Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Hamas ilishambulia Israel na kuteka Raia na mpaka sasa kuna raia wa Israel ambao wamebakia kama mateka mikononi kwa Hamas/Palestina na sioni ukilaani hilo.

Niseme tu, mpaka sasa Israel hana hatia yeyote juu ya damu ya wapalestina inayomwagika, na hata kama wapalestina wote watateketea hiyo damu itakuwa juu ya Hamas.

Uwezi ukashikilia raiya wa nchi fulani afu ukachekewa tu.

Wapalestina walitakiwa walitakiwa wajitenge na Hamas pamoja na kulaani kitendo cha Hamasi kuuwa na kuteka raiya wa Israel. Sasa kwa Kukaa kimya tafasiri yake ni moja tu HAMAS NA PALESTINA WANASHIRIKIANA
Hata sijui unaongea nini na wakati Palestine inakaliwa kimabavu na Israel. Unaongea vitu gani mkuu? Ebu pitia ulichoandika kwa utulivu uone kama kina make sense.
 
😁 Mwisho wa siku Kuna Watu Wana nguvu kuliko ww wanaweza kukufanya chochote na hamna kitu utafanya.....njoo ubishe mfano rahis tu umepewa access ya kutumia fake Id na mtu mwenye nguvu ili uwe free kusema chochote bila kudhurika na watu wenye nguvu kuliko ww
Na huyo aliye na nguvu Si naye kapewa Kama Mimi na yuko wa kuziondosha hizo nguvu? Mbona tembo huuliwa na chura
. Juzi hapa tuliona ulimwengu. mzima ukiwa katika taharuki, wenye nguvu wakifunga miji na kuwafungia ndani watu wake na maelfu kufariki kwa kitu kidogo hata gram moja hakifiki lakini kinaogopwa dunia nzima
 
Mkuu Acha kutowa povu hujalazimishwa kuwa mu islam amekwambia wenzio kutokana na mambo yanayo endeleya Gaza wamepata fursa ya kujifunza uislam ni Nini ,lakini sio lazima Uwe mwislam
Mimi siyo muislam na sina mpango wa kusilimu, lakini nakuhakikishia matendo ya Isarael yanapelekea wengi sana kufanya hivyo.

Hata USA wanaongeza waumini.
 
Mkuu Acha kutowa povu hujalazimishwa kuwa mu islam amekwambia wenzio kutokana na mambo yanayo endeleya Gaza wamepata fursa ya kujifunza uislam ni Nini ,lakini sio lazima Uwe mwislam
Nani amekwambia mimi ni Mu-islamu au Imani yangu inakuhusu wewe nini ? Nadhani jifunze kusoma tena na kuelewa point yangu kubwa ni to each his / her own uamuzi wa mtu yoyote ni haki yake hata wote wakiamua kuwa mashetani all the best to them (unless umani zao zitaleta shida kwenye uhuru wa wengine sioni tatizo)
 
ulisema Idf inapata kipigo huko Gaza , imekuwaje tena useme wao ndo wanaonea hamas?
Sio kama wanawaonea Hamas ila wanaonea watoto, wanawake na wagonjwa na wanafunzi

Kama wangekuwa wanawapiga Hamas ingekuwa sawa lakini Hamas wapo na wiki iliyopita waliongea nao na kubadilishana mateka

Nahisi Kuna kitu kipo nyuma ya pazia katika hi vita
 
Hamas according to you (unasema kwamba wanataka kuifuta Israel) Jambo ambalo Hamas wanawaambia watu wanaotaka kuwa-recruit tunataka kuwapa Taifa lenu ambalo lipo occupied..., Sidhani kama HAMAS wangesema tuungeni tufaifute Israel wangepata watu (Au wale watoto wanaozaliwa sasa hivi na nyumba zao kupigwa mabomu usiku na mchana ukiwauliza adui ni nani unadhani watakwambia nini au kesho wataenda kujiunga na hao the lesser of the two evils (according to where they stand)

View attachment 2834085
Yaani hapo wewe kama recruiter wala hauhitaji maneno mengi..., Now tell me nani anataka kumfuta nani ?
Jambo kubwa unalopaswa kulifahamu ni kuwa, kwa kadri ambavyo Hamas na makundi mengine ya Palestina yanavyoleta chokochoko dhidi ya Israel ndivyo ambavyo Israel inaongeza udhibiti wa hayo maeneo ili kuzima hizo chokochoko.
Kwa mfano, mwisho wa hii vita ya Gaza ya sasa huenda itapelekea 90% ya maeneo ya Gaza kuwa chini ya umiliki wa Israel milele!

