Wapalestina 106 wauawa huko Gaza baada ya shambulio la IDF

Hakuna Mpalestina sema Mwarabu unajua katika Lugha ya Kiarabu hakuna herufi "P" kuna "B" inamaana wangejiita Balestinian.

Kwenye Quruani imetajwa Israel mara nyingi sana lakini hakuna hata sehemu moja ilyotaja Balestina.

Katiba mpya endeleni kusubiria nusu mkate mezani, kwenye kuidai hatuwahitaji!
 
Katiba mpya endeleni kusubiria nusu mkate mezani, kwenye kuidai hatuwahitaji!

Magaidi ya Hamas kitengo cha Islamic Brotherhood wakionyesha Aya kwenye Quruani inayosema Wayahudi na Wakristo wauwawe.
 
Inahitaji roho mbaya sana kuunga mkono haya yanayofanywa na hawa jamaa wa Israel.
 
Kuelezwa ukweli huo hakuna maana ya kulazimishwa na eti kuwa uachwe tu kuendelea kudhani:
Wakati wa Mauaji ya Watutsi wa Rwanda UN ilikuwa na Majeshi yake pale Rwanda walishindwa hata kuzuia Mauaji ya Kimbari pale.

Usijifanye kuijua UN sana wakati Historia inajieleza.

Askari wa UNAMIR wakiwasindikiza Interahamwe kwenda kufanya Mauaji.
 
Wakati wa Mauaji ya Watutsi wa Rwanda UN ilikuwa na Majeshi yake pale Rwanda walishindwa hata kuzuia Mauaji ya Kimbari pale.

Usijifanye kuijua UN sana wakati Historia inajieleza.

UN wana kazi ya kuzuia ndugu wawili walioamua kwa ridhaa zao kuzichapa?

Mbona Tanzania au nchi nyingine jirani hazikwenda kuwazuia kuzichapa?

Ni wenda wazimu uliopitiliza kujidhania wewe Chole huko, kuwa una lolote la maana kuliko UN ndugu bumunda!
 
UN wana Kazi ya kuzuia ndugu wawili walioamua Kwa ridhaa zao kuzichapa?

Mbona Tanzania au nchi nyingine haikwenda kuwazuia kuzichapa?
Basi wamuachie Israel amalize kazi yake awatie adabu Maadui zake wanaitaka kumfuta katika Ardhi.

Kama alivyoachiwa Kagame katika kuwanyoosha Interahamwe.😁
 
Basi wamuachie Israel amalize kazi yake awatie adabu Maadui zake wanaitaka kumfuta katika Ardhi.

Kama alivyoachiwa Kagame katika kuwanyoosha Interahamwe.😁

1 + 4 = 5 haijali wewe mawazo yako ni gani, asema mkenya.

Usambe unalazimishwa.

Au nasema uongo ndugu?
 
Sema magaidi 106 wameuwawa
 
Hao wote ni wanafiki wanaongozwa na chuki dhidi ya wayahudi. Unrwa imekua banned baada ya tuhuma za baadhi ya wafanyakazi kuwa na mafungamano na magaidi, aljazeera imefungiwa kutokana na kuendeleza propaganda za uwongo

Hawa nao?





Au wote ni waongo isipokuwa ninyi?
 
Hamas wasarende tu wanawasababishia Watu wao kipigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…