Wapagani wa kale waliabudu Utatu Mtakatifu

Wapagani wa kale waliabudu Utatu Mtakatifu

Kwani ukisikia miaka 2000 kabla ya kristo. Unafikiri yesu hakuwepo? Hakuwa amekuja duniani ila tuliahidiwa kuwa atmamtuma mwanae ambaye jina lake ndio hatukulijua. Ila utatu mtakatifu ulikuwepo kwa hiyo wapangani ndio walioiga utatu huo

Kwani ukisikia miaka 2000 kabla ya kristo. Unafikiri yesu hakuwepo? Hakuwa amekuja duniani ila tuliahidiwa kuwa atmamtuma mwanae ambaye jina lake ndio hatukulijua. Ila utatu mtakatifu ulikuwepo kwa hiyo wapangani ndio walioiga utatu huo
nipe ushahidi kwamba utatu upo kwenye biblia kabla wakristo hawajaupandikiza kutoka kwenye upagani.
 
ukiichunguza judaism nayo ina upagani wa hatari,hata kitabu chao cha Talmud

Definition ya Upagani inatofautiana kwa kila imani. Kwa mkristu anavyoelezea maana ya upagani anawaona wenzake ni wapagani na kwa wengine nao wanamuona mkristu mpagani.


Kwa judaism wao watakuambia sio upagani.

Mkuu tupatie ushahidi wa Upagani wa judaism ili nasi tujifunze zaidi.

Shukran
 
..ana Original Body sawa na ndo tutamwona nayo tukifika Mbinguni but He is a spirit na anaweza fanya tusioweza that was ma Point

Kama ni muumini kasome In.1:14..hata Quran inamtambulisha Mungu kwamba; Ni wa siri na dhahir...
 
82635ae637fa16ef24dd65e3ac0f7333.jpg


727253d5058980a2ea5510d5c3bc42b4.jpg


Bado na Huu mtasema sio upagani.

b74140640b9e2f3e647ec280e12cb9a4.jpg


fb737ece078d537708b75457de7ccad5.jpg


059baf3e84926bb259ee62b1d6cfe295.jpg


9b9ed6311754e97349e0856455461089.jpg


8322bdc2824210346a240ee4a3064e01.jpg


73cd58ffb08eadf6356efc36319730c5.jpg


9a3673eecba4a506c584f8fff49cd843.jpg


4541d6ef76dc7fd6b64147f9a8de797b.jpg


df3cf1de296c4b4afe1dd0549274e7af.jpg

Tujifunze mini hapo mkuu..
 
Kulingana na Biblia Mwanzo 1:1 ,aliyeumba ni YHWH (Yehova,Yahweh) Soma Zaburi 83:18

Kaka hiyo Mwanzo 1: umeisoma mpaka wapi, umejaribu kuisoma yote? Au umesoma mstari mmoja tu?

Hiyo Mwanzo 1 ndio utatu mtakatifu unapojizihirisha wazi kabisa, Hiyo Mwanzo 1, inasema hivi " Hapo mwanzo MUNGU, aliziumba Mbingu na nchi, Hapa hakuna Mkristo hata mmoja anayebisha kuwa Mungu ndiye aliyeumba, swali linakuja hapa Aliumbaje hiyo Dunia,

Mwanzo 1:2 unasema ROHO YA MUNGU ikatua juu ya uso wa maji, hapo ni Dhairi Mungu anaanza kuzigawa Nafsi zake katika uumbaji, kwamba Mungu ndiye aliyeumba, lakini ROHO YAKE NDIYO ILIYOTUA JUU YA USO WA MAJI, hapo kuna Mungu na Roho lakini upo katika umoja japo inaonekana utofauti wa nafsi

Mwanzo 1:3 Mungu AKASEMA, iwe Nuru, Hapa Mungu anatoa NENO na kusema iwe Nuru,
Hivyo kwenye huu uumbaji tunaona MUNGU, ROHO YAKE na kisha NENO lake, MUNGU, ROHO YAKE NA NENO LAKE NI MUNGU MMOJA,

Ukija kwenye Yohana 1:1-4, inasema hivi Hapo mwanzo alikuwako NENO (mwanzo 1:3) na huyo NENO alikuwako kwa MUNGU na huyo NENO ALIKUWA MUNGU, mstari wa 14 (yohana 1:4), unasema na huyo NENO alifanyika Mwili, Akaaa kwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa MWANA PEKEE atokaye kwa BABA amejaa Neema na Kweli

CC: Red Giant , mgen , Mango833 , mwana2015 , @G' taxi, Hb wa Ilala
 
Kuna mengi ya kuImmifunza na yana staajabisha sana mkuu.

Wanadamu wa ajabu sana. [emoji53]

Kihistoria ni kweli pana mengi ya kujifunza...lakini ukumbuke kiimani hasa Ukiwa mfuasi wa Yesu unapo yafuasa mafundisho yake na kuyaishi hayo hapo ni used tu...
 
Kaka hiyo Mwanzo 1: umeisoma mpaka wapi, umejaribu kuisoma yote? Au umesoma mstari mmoja tu?

Hiyo Mwanzo 1 ndio utatu mtakatifu unapojizihirisha wazi kabisa, Hiyo Mwanzo 1, inasema hivi " Hapo mwanzo MUNGU, aliziumba Mbingu na nchi, Hapa hakuna Mkristo hata mmoja anayebisha kuwa Mungu ndiye aliyeumba, swali linakuja hapa Aliumbaje hiyo Dunia,

Mwanzo 1:2 unasema ROHO YA MUNGU ikatua juu ya uso wa maji, hapo ni Dhairi Mungu anaanza kuzigawa Nafsi zake katika uumbaji, kwamba Mungu ndiye aliyeumba, lakini ROHO YAKE NDIYO ILIYOTUA JUU YA USO WA MAJI, hapo kuna Mungu na Roho lakini upo katika umoja japo inaonekana utofauti wa nafsi

Mwanzo 1:3 Mungu AKASEMA, iwe Nuru, Hapa Mungu anatoa NENO na kusema iwe Nuru,
Hivyo kwenye huu uumbaji tunaona MUNGU, ROHO YAKE na kisha NENO lake, MUNGU, ROHO YAKE NA NENO LAKE NI MUNGU MMOJA,

Ukija kwenye Yohana 1:1-4, inasema hivi Hapo mwanzo alikuwako NENO (mwanzo 1:3) na huyo NENO alikuwako kwa MUNGU na huyo NENO ALIKUWA MUNGU, mstari wa 14 (yohana 1:4), unasema na huyo NENO alifanyika Mwili, Akaaa kwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa MWANA PEKEE atokaye kwa BABA amejaa Neema na Kweli

CC: Red Giant , mgen , Mango833 , mwana2015 , @G' taxi, Hb wa Ilala

Mtumishi tatizo la wengi humu wanaushusha uwezo na maajabu ya MMungu na kuuweka kwenye nafasi ya kiumbe chake dhaifu alicho kiumba...kama hawajui hiyo ni kufru na ukafir ambao hata ibilisi hawezi kuukurubia...huyo mzee wa busara anao uwezo wa kugeuka nyau na wengi wanaamini!; sasa ashindwe yule aliye umba nyau na mzee wa busara kujidhihirisha ktk Utatu? Kama ndivyo sio Mungu Muweza Huyo...
 
Kulikuwa na kundi la wasabato wenye siasa kali waliotaka kwenda Iran sijui liliishia wapi wakuu. Mwenye taarifa tafadhali
 
Hahaha.

Na tatizo na wewe una imagination ya Mungu alivyo hivyo ukiambiwa ana kitu au hali fulani unatengeneza picha kuamini hata kama it doesn't make sense. Sawa na wanaoamini ana mikono minne na vichwa vinne. Its just Human imaginations but no one know God. Its beyond our ability as humans. Hatumjui Mungu 100% na tusiweke nadhiri na kujiaminisha ambacho hatuna uhakika nacho.

No one knows him. Ana nafsi moja au mbili au tatu its a matter of a personal beliefs. Lakini ukiambiwa belief yako ina root kutoka wapi its not a problem.

Asante mkuu
Well said
 
Paul alisema iman yenu ni bure na mngalimo katika dhambi zenu,kwa maana mlishuhudia uwongo kuwa yesu ni mungu wakati si kweli,mkashuhudia uwongo kuwa kuna miungu watatu,yaani mungu baba,mungu mwana,na roho wakati si kweli bali imani iliazimwa toka katika imani za kipangani ikaingizwa katika maandiko.
Huu kweli peke inaonyesha ukweli wa maneno ya paulo kuwa,"mliamini bure,mngalimo katika dhambi zenyu"
Weka mistari uliyonukuu ili ueleweke.
 
Today is what is calling 3D (x, y, z),in additions of time & space together making a 5D.
eg. Discovering of micro chip devices.
 
Back
Top Bottom