Wamedanganywa na Magufuli.Ndani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dr. Magufuli unaagwa, waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani.
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania?
PointCovid imepungua....
Covid ni mtaji wa Mashetani na inafurahiwa na waumini wake...
Watu wa Mungu hawataki fear..
Fear inashusha human energy from 5D to 3D dimension
Wao wameamuaNdani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dr. Magufuli unaagwa, waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani.
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania?
Wakitoka hapo wataenda kukutana na maboss kazini, au wazee home na ndiyo hiyo consequences inaoneka. Tusiwe na mizaa na uhai. Wasiwasi ndo akili zenyeweTangu lini Corona inawapata watu wanaopigika kwenye jua kila siku.Watu wanaofanya kazi ngumu Corona haina nafasi kwao.Wanaoathirika sana na Corona ni wazee wenye magonjwa mbalimbali na wale wapo kwenye kiyoyozi masaa yote.Walio happy taifa wengi ni watu wa chini Corona haiwahusu
Hujakoma tu kutabiria wenzako vifo.Hiki ndicho kitafuata kuna idadi kubwa watafariki baada ya siku chache kwani kuna maambukizi makubwa yamepenyezwa hapo