Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Utawaweza mayahudi kwa kusema uongo wewe .Kwanza taarifa zinaonesha wengi waliokufa kwenye hilo tamasha la muziki ni kutokana na makomjbora ya helkopta za Apache.
Huyo aliyevishwa bendera ya Israel yawezekana ni mpalestina wa Gaza na hatuna namna ya uhakika kujua.
Ukija Gaza tunaona viungo vya watu wanaouliwa na Israel mubashara kwenye runinga na wala si picha za makumbusho.
Kwenye hiyo picha hapo juu ni kitu gani kinaonesha kuwa alibakwa.Na kwanini wapalestina wabake wasichana wa Israel wakati huko kwao kuna warembo zaidi ya hao wanaotafuta waume na waliwawacha ili waende vitani.
Kwamba wewe ndio tukuamini? Mchapwe tu hadi mpate adabu.
 
Unajua kitu kinaitwa Antisemitism na unajua kilivyowagharimu wa-Israel karne hadi karne yaani kuanzia wale kina Shylock mpaka kina Rothschild kupelekea kuchukiwa ulimwenguni (Ni Hitler na prosecution yake iliyopelekea ulimwengu kugeuka na kuona kwamba hawa wadau wanaonewa) sasa the shoe is on the other foot wakionekana wenyewe ndio waonevu mwisho wa siku wenyewe ndio wa kupoteza, huwezi uka-gain land kwa kutumia mabavu na kuwaminya watu unaweza kutumia busara na hekima na ukapata zaidi (wakoloni wameweza hilo mbona kirahisi tu na sisi tunawapa Ardhi yetu kwenye Silver Platter) Narudia tena Ideology haiondolewi kwa mtutu wa Bunduki...
Malizia kuwa Hittler alishawishiwa pia na viongozi wa nchi za kiarabu kuwachoma Wayahudi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Waarabu wa, turkey, Egypt, Lebanon, Pakistan, Yemen, saudia,Qatar, mpaka wale waarab Koko wa zenj,wamebqki kusema maneno tu kama wanaimba taarab, ilibidi wapereke jeshi kwa Siri, watumie mbinu za Iran, na Republican guard yake, watengeneze kitu kama ilivyokuwa Islamic State,
Wavamie Israel, walianzishe mpaka myahudi akimbie, maneno tu hayasaidii kitu, mzungu kuua kwake kawaida tu,
Alimtesa mwafrika kwa miaka 400!, alianza na utumwa, akaja na, ukoroni, akambeba kwa minyororo ya shingo, akaenda kumtumikisha America! Wala hajawahi, kuomba radhi, mzungu(Anglo Saxon) ni Yule Yule wa mkutano wa Berlin kuigawa Afrika! Sasa hawa wapalestina wameteseka kwa miaka 70! Wanategemea mzungu awaonee huruma! Watakawisha, kama waarab hawataungana na kukiwasha Huko, mashariki ya, kati
Usimtoe mwarabu kwenye biashara ya utumwa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Dini isikufanye kutetea uovu ukiamua jambo amua Kwa haki,nyie wavaa kobazi mnajiona kama hii Dunia inatakiwa iwe ya kwenu peke yenu ,mkiua wengine hamuwezi kuona kama na wao Wana damu
 
Malizia kuwa Hittler alishawishiwa pia na viongozi wa nchi za kiarabu kuwachoma Wayahudi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Historia yako imetoka wapi ? Nakupa muda kidogo ka-brush your historical prowess alafu rudi tuendeleze mjadala....

Hitler was born in Austria in 1889. He developed his political ideas in Vienna, a city with a large Jewish community, where he lived from 1907 to 1913. In those days, Vienna had a mayor who was very anti-Jewish, and hatred of Jews was very common in the city.
During the First World War (1914-1918), Hitler was a soldier in the German army. At the end of the war he, and many other German soldiers like him, could not get over the defeat of the German Empire. The German army command spread the myth that the army had not lost the war on the battlefield, but because they had been betrayed. By a ‘stab in the back’, as it was called at the time. Hitler bought into the myth: Jews and communists had betrayed the country and brought a left-wing government to power that had wanted to throw in the towel.



Kwa kukupa dondoo tu ni kwamba Hitler alitumia antisemitism ambazo zilikuwepo kabla, watu walikuwa wanawaona Waisrael kama untrustworthy na cunning pia haikusaidia kipindi fulani kule Europe wao ndio walikuwa Bankers watoa mikopo (as dini yao ilikuwa inaruhusu kuchaji riba wakati nyingine ilionekana ni kosa) hence hata ile story ya Shylock kwenye Merchant of Venice alikuwa a Jew....
 