Nani wa kulaumiwa?
Ujinga wa vikundi vya kigaidi ndani ya Palestina ndio vinazaa haya.

HASIRA ZA MKIZI FURAHA YA MVUVI.
 
Ile dini hawajitambui
Kwahiyo Ile vita ya dini ya Kiislam na Kiyahudi?

Au sijaelewa?

Kama ni vita ya kidini inaamana nchi zote za kiislam zikielekeza siraha zake Israel Kuna kiumbe kitakacho bakia pale?
 
Inashangaza sana kuwa binadamu sasa wamekuwa na roho za kinyama sana kwa sababu wanyama ndio ambao mwenzao akiliwa wanakuwa na msaada mdogo sana japokuwa kwa umoja wao wangeamua wangeweza kumuokoa.

Kinachotokea Gaza kinalingana sana na unyama.Kiwango cha vifo vya wapalestina na kujeruhiwa ni kikubwa sana na huenda haijawahi kutokea katika dunia tangu kuumbwa kwake.Kule Hiroshima na Nagasaki wajapani walikufa wengi kwa mpigo lakini kutokana na aina ya silaha iliyotumika hata watu hawakuona mateso yale kiasi kwamba wangelaumiwa kwa kutokutoa msaada kwa wenzao.

Pale Gaza hali ni tofauti sana kwani Israel ni taifa lenye silaha nyingi za kisasa ikipigana na Hamas ambao ni wanamgambo silaha yao kubwa ikiwa ni RPG na makombora yanayoruka hewani kwa mfumo wa kizamani.Silaha nyengine inayowasaidia na kuwasukuma mbele Hamas ni kujua madhila yaliyowakuta wazazi wao na wenyewe ambayo wameona hakuna njia nyengine isipokuwa ni kufa huku wakijitetea badala ya kufa kitandani.

Muhimu tunachokizungumzia hapa ni vile ambavyo Israel inapiga na kuua na kujeruhi wanawake na watoto mpaka wagonjwa na kuvunja majumba yao waliyojenga kwa shida.

Wengine waliobaki hai mwanzoni walitakiwa wahamie kusini,maskini wengi wakatiii amri hiyo,lakini hii ilikuwa kama kuwacheleweshea adhabu zao au kuwapunguzia kwa wakati huo kwani hawakuwachwa huru moja kwa moja kutokana na mashambulizi hayo.

Baada ya muda sasa Israel imekuja kusini na kuwataka hata wale walio katikati nao wazidi kuelekea kusini mpakani na Misri.Maskini wapalestina wa rika zote wametii japo haikuwasaidia chochote kwani makombora yanaendelea kupigwa na kuuliwa kwa idadi kubwa kila siku.

Watu waliokuwa na utajiri na familia zao mara wanajikuta wamebaki wapweke na hata mikoba ya akiba zao imewapotea na wanajikuta omba omba na waokotaji kwenye magofu ili wapate cha kula bila kuchagua ubora.
Katika hali hiyo ya kusongamana kwenye kambi za wakimbizi au kwa ndugu waliobaki na majumba bado wapalesina hao wanatakiwa hapo walipo waende mashariki au magharibi ili itoe nafasi ya kuvurugwa muda mfupi ujao.kwa kisingizio kuwa hapo walipo kuna Hamas.Maskini wote wanatii na kukimbia bila kutaka kufanya mjadala kuwa hawajawaona hao Hamas.Wanafanya hivyo kwa kujua kuwa ikisemwa hivyo kinachofuata ni makombora ya kusambaratisha kila kitu.

Wakipata amri kama hizo ama kwa vipeperushi au namna nyengineyo wapalestina hukimbizana kwa miguu au kwa gari za punda ambazo wachache wamebaki nazo. Hata hivyo wale wanaochelewa kidogo hupatikana viungo vyao tu vilivyotapakaa baada ya kufa kwa mabomu.

Muhimu zaidi tunachotaka kukieleza ni kuwa huo ukatili unaofanyika unafanywa mbele ya macho ya walimwengu wote wa makabila na dini zote. Ukiondoa hisia za kidini basi kiubinadamu tu basi isingepaswa kufanyika mbele ya binadamu wengine.

Kama ni lawama basi tukisema tulaumu hizo lawama zitaanza kwa watu wenye imani moja na wapalestina ambayo ni uislamu na ambayo ni dini karibu ya raia wote wanaoizunguka Palestina na Israel kwa ujumla.Hiyo ndiyo dini ya viongozi wa nchi hizo.

Matendo ya kuuliwa na kuchomewa majumba waislamu wala hayapo na hayajaanza Palestina na Gaza yake pekee.Hayo yamefanyika sana India,Myamar na China.Japo kuna mengi yangeweza kufanyika kuokoa hali zile lalini kule yawezekana ikasemwa ni mbali na hata hayakuwa yakioneshwa wazi wazi.

Haya yanayofanyika Gaza katikati ya ndugu zao na bila kuchukua hatua yoyote ile hakuna namna ya kuyaelezea isipokuwa ni unyama ambao umeingia ndani ya mioyo ya binadamu.

Kuna wenye nyoyo za kinyama ambao wanaweza wakaleta maneno ya kejeli kwa kisingizio kuwa piga Hamas haoo! eti kwa vile walishambulia oktoba 7.Ukiondoa hisia za kinyama na mtuj akabaki na ubindadamu wake basi kwa kuangalia historia hakuna sababu ya kuilaumu Hamas kwa kushambulia na wala haipasi kuwalaumu kwa kutokuwa tayari kusalimu amri.

Lawama kubwa itabaki kwa unyama ulioingia ndani ya nyoyo za binadamu wa karne hizi zinazokariibiana na kiama.Kwa hali hiyo kama litatokea la kutokea kwa unyama wa binadamu basi asilaumu hali ya tabia nchi wala nini isipokuwa abaki kujutia na kulaumu nafisi yake aliyoibadilisha na kuwa ya kinyama.

View attachment 2833477 View attachment 2833479 View attachment 2833489 View attachment 2833481 View attachment 2833485 View attachment 2833487 View attachment 2833488 View attachment 2833491
Bado Israeli anapiga kirafiki sana, anatoa mpaka taarifa na vipeperushi. Kule Ukraine tuliona Mrusi anaangamiza miji na wala sikukuona ukianzisha mada za namna hii ila ulikuwa mshabiki mkubwa wa Urusi. Sasa kwa kutulia uone vile shoo inapigwa, Netanyahu aliposema hili litakuwa ni eneo la ukiwa hakuwa anatania.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Tunakupa ushahidi uone kinachotokea sasa na kinatisha uje ung'amue kwa nini kitakachotokea huko mbele ya safari itakuwa ni machumo ya hiki tunachokishuhudia sasa.
Ingekuwa IDF tunaona wakiwagaragaza Hamas basi tusingekuwa na maneno mengi.Lakini kugaragaza raia na watoto lazima itasemwa na athari itatokea,
Mabomu yanakoelekea ndipo Hamas walipo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Vita vya so called Ugaidi haviwezi kushindwa kwa Mabavu kinachohitajika na Knowledge na kuonyesha kwamba Haki inatendeka....

