Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama

Magaidi ni hamas wakifadhiliwa na Iran
Kesho wakija wanaoitwa Pro Palestinians wakifadhiliwa na watu wasiopenda Israel wataacha kuwa magaidi ? Ndio maana nikakwambia ukipigana vita na Jeshi unajua nani wa kumaliza ukipigana vita ambavyo ni ideology, unapigana na invisible enemy kwahio mabavu ni last resort sio mzuizi...;

Mfano Osama waliopiga Ubalozi wa Tanzania na Kenya hata Osama walikutana nae ?; Watu wanaopigana kwa Jina la Muumba wao Je ni kweli Muumba wao anahitaji msaada ?; Hivyo utaona kwamba hao watu na wengine wote wakikemea kwamba Kumaliza Raia mmoja haina justification ya aina yoyote au sababu hawa wanataka Taifa lao Huru la Palestina wakiwapa hilo Taifa huenda wakiendelea kudai wataonekana ni wakorofi (Kama ambavyo kila mtu ali-condemn Ubalozi wa Kenya na Tanzania ulivyopigwa Bomu)
 
Yaani hapa ndio utajua kuwa kuwa mpole sio ujinga bali ni akili kubwa........kwa ujinga wa hamas wamesababisha mauti na majeraha yasiyo na idadi kwa raia wasio na hatia ..............kwa ujinga wa watu wachache tu.....haya kwa yaliyofanyika mlisema hamas kashinda je kachukua ardhi yake ?? Au bado yuko kwenye tobo anamuogopa myahudi
HAMAS ni nani ? Hivi unajua shida ya vikundi kama Hamas ni recruitment ya watu (tena mbaya zaidi hao watu wala sio wanajeshi, unaweza ukakuta jirani yako au mwanao amekuwa recruited sababu ya hio ideology) Sasa niambie hapo HAMAS imeshindwa au imekuwaje...; Unajua kitu kinatiwa Terrorists Cells ?

Kwa HAMAS the end justifies the means kwahio unajuaje kama motto yao ni afadhali rather die like a man than live a coward ? Sasa methodology unayotumia inapelekea kupunguza au kuongeza watu wenye fikra hizo...
 
Israel haiwezi kujilinda isifutike kwa kuua raia wa Palestina na kuwawinda Hamas.Hicho kitu kiko njiani na hakiko mbali.
Endelea kujifariji kila uchwao drones zinadondosha maghorofa tu huko Gaza.
 
Baada ya kumalizika kwa usitishaji wa vita kwa muda wa wiki moja na ubadilishanaji wa mateka vita vimeanza upya kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas.

Katika ngwe hii mpya na katika hai ya kushangaza Hamas wamefanikiwa kurusha makombora kutoka kaskazini ya Gaza na kuyavurumisha kusini ya Israel karibu kabisa na mpaka wa Gaza.Kwa upande wake Israel wameanza kwa kushambulia mji wa Rafah ulio mpkakani na Misri.

Baada ya vita vikali vya Israel kwa kutumia jeshi la anga na vifaru,vita halisi walivyokuwa wakivisubiri Hamas vitakavyowatoa jasho na kamasi Israel vimeanza.vita hivyo vinaweza vikavuta zaidi muda wa mapigano kati ya mwamba huyo na wapiganaji ambao muda mwengine wakiwa vitani huamua kuvaa suruali za adidas na malapa
Vita hivyo japo Israel tangu mwanzo waliviogopa lakini kwa vile wameshavivulia nguo ni lazima waviogelee.Vita vyenyewe ni vya kupigana mtaa kwa mtaa ndani ya magofu na majumba yaliyohamwa ya jiji la Gaza.
Kuonesha kwamba bado Hamas wapo Gaza na wana nguvu na nidhamu za hali ya juu chini ya viongozi wao,Wanamgambo hao siku ya tatu ya kubadilishana mateka kwa wafungwa wa kipalestina Hamas waliibuka katikati ya Gaza kwenye uwanja wa mashujaa na kukabidhi mateka wa Israel,
Mbali na tukio hilo Hamas pia ilitaka tukio la mwisho la kukabidhiana mateka iwe ni wafungwa wa kipalestina kwa maiti za askari wa IDF waliokufa vitani.Kitendo hicho kiliikasirisha mno Israel na hivyo kukataa mpango huo.
Matukio ya kuitangaza Hamas huwa yanaikasirisha Israel kiasi kwamba kule ukingo wa mashariki wafungwa wa kipalestina wakishaachiwa basi ni marufuku kwa ndugu zao kusherehekea kwa kukushanyika na kuwapokea kwa sauti au kwa mabango.

Ndio uchaguzi wa Hamas.Hakuna kuachia mateka hata mmoja mpaka vita visimame moja kwa moja.
Netanyahu atajuana na malelfu ya waisrael wanaodai ndugu zao.
Walioachiwa huru kama walikuwa ndugu mmoja tu ndiye aliyetoka.Hakuna cha kumwambia kumdai mwenzake aliyebaki Gaza.
Mambo yamebadirika ghafla hii mashujaa wako wanagaragazwa? Nikajua ndio kwanza wanaenda kuitimua Israel kwake.
 
Achieni Mateka wasio na hatia.. Pumbavu.. kwa Hamas Arabs country wameshindwa kuwaunga mkono maana kuiga Matendo ya Mohamed sw katika karne hii hata Saudia Arabia hawezi kukuunga mkono japo ni uislam haswa uliofanywa na Hamas.. and kudanganya watu kwa kutumia Aljazeera na vi TV uchwara vya waarabu kuonesha Watoto wanaigiza kufa na kujipaka tomato source kila news washachoka.. na kupuuzia watafute njia nyingine tena even waandamanaji nchi nyingi washajua wanachezeshwa mziki na Hamas.. stage news foolish achieni Mateka wekeni Silaha chini. Muishi ugenini kwenye Land of Israel sons even Koran ime confirm

Sasa mbona huko Israeli wamewakamata mateka zaidi ya elfu 10 na wako ndani wengine zaidi ya miaka 30 , mbona hawaaachiwi wote , ??

Wewe endelea na ukafiri wako wenzako hivi vita vimewaamsha , wamepata nafasi wakausoma uislamu na wamesilimu kwa kuuona ukweli

 
Kesho wakija wanaoitwa Pro Palestinians wakifadhiliwa na watu wasiopenda Israel wataacha kuwa magaidi ? Ndio maana nikakwambia ukipigana vita na Jeshi unajua nani wