Wapalestina 106 wauawa huko Gaza baada ya shambulio la IDF

Wapalestina 106 wauawa huko Gaza baada ya shambulio la IDF

Ona sasa wanakufa watoto akina mama na akina baba kisa tu magaidi wanajificha chini ya miili yao na wanafikir israel ikipiga bomu inaangalia alie karibu na gaidi ni mtoto mchanga ama mama mwemye mimba, wao wanapiga tu, bomu likifika linaua wote..sasa wao wamekaa kimya tu kama mazombi acha waendelee kufa kwa pamoja na hamas kwa ajil ya hamas wote watakutana huko kwa mabikra 72.
Hao wauaji na wewe mtaishi milele hongereni sana
 
Kuna Imani za kijinga mno. Eti Acha nife kishujaa nikalale na mabikra 72 ahera! Haya mawaidha yatawamaliza wapalestina wengi. Kwani HAMAS ikiamua kuachia wale mateka wote 101,hii vita sitaisha.?
Unajua magaid hua wana akili mbovu sana wamekua brain washed na mafundisho ya kipumbav wanayofundishwa na viongoz wao wa kipumbav, wao wanayaita ya uislamu na tunajua hakuna mafundisho ya kiislamu yanahubir kua uwe gaidi na uvamie nchi nyingine uue watu, ubake wanawake , na kuteka nyara watu...sasa wamewaambukiza wananchi akili zao mbovu ndio mana wanawasapot wanawaficha kwenye nyumba zao, kwenye mahospitali, sasa mabomu yakipigwa yanaua wanaanza kulia lia kwenye kamera wakisema allah akbar..allah akusaidie nini na ujinga wako
 
Ona sasa wanakufa watoto akina mama na akina baba kisa tu magaidi wanajificha chini ya miili yao na wanafikir israel ikipiga bomu inaangalia alie karibu na gaidi ni mtoto mchanga ama mama mwemye mimba, wao wanapiga tu, bomu likifika linaua wote..sasa wao wamekaa kimya tu kama mazombi acha waendelee kufa kwa pamoja na hamas kwa ajil ya hamas wote watakutana huko kwa mabikra 72.

Kwani anayewauwa watoto au wowote wasio na hatia huyo si ni gaidi?

Gaidi naye si anayo adhabu yake?

Au hujui Bi Nyau, Yoav Gallant ni wanted ICC kama Joseph Kony tu?
 
Hao mbona wachache, ilitakiwa wafe wote hapo Gaza ili Israel ianzeshe makazi mapya kwa wayahudi

Kwani ICC haiwajibishi magaidi yenye kuhusika na mauaji ya kimbari?

Au bi Nyau na yule mwenziwe hawana shauri linawasubiri Den Haag?
 
Unapendelea uamini nini kwa kadiri ya akili yako inavyotafsiri miandiko?

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Mwenye nati zilizolegea ni wewe usiyemjua Joseph Kony, Wala shauri lake lenye kufanana na hao kina bi nyau kwenye mahakama ile Ile Den Haag huko!
Nani atakayemfunga paka kengele kwa uelewa wako?Vibaka ni lazima washikishwe adabu.
 
Na hapo inawezekana walikuwepo magaidi 10 tu wa Hamas waliokuwa wamejificha katikati ya kundi la raia karibia 100. Duniani ingewasaidia wale wanaolazimishwa kuwa shield ya wapiganaji kwa nguvu. Kwa sasa kubakia mmewazunguka magaidi wapiganaji ni siyo suala la hiari, au
wapiganaji wa Hamas wakaja ndani ya nyumba yako, na wewe raia utalazimishwa kukaa nao. Ukitaka kuondoka tu, magaidi wa Hamas wanakuua hapo hapo kwa sababu wanahisi unatengeneza mazingira ya wao kupigwa kiurahisi. Kwa hiyo kuna wengine ni lazima watakuwa wanalazimishwa kufa pamoja na magaidi wa Hamas, hata kama haikuwa hiari yao.

Kama watu wazima wamehiari kufa pamoja na magaidi, huo ni utashi wao, LAKINI wangefanya utaratibu wa kuokoa maisha ya watoto, na wale ambao wangependa kuambatana na watoto kwenda maeneo salama. Wangewatunza hata kwenye kambi maalum ndani ya Israel au Jordan.
 
Unajua magaid hua wana akili mbovu sana wamekua brain washed na mafundisho ya kipumbav wanayofundishwa na viongoz wao wa kipumbav, wao wanayaita ya uislamu na tunajua hakuna mafundisho ya kiislamu yanahubir kua uwe gaidi na uvamie nchi nyingine uue watu, ubake wanawake , na kuteka nyara watu...sasa wamewaambukiza wananchi akili zao mbovu ndio mana wanawasapot wanawaficha kwenye nyumba zao, kwenye mahospitali, sasa mabomu yakipigwa yanaua wanaanza kulia lia kwenye kamera wakisema allah akbar..allah akusaidie nini na ujinga wako

Nadhani tunakubaliana magaidi wana kesi za kujibu ICC.

Na kama wao si magaidi watie mguu huko tuone kama watarejea mashimoni wanakoishi.
 
Na hapo inawezekana walikuwepo magaidi 10 tu wa Hamas waliokuwa wamejificha katikati ya kundi la raia karibia 100. Duniani ingewasaidia wale wanaolazimishwa kuwa shield ya wapiganaji kwa nguvu. Kwa sasa kubakia mmewazunguka magaidi wapiganaji ni siyo suala la hiari, au
wapiganaji wa Hamas wakaja ndani ya nyumba yako, na wewe raia utalazimishwa kukaa nao. Ukitaka kuondoka tu, magaidi wa Hamas wanakuua hapo hapo kwa sababu wanahisi unatengeneza mazingira ya wao kupigwa kiurahisi. Kwa hiyo kuna wengine ni lazima watakuwa wanalazimishwa kufa pamoja na magaidi wa Hamas, hata kama haikuwa hiari yao.

Kama watu wazima wamehiari kufa pamoja na magaidi, huo ni utashi wao, LAKINI wangefanya utaratibu wa kuokoa maisha ya watoto, na wale ambao wangependa kuambatana na watoto kwenda maeneo salama. Wangewatunza hata kwenye kambi maalum ndani ya Israel au Jordan.

Labda hakuwapo gaidi hata mmoja hapo.

Haipo shaka wauaji ni magaidi na ndiyo maana wako wanted ICC huko.
 
Unajua magaid hua wana akili mbovu sana wamekua brain washed na mafundisho ya kipumbav wanayofundishwa na viongoz wao wa kipumbav, wao wanayaita ya uislamu na tunajua hakuna mafundisho ya kiislamu yanahubir kua uwe gaidi na uvamie nchi nyingine uue watu, ubake wanawake , na kuteka nyara watu...sasa wamewaambukiza wananchi akili zao mbovu ndio mana wanawasapot wanawaficha kwenye nyumba zao, kwenye mahospitali, sasa mabomu yakipigwa yanaua wanaanza kulia lia kwenye kamera wakisema allah akbar..allah akusaidie nini na ujinga wako
Aisee unaropoka kama umelishwa usembe.
Hii inajulisha kuwa HUNA UNACHOJUA KUHUSU MGOGORO WA MASHARIKI YA KATI.
*Vita ya Gaza na Israel sio ya kidini bali ni ya kugombea ardhi.
Katika vita zote zilizopiganwa baina ya mwarabu na myahudi ni Myahudi ndiye aliyeanzisha tangia 1917 ambapo wayahudi walikua wakilazimisha kuunda taifa middle east na UK kuwakatalia.
Jiulize kwanini UK aliwakatalia wayahudi kuunda taifa lao Jerusalem mwaka 1917!?
Hizi vita utambue kuwa hadi wakristo wenzako wanauawa huko mashariki ya kati,makanisa yamebomolewa huko mashariki ya kati.
Hata shambulio la Oktoba 7 chanzo ni ukorofi wa Israel kujaribu kupanua makazi Jenin refugee camp na kuvamia mashamba ya mabedui Khani Younis mnamo Agosti 23 2023.
Hamas kuona huo uchochezi ndio wakavamia Oktoba 7.
Pia hakuna ushahidi wa Hamas kuficha silaha katika makazi ya raia.
Hili lilichunguzwa na likaonekana ni uongo.
Matokeo yake mataifa kama Spain,Belgium,Colombia,Cuba,Brazil yalivunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel baada ya kuona ukweli kuwa Israel ndio anayechochea machafuko.
Hiyo Lebanon unayoisemea ilianza kuharibiwa na chokochoko za USA na Israel tangia 1970s.
Mara tu baada ya Syria kuundiwa zengwe la Damascus crisis.

Umtoto mdogo wewe nini unajua!?
 
_49059956_beard-reu (1).jpg

Hamas hawawajali Wananchi wao wameapa kuwamaliza Wayahudi na Wakristo na kuwasaka popote pale walipo hata ikibidi kwa Kisu cha Jikoni.
 
Vita ni dhidi ya wanajeshi siyo raia, wAzee, wagonjwa, wanawake au watoto.

Hata kwenye vita kuna sheria!
Hivi hii vita wanamgambo wa HAMAS huwa hawafagi Kwenye haya mashambulio 😳

Haya ndio matokeo ya wanamgambo kutumia raia kama ngao yao

IDF imekula vichwa vyote vya uongozi wa Hamas na Hezbollah kwa usahihi kabisa walipo na wakaua na raia wengine kibao walipokua wamejificha kwao

Ukiona IDF imetwanga sehemu ujue wanamgambo wa Hamas wapo hapo wamejichanganya na raia..... bahati mbaya technology ya bomu kuchagua mgambo na raia bado haipo kwahiyo itakwanyua wooote
 
Back
Top Bottom