nipe ushahidi kwamba utatu upo kwenye biblia kabla wakristo hawajaupandikiza kutoka kwenye upagani.Kwani ukisikia miaka 2000 kabla ya kristo. Unafikiri yesu hakuwepo? Hakuwa amekuja duniani ila tuliahidiwa kuwa atmamtuma mwanae ambaye jina lake ndio hatukulijua. Ila utatu mtakatifu ulikuwepo kwa hiyo wapangani ndio walioiga utatu huo
Kwani ukisikia miaka 2000 kabla ya kristo. Unafikiri yesu hakuwepo? Hakuwa amekuja duniani ila tuliahidiwa kuwa atmamtuma mwanae ambaye jina lake ndio hatukulijua. Ila utatu mtakatifu ulikuwepo kwa hiyo wapangani ndio walioiga utatu huo
ukiichunguza judaism nayo ina upagani wa hatari,hata kitabu chao cha Talmud
soma hapa itakusaidia >>> pagan English definition/translationMm najua akiabudu syo mpagani
..ana Original Body sawa na ndo tutamwona nayo tukifika Mbinguni but He is a spirit na anaweza fanya tusioweza that was ma Point
Ngumu wapi kumeza?Hahahahhaaaa mkuu hiyo inaitwa ngumu kumeza
Bado na Huu mtasema sio upagani.
..Hilo ni kweli lakini haibidilishi Logic YetuKama ni muumini kasome In.1:14..hata Quran inamtambulisha Mungu kwamba; Ni wa siri na dhahir...
Tujifunze mini hapo mkuu..
Kulingana na Biblia Mwanzo 1:1 ,aliyeumba ni YHWH (Yehova,Yahweh) Soma Zaburi 83:18
Kuna mengi ya kuImmifunza na yana staajabisha sana mkuu.
Wanadamu wa ajabu sana. [emoji53]
Kaka hiyo Mwanzo 1: umeisoma mpaka wapi, umejaribu kuisoma yote? Au umesoma mstari mmoja tu?
Hiyo Mwanzo 1 ndio utatu mtakatifu unapojizihirisha wazi kabisa, Hiyo Mwanzo 1, inasema hivi " Hapo mwanzo MUNGU, aliziumba Mbingu na nchi, Hapa hakuna Mkristo hata mmoja anayebisha kuwa Mungu ndiye aliyeumba, swali linakuja hapa Aliumbaje hiyo Dunia,
Mwanzo 1:2 unasema ROHO YA MUNGU ikatua juu ya uso wa maji, hapo ni Dhairi Mungu anaanza kuzigawa Nafsi zake katika uumbaji, kwamba Mungu ndiye aliyeumba, lakini ROHO YAKE NDIYO ILIYOTUA JUU YA USO WA MAJI, hapo kuna Mungu na Roho lakini upo katika umoja japo inaonekana utofauti wa nafsi
Mwanzo 1:3 Mungu AKASEMA, iwe Nuru, Hapa Mungu anatoa NENO na kusema iwe Nuru,
Hivyo kwenye huu uumbaji tunaona MUNGU, ROHO YAKE na kisha NENO lake, MUNGU, ROHO YAKE NA NENO LAKE NI MUNGU MMOJA,
Ukija kwenye Yohana 1:1-4, inasema hivi Hapo mwanzo alikuwako NENO (mwanzo 1:3) na huyo NENO alikuwako kwa MUNGU na huyo NENO ALIKUWA MUNGU, mstari wa 14 (yohana 1:4), unasema na huyo NENO alifanyika Mwili, Akaaa kwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa MWANA PEKEE atokaye kwa BABA amejaa Neema na Kweli
CC: Red Giant , mgen , Mango833 , mwana2015 , @G' taxi, Hb wa Ilala
Well saidHahaha.
Na tatizo na wewe una imagination ya Mungu alivyo hivyo ukiambiwa ana kitu au hali fulani unatengeneza picha kuamini hata kama it doesn't make sense. Sawa na wanaoamini ana mikono minne na vichwa vinne. Its just Human imaginations but no one know God. Its beyond our ability as humans. Hatumjui Mungu 100% na tusiweke nadhiri na kujiaminisha ambacho hatuna uhakika nacho.
No one knows him. Ana nafsi moja au mbili au tatu its a matter of a personal beliefs. Lakini ukiambiwa belief yako ina root kutoka wapi its not a problem.
Asante mkuu
Weka mistari uliyonukuu ili ueleweke.Paul alisema iman yenu ni bure na mngalimo katika dhambi zenu,kwa maana mlishuhudia uwongo kuwa yesu ni mungu wakati si kweli,mkashuhudia uwongo kuwa kuna miungu watatu,yaani mungu baba,mungu mwana,na roho wakati si kweli bali imani iliazimwa toka katika imani za kipangani ikaingizwa katika maandiko.
Huu kweli peke inaonyesha ukweli wa maneno ya paulo kuwa,"mliamini bure,mngalimo katika dhambi zenyu"