Dada wa kipalestina akiwa ameroa damu za maiti akiwabembeleza watoto wake na wa jirani walionusurika kifo
1701845106061.png
 
Inashangaza sana kuwa binadamu sasa wamekuwa na roho za kinyama sana kwa sababu wanyama ndio ambao mwenzao akiliwa wanakuwa na msaada mdogo sana japokuwa kwa umoja wao wangeamua wangeweza kumuokoa.

Kinachotokea Gaza kinalingana sana na unyama.Kiwango cha vifo vya wapalestina na kujeruhiwa ni kikubwa sana na huenda haijawahi kutokea katika dunia tangu kuumbwa kwake.Kule Hiroshima na Nagasaki wajapani walikufa wengi kwa mpigo lakini kutokana na aina ya silaha iliyotumika hata watu hawakuona mateso yale kiasi kwamba wangelaumiwa kwa kutokutoa msaada kwa wenzao.

Pale Gaza hali ni tofauti sana kwani Israel ni taifa lenye silaha nyingi za kisasa ikipigana na Hamas ambao ni wanamgambo silaha yao kubwa ikiwa ni RPG na makombora yanayoruka hewani kwa mfumo wa kizamani.Silaha nyengine inayowasaidia na kuwasukuma mbele Hamas ni kujua madhila yaliyowakuta wazazi wao na wenyewe ambayo wameona hakuna njia nyengine isipokuwa ni kufa huku wakijitetea badala ya kufa kitandani.

Muhimu tunachokizungumzia hapa ni vile ambavyo Israel inapiga na kuua na kujeruhi wanawake na watoto mpaka wagonjwa na kuvunja majumba yao waliyojenga kwa shida.

Wengine waliobaki hai mwanzoni walitakiwa wahamie kusini,maskini wengi wakatiii amri hiyo,lakini hii ilikuwa kama kuwacheleweshea adhabu zao au kuwapunguzia kwa wakati huo kwani hawakuwachwa huru moja kwa moja kutokana na mashambulizi hayo.

Baada ya muda sasa Israel imekuja kusini na kuwataka hata wale walio katikati nao wazidi kuelekea kusini mpakani na Misri.Maskini wapalestina wa rika zote wametii japo haikuwasaidia chochote kwani makombora yanaendelea kupigwa na kuuliwa kwa idadi kubwa kila siku.

Watu waliokuwa na utajiri na familia zao mara wanajikuta wamebaki wapweke na hata mikoba ya akiba zao imewapotea na wanajikuta omba omba na waokotaji kwenye magofu ili wapate cha kula bila kuchagua ubora.
Katika hali hiyo ya kusongamana kwenye kambi za wakimbizi au kwa ndugu waliobaki na majumba bado wapalesina hao wanatakiwa hapo walipo waende mashariki au magharibi ili itoe nafasi ya kuvurugwa muda mfupi ujao.kwa kisingizio kuwa hapo walipo kuna Hamas.Maskini wote wanatii na kukimbia bila kutaka kufanya mjadala kuwa hawajawaona hao Hamas.Wanafanya hivyo kwa kujua kuwa ikisemwa hivyo kinachofuata ni makombora ya kusambaratisha kila kitu.

Wakipata amri kama hizo ama kwa vipeperushi au namna nyengineyo wapalestina hukimbizana kwa miguu au kwa gari za punda ambazo wachache wamebaki nazo. Hata hivyo wale wanaochelewa kidogo hupatikana viungo vyao tu vilivyotapakaa baada ya kufa kwa mabomu.

Muhimu zaidi tunachotaka kukieleza ni kuwa huo ukatili unaofanyika unafanywa mbele ya macho ya walimwengu wote wa makabila na dini zote. Ukiondoa hisia za kidini basi kiubinadamu tu basi isingepaswa kufanyika mbele ya binadamu wengine.

Kama ni lawama basi tukisema tulaumu hizo lawama zitaanza kwa watu wenye imani moja na wapalestina ambayo ni uislamu na ambayo ni dini karibu ya raia wote wanaoizunguka Palestina na Israel kwa ujumla.Hiyo ndiyo dini ya viongozi wa nchi hizo.

Matendo ya kuuliwa na kuchomewa majumba waislamu wala hayapo na hayajaanza Palestina na Gaza yake pekee.Hayo yamefanyika sana India,Myamar na China.Japo kuna mengi yangeweza kufanyika kuokoa hali zile lalini kule yawezekana ikasemwa ni mbali na hata hayakuwa yakioneshwa wazi wazi.

Haya yanayofanyika Gaza katikati ya ndugu zao na bila kuchukua hatua yoyote ile hakuna namna ya kuyaelezea isipokuwa ni unyama ambao umeingia ndani ya mioyo ya binadamu.