Kinachoendelea sasa ni kuzalisha HAMAS wengine at an exponential level; KInachofanyika sasa its for detriment to the future world peace
Hii vita ikiisha, ndani ya miaka 20 amani itatamalaki ukanda wa Gaza.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Sio kama wanawaonea Hamas ila wanaonea watoto, wanawake na wagonjwa na wanafunzi

Kama wangekuwa wanawapiga Hamas ingekuwa sawa lakini Hamas wapo na wiki iliyopita waliongea nao na kubadilishana mateka

Nahisi Kuna kitu kipo nyuma ya pazia katika hi vita
Hakuna kitu kilichopo nyuma ya pazia, kila kitu kiko wazi.
Kambi na makundi ya Hamas yapo katikati ya makazi ya watu huku wakijificha katika makundi ya watoto na wanawake. Hakuna namna risasi ya askari wa kiisrael au kombola la Israel litamfikia hata askari mmoja wa Hamas bila kukutana na wingu la wanawake au watoto wasiopungua 20.

Hamas sio wajinga kukaa kihasara hasara. Jamii inayopiganiwa na Hamas imekubali 100% kulipa hiyo gharama ya kuwaficha wana mgambo wa Hamas. Kinachowapata watu wasiokuwa na hatia huko Gaza kwa sehemu kubwa ni matunda wanayovuna kwa kuwahifadhi Hamas.
 
Magaidi ni watu gani ? Kama Ugaidi ni Ideology tambua kwamba hata wewe kesho unaweza ukawa gaidi kutokana na fikra utakazopata kulingana na kuona labda kuna uonevu sehemu fulani...

Sasa kama kuna watu wanafanya recruitment kutoka kwa watu ambao wanakuwa brainwashed kuonesha uonevu wa aina yoyote hapo ni kuwaongezea pool ya recruitment..., alafu unajua kwanini kuna kitu kinaitwa Terrorists Cells ? Ni kwamba watu kama hawa hawana kiongozi; kiongozi wao ni ideology kwahio huenda mtu akafanya mambo ya ajabu bila kukutana na so called kiongozi yoyote wala kuwa na communication...

Hivyo kuepuka ugaidi ni kuonyesha kwenye Haki inatendeka na kukemea upuuzi na madhara kwa mtu / watu wowote wale no matter wanaitwa au wanatokea wapi unless otherwise tutakuwa tunaua mmoja na kudhalisha wanne...,
Ideology bila watu nayo imekufa pia. Jiulize wale magaidi wa kibiti wako wako, yaani watu wanakula na kushiba badala ya kufanya wanaanza kufuga ndevu na kuua polisi na kuteka silaha ati wanataka kuanzisha dola la Kiislam. Hawa risasi ziliwajibu, na mahandaki waliochimbia mpaka msikitini yalifumuliwa yote.
Mpaka leo kimya, gaidi siyo mtu wa kubembeleza.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Jambo kubwa unalopaswa kulifahamu ni kuwa, kwa kadri ambavyo Hamas na makundi mengine ya Palestina yanavyoleta chokochoko dhidi ya Israel ndivyo ambavyo Israel inaongeza udhibiti wa hayo maeneo ili kuzima hizo chokochoko.
Kwa mfano, mwisho wa hii vita ya Gaza ya sasa huenda itapelekea 90% ya maeneo ya Gaza kuwa chini ya umiliki wa Israel milele!

Nani wa kulaumiwa?
Ujinga wa vikundi vya kigaidi ndani ya Palestina ndio vinazaa haya.

HASIRA ZA MKIZI FURAHA YA MVUVI.
Unajua kitu kinaitwa Antisemitism na unajua kilivyowagharimu wa-Israel karne hadi karne yaani kuanzia wale kina Shylock mpaka kina Rothschild kupelekea kuchukiwa ulimwenguni (Ni Hitler na prosecution yake iliyopelekea ulimwengu kugeuka na kuona kwamba hawa wadau wanaonewa) sasa the shoe is on the other foot wakionekana wenyewe ndio waonevu mwisho wa siku wenyewe ndio wa kupoteza, huwezi uka-gain land kwa kutumia mabavu na kuwaminya watu unaweza kutumia busara na hekima na ukapata zaidi (wakoloni wameweza hilo mbona kirahisi tu na sisi tunawapa Ardhi yetu kwenye Silver Platter) Narudia tena Ideology haiondolewi kwa mtutu wa Bunduki...
 
Ideology bila watu nayo imekufa pia. Jiulize wale magaidi wa kibiti wako wako, yaani watu wanakula na kushiba badala ya kufanya wanaanza kufuga ndevu na kuua polisi na kuteka silaha ati wanataka kuanzisha dola la Kiislam. Hawa risasi ziliwajibu, na mahandaki waliochimbia mpaka msikitini yalifumuliwa yote.
Mpaka leo kimya, gaidi siyo mtu wa kubembeleza.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Walikwenda kulipua Kibiti nzima na kutembeza mabomu ? Sababu walichokuwa wanakifanya au kukitaka kilikuwa hakina tija na hata wanaowazunguka waliona hakina maana hao hao ndio walikuwa wa kwanza kutoa inteligensia kwamba hawa watu sio wenzetu..., Sababu hata kwa Macho ya Kaburu Mandela alikuwa Gaidi (lakini sababu alichokuwa anatetea kiliwagusa wadau wengi ) Apartheid alipata nguvu ingawa methology zilizotumika some could have been construed as terrorism...
 
Hii vita ikiisha, ndani ya miaka 20 amani itatamalaki ukanda wa Gaza.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hii Amani iliondoka vipi hapo Gaza.., Na waliokuwepo wakati inaondoka ndio hawa ambao karibia wote wanakufa au huenda wanaozaliwa leo ni wadau wapya wenye madai kama hayo hayo ya baba zao wanaokufa leo ?
 
Inashangaza sana kuwa binadamu sasa wamekuwa na roho za kinyama sana kwa sababu wanyama ndio ambao mwenzao akiliwa wanakuwa na msaada mdogo sana japokuwa kwa umoja wao wangeamua wangeweza kumuokoa.

Kinachotokea Gaza kinalingana sana na unyama.Kiwango cha vifo vya wapalestina na kujeruhiwa ni kikubwa sana na huenda haijawahi kutokea katika dunia tangu kuumbwa kwake.Kule Hiroshima na Nagasaki wajapani walikufa wengi kwa mpigo lakini kutokana na aina ya silaha iliyotumika hata watu hawakuona mateso yale kiasi kwamba wangelaumiwa kwa kutokutoa msaada kwa wenzao.

Pale Gaza hali ni tofauti sana kwani Israel ni taifa lenye silaha nyingi za kisasa ikipigana na Hamas ambao ni wanamgambo silaha yao kubwa ikiwa ni RPG na makombora yanayoruka hewani kwa mfumo wa kizamani.Silaha nyengine inayowasaidia na kuwasukuma mbele Hamas ni kujua madhila yaliyowakuta wazazi wao na wenyewe ambayo wameona hakuna njia nyengine isipokuwa ni kufa huku wakijitetea badala ya kufa kitandani.

Muhimu tunachokizungumzia hapa ni vile ambavyo Israel inapiga na kuua na kujeruhi wanawake na watoto mpaka wagonjwa na kuvunja majumba yao waliyojenga kwa shida.

Wengine waliobaki hai mwanzoni walitakiwa wahamie kusini,maskini wengi wakatiii amri hiyo,lakini hii ilikuwa kama kuwacheleweshea adhabu zao au kuwapunguzia kwa wakati huo kwani hawakuwachwa huru moja kwa moja kutokana na mashambulizi hayo.

Baada ya muda sasa Israel imekuja kusini na kuwataka hata wale walio katikati nao wazidi kuelekea kusini mpakani na Misri.Maskini wapalestina wa rika zote wametii japo haikuwasaidia chochote kwani makombora yanaendelea kupigwa na kuuliwa kwa idadi kubwa kila siku.

Watu waliokuwa na utajiri na familia zao mara wanajikuta wamebaki wapweke na hata mikoba ya akiba zao imewapotea na wanajikuta omba omba na waokotaji kwenye magofu ili wapate cha kula bila kuchagua ubora.
Katika hali hiyo ya kusongamana kwenye kambi za wakimbizi au kwa ndugu waliobaki na majumba bado wapalesina hao wanatakiwa hapo walipo waende mashariki au magharibi ili itoe nafasi ya kuvurugwa muda mfupi ujao.kwa kisingizio kuwa hapo walipo kuna Hamas.Maskini wote wanatii na kukimbia bila kutaka kufanya mjadala kuwa hawajawaona hao Hamas.Wanafanya hivyo kwa kujua kuwa ikisemwa hivyo kinachofuata ni makombora ya kusambaratisha kila kitu.

Wakipata amri kama hizo ama kwa vipeperushi au namna nyengineyo wapalestina hukimbizana kwa miguu au kwa gari za punda ambazo wachache wamebaki nazo. Hata hivyo wale wanaochelewa kidogo hupatikana viungo vyao tu vilivyotapakaa baada ya kufa kwa mabomu.

Muhimu zaidi tunachotaka kukieleza ni kuwa huo ukatili unaofanyika unafanywa mbele ya macho ya walimwengu wote wa makabila na dini zote. Ukiondoa hisia za kidini basi kiubinadamu tu basi isingepaswa kufanyika mbele ya binadamu wengine.

Kama ni lawama basi tukisema tulaumu hizo lawama zitaanza kwa watu wenye imani moja na wapalestina ambayo ni uislamu na ambayo ni dini karibu ya raia wote wanaoizunguka Palestina na Israel kwa ujumla.Hiyo ndiyo dini ya viongozi wa nchi hizo.

Matendo ya kuuliwa na kuchomewa majumba waislamu wala hayapo na hayajaanza Palestina na Gaza yake pekee.Hayo yamefanyika sana India,Myamar na China.Japo kuna mengi yangeweza kufanyika kuokoa hali zile lalini kule yawezekana ikasemwa ni mbali na hata hayakuwa yakioneshwa wazi wazi.

Haya yanayofanyika Gaza katikati ya ndugu zao na bila kuchukua hatua yoyote ile hakuna namna ya kuyaelezea isipokuwa ni unyama ambao umeingia ndani ya mioyo ya binadamu.

Kuna wenye nyoyo za kinyama ambao wanaweza wakaleta maneno ya kejeli kwa kisingizio kuwa piga Hamas haoo! eti kwa vile walishambulia oktoba 7.Ukiondoa hisia za kinyama na mtuj akabaki na ubindadamu wake basi kwa kuangalia historia hakuna sababu ya kuilaumu Hamas kwa kushambulia na wala haipasi kuwalaumu kwa kutokuwa tayari kusalimu amri.

Lawama kubwa itabaki kwa unyama ulioingia ndani ya nyoyo za binadamu wa karne hizi zinazokariibiana na kiama.Kwa hali hiyo kama litatokea la kutokea kwa unyama wa binadamu basi asilaumu hali ya tabia nchi wala nini isipokuwa abaki kujutia na kulaumu nafisi yake aliyoibadilisha na kuwa ya kinyama.

View attachment 2833477 View attachment 2833479 View attachment 2833489 View attachment 2833481 View attachment 2833485 View attachment 2833487 View attachment 2833488 View attachment 2833491
Al habib Mohammed Alwaz leo una lia lia baadae hamas wakirusha kombora sdoret una kuja na sired ingine ya kusifia et long live hamas 😂😂
nyie vijana wa mudi mna chekesha sana kwa kweli
 
Inashangaza sana kuwa binadamu sasa wamekuwa na roho za kinyama sana kwa sababu wanyama ndio ambao mwenzao akiliwa wanakuwa na msaada mdogo sana japokuwa kwa umoja wao wangeamua wangeweza kumuokoa.

Kinachotokea Gaza kinalingana sana na unyama.Kiwango cha vifo vya wapalestina na kujeruhiwa ni kikubwa sana na huenda haijawahi kutokea katika dunia tangu kuumbwa kwake.Kule Hiroshima na Nagasaki wajapani walikufa wengi kwa mpigo lakini kutokana na aina ya silaha iliyotumika hata watu hawakuona mateso yale kiasi kwamba wangelaumiwa kwa kutokutoa msaada kwa wenzao.

Pale Gaza hali ni tofauti sana kwani Israel ni taifa lenye silaha nyingi za kisasa ikipigana na Hamas ambao ni wanamgambo silaha yao kubwa ikiwa ni RPG na makombora yanayoruka hewani kwa mfumo wa kizamani.Silaha nyengine inayowasaidia na kuwasukuma mbele Hamas ni kujua madhila yaliyowakuta wazazi wao na wenyewe ambayo wameona hakuna njia nyengine isipokuwa ni kufa huku wakijitetea badala ya kufa kitandani.

Muhimu tunachokizungumzia hapa ni vile ambavyo Israel inapiga na kuua na kujeruhi wanawake na watoto mpaka wagonjwa na kuvunja majumba yao waliyojenga kwa shida.

Wengine waliobaki hai mwanzoni walitakiwa wahamie kusini,maskini wengi wakatiii amri hiyo,lakini hii ilikuwa kama kuwacheleweshea adhabu zao au kuwapunguzia kwa wakati huo kwani hawakuwachwa huru moja kwa moja kutokana na mashambulizi hayo.

Baada ya muda sasa Israel imekuja kusini na kuwataka hata wale walio katikati nao wazidi kuelekea kusini mpakani na Misri.Maskini wapalestina wa rika zote wametii japo haikuwasaidia chochote kwani makombora yanaendelea kupigwa na kuuliwa kwa idadi kubwa kila siku.

Watu waliokuwa na utajiri na familia zao mara wanajikuta wamebaki wapweke na hata mikoba ya akiba zao imewapotea na wanajikuta omba omba na waokotaji kwenye magofu ili wapate cha kula bila kuchagua ubora.
Katika hali hiyo ya kusongamana kwenye kambi za wakimbizi au kwa ndugu waliobaki na majumba bado wapalesina hao wanatakiwa hapo walipo waende mashariki au magharibi ili itoe nafasi ya kuvurugwa muda mfupi ujao.kwa kisingizio kuwa hapo walipo kuna Hamas.Maskini wote wanatii na kukimbia bila kutaka kufanya mjadala kuwa hawajawaona hao Hamas.Wanafanya hivyo kwa kujua kuwa ikisemwa hivyo kinachofuata ni makombora ya kusambaratisha kila kitu.

Wakipata amri kama hizo ama kwa vipeperushi au namna nyengineyo wapalestina hukimbizana kwa miguu au kwa gari za punda ambazo wachache wamebaki nazo. Hata hivyo wale wanaochelewa kidogo hupatikana viungo vyao tu vilivyotapakaa baada ya kufa kwa mabomu.

Muhimu zaidi tunachotaka kukieleza ni kuwa huo ukatili unaofanyika unafanywa mbele ya macho ya walimwengu wote wa makabila na dini zote. Ukiondoa hisia za kidini basi kiubinadamu tu basi isingepaswa kufanyika mbele ya binadamu wengine.

Kama ni lawama basi tukisema tulaumu hizo lawama zitaanza kwa watu wenye imani moja na wapalestina ambayo ni uislamu na ambayo ni dini karibu ya raia wote wanaoizunguka Palestina na Israel kwa ujumla.Hiyo ndiyo dini ya viongozi wa nchi hizo.

Matendo ya kuuliwa na kuchomewa majumba waislamu wala hayapo na hayajaanza Palestina na Gaza yake pekee.Hayo yamefanyika sana India,Myamar na China.Japo kuna mengi yangeweza kufanyika kuokoa hali zile lalini kule yawezekana ikasemwa ni mbali na hata hayakuwa yakioneshwa wazi wazi.

Haya yanayofanyika Gaza katikati ya ndugu zao na bila kuchukua hatua yoyote ile hakuna namna ya kuyaelezea isipokuwa ni unyama ambao umeingia ndani ya mioyo ya binadamu.

Kuna wenye nyoyo za kinyama ambao wanaweza wakaleta maneno ya kejeli kwa kisingizio kuwa piga Hamas haoo! eti kwa vile walishambulia oktoba 7.Ukiondoa hisia za kinyama na mtuj akabaki na ubindadamu wake basi kwa kuangalia historia hakuna sababu ya kuilaumu Hamas kwa kushambulia na wala haipasi kuwalaumu kwa kutokuwa tayari kusalimu amri.

Lawama kubwa itabaki kwa unyama ulioingia ndani ya nyoyo za binadamu wa karne hizi zinazokariibiana na kiama.Kwa hali hiyo kama litatokea la kutokea kwa unyama wa binadamu basi asilaumu hali ya tabia nchi wala nini isipokuwa abaki kujutia na kulaumu nafisi yake aliyoibadilisha na kuwa ya kinyama.

View attachment 2833477 View attachment 2833479 View attachment 2833489 View attachment 2833481 View attachment 2833485 View attachment 2833487 View attachment 2833488 View attachment 2833491
Waarabu wa, turkey, Egypt, Lebanon, Pakistan, Yemen, saudia,Qatar, mpaka wale waarab Koko wa zenj,wamebqki kusema maneno tu kama wanaimba taarab, ilibidi wapereke jeshi kwa Siri, watumie mbinu za Iran, na Republican guard yake, watengeneze kitu kama ilivyokuwa Islamic State,
Wavamie Israel, walianzishe mpaka myahudi akimbie, maneno tu hayasaidii kitu, mzungu kuua kwake kawaida tu,
Alimtesa mwafrika kwa miaka 400!, alianza na utumwa, akaja na, ukoroni, akambeba kwa minyororo ya shingo, akaenda kumtumikisha America! Wala hajawahi, kuomba radhi, mzungu(Anglo Saxon) ni Yule Yule wa mkutano wa Berlin kuigawa Afrika! Sasa hawa wapalestina wameteseka kwa miaka 70! Wanategemea mzungu awaonee huruma! Watakawisha, kama waarab hawataungana na kukiwasha Huko, mashariki ya, kati
 
Unajua kitu kinaitwa Antisemitism na unajua kilivyowagharimu wa-Israel karne hadi karne yaani kuanzia wale kina Shylock mpaka kina Rothschild kupelekea kuchukiwa ulimwenguni (Ni Hitler na prosecution yake iliyopelekea ulimwengu kugeuka na kuona kwamba hawa wadau wanaonewa) sasa the shoe is on the other foot wakionekana wenyewe ndio waonevu mwisho wa siku wenyewe ndio wa kupoteza, huwezi uka-gain land kwa kutumia mabavu na kuwaminya watu unaweza kutumia busara na hekima na ukapata zaidi (wakoloni wameweza hilo mbona kirahisi tu na sisi tunawapa Ardhi yetu kwenye Silver Platter) Narudia tena Ideology haiondolewi kwa mtutu wa Bunduki...
Mimi nimekujibu wazi na kirahisi kabisa. Israel hakuamka na kwenda kutwaa ardhi ya wapalestina. Kila chokochoko ya kigaidi ya vikundi vya kipalestina iliifanya Israel kudhibiti maeneo zaidi ya Palestina.

Mimi nakuuliza, kwa tukio la Hamas la 7 october, utashangaa Israeli ikiikalia kimabavu Gaza kwa 90% ?
 
Mimi nimekujibu wazi na kirahisi kabisa. Israel hakuamka na kwenda kutwaa ardhi ya wapalestina. Kila chokochoko ya kigaidi ya vikundi vya kipalestina iliifanya Israel kudhibiti maeneo zaidi ya Palestina.

Mimi nakuuliza, kwa tukio la Hamas la 7 october, utashangaa Israeli ikiikalia kimabavu Gaza kwa 90% ?
Nope nina uhakika hii issue ikiisha Palestina itapata ardhi kubwa zaidi ya iliyonayo sasa.... sio kama iliyokuwa nayo miaka 10, ishirini iliyopita ila kubwa kuliko ya 7th Oktoba... And Israelite's have just added some more enemies among this Gen Z (ambao walikuwa hawapo miaka ya mapigano ya huko nyuma), Pili hio Apartheid inayoendelea huko nadhani itabidi ipungue pia
 
Back
Top Bottom