa na chanjo. Waandamanaji wote hawakuvaa barako. Polisi ndio walivaa kwa kulazimishwa na MADIKTETA na MANDULI Malkia Elizabeth na PM Borris Johnson.
Maalim Seif alitangaza kwamba ana corona. Ona watu walivyokuwa kwenye mazishi yake (kutovaa barakoa na kusongamana). Kama ni kudanganywa kwa waombolezaji, unamaanisha Maalim aliwadanganya watu kwamba ana corona wakati hakuwa nayo?Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Wamedanganywa na Marehemu mwenyewe hakutaka kwenda pekee yake, alitaka wapendwa wake wamfuate hata kabla hajazikwa kukamilisha kazi aliyotumwa na yule mwovu.Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Mask inatengeneza fear....inashusha immune level... hupati vijidudu dawa... unajitengenezea ugumu wa kupumua na unameza hewa chafu na vijidudu toka kwenye pumua yako..Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?