Kuna wenye nyoyo za kinyama ambao wanaweza wakaleta maneno ya kejeli kwa kisingizio kuwa piga Hamas haoo! eti kwa vile walishambulia oktoba 7.Ukiondoa hisia za kinyama na mtuj akabaki na ubindadamu wake basi kwa kuangalia historia hakuna sababu ya kuilaumu Hamas kwa kushambulia na wala haipasi kuwalaumu kwa kutokuwa tayari kusalimu amri.

Lawama kubwa itabaki kwa unyama ulioingia ndani ya nyoyo za binadamu wa karne hizi zinazokariibiana na kiama.Kwa hali hiyo kama litatokea la kutokea kwa unyama wa binadamu basi asilaumu hali ya tabia nchi wala nini isipokuwa abaki kujutia na kulaumu nafisi yake aliyoibadilisha na kuwa ya kinyama.

View attachment 2833477 View attachment 2833479 View attachment 2833489 View attachment 2833481 View attachment 2833485 View attachment 2833487 View attachment 2833488 View attachment 2833491

1. Kwa nini kuweka uislamu kwenye mambo ya haki dhidi ya udhwalimu?

2. Palestina na Gaza waislam, wakristo na dini zingine wapo na wanaumia vile vile.

3. Israel waislam, wakristo na dini zingine wapo na madhwalimu vile vile kwa wanayoyafanya.

4. Kuyafumbia macho madhila ya wapalestina ni kuukumbatia udhwalimu.

5. Udhwalimu au haki havina dini!

MK254, FaizaFoxy, lini tutastaarabika?
 
1. Kwa nini kuweka uislamu kwenye mambo ya haki dhidi ya udhwalimu?

2. Palestina na Gaza waislam, wakristo na dini zingine wapo na wanaumia vile vile.

3. Israel waislam, wakristo na dini zingine wapo na madhwalimu vile vile kwa wanayoyafanya.

4. Kuyafumbia macho madhila ya wapalestina ni kuukumbatia udhwalimu.

5. Udhwalimu au haki havina dini!

MK254, FaizaFoxy, lini tutastaarabika?

Anza kwa kutazama video za unyama uliofanywa na hao mabingwa wenu akina HAMAS, walivyokua wanapiga risasi watoto wa Wayahudi, walivyopiga risasi **** na nyeti za wanawake, mnapaswa mjue Myahudi ni katili, ukimfanyia ukatili subiri atakujibu, na akijibu usianze hizi insha za kuandika andika eti ustaarabu.
 
Anza kwa kutazama video za unyama uliofanywa na hao mabingwa wenu akina HAMAS, walivyokua wanapiga risasi watoto wa Wayahudi, walivyopiga risasi **** na nyeti za wanawake, mnapaswa mjue Myahudi ni katili, ukimfanyia ukatili subiri atakujibu, na akijibu usianze hizi insha za kuandika andika eti ustaarabu.

Ukatili wa HAMAS utaujua wewe kuliko waliokuwa mateka?

Waliokuwa mateka Gaza wamuumbua Netanyahu
 
Hivi kuna mtu kadukua akaunti ya mleta mada, maana siku zote yeye ndiye hutuletea taarifa namna Israel inapokea kipigo....
 
Kwahiyo unataka kusema mauaji waliyouafanya Hamas siyo kitendo Cha kikatili? Na inakubalika?

Mkuu mimi nimewanukuu waliokuwa mateka na pia ndugu zao. Wao ndiyo pilipili wamezila:

Screenshot_20231206-143430.jpg


Kwani nawewe kuna mbili tatu ulizokula?
 
Ukiondoa hisia za kinyama na mtu akabaki na ubindadamu wake basi kwa kuangalia historia hakuna sababu ya kuilaumu Hamas kwa kushambulia na wala haipasi kuwalaumu kwa kutokuwa tayari kusalimu amri.

Hapa ndipo ujinga wenu unapojidhihirisha. Yaani ninyi muue adui zenu msilaumiwe ila mkiuliwa ninyi ndo adui alaumiwe na kuchukuliwa hatua. Akili zenu huwa hazieleweki kabisa. Yaani mnajikuta malast born sanaaa!

Binafsi hivi vilio vyako huwa naona ni uharo tu hadi siku nitakapoona ukiwasema hamas. Na naamini dunia itaanza kuwasikiliza na kuwaelewa siku mkiweza kuwakana hao magaidi mnaowafuga katika mataifa yenu. Ninyi mnawakumbatia walete tabu ulimwenguni halafu walimwengu wakichukua hatua mnaanza kulia ovyo

Halafu hueleweki. Kesho ukisikia kombora limeua wanajeshi kumi wa IDF utakuja hapa mbio kuchelea Israel anachezea kichapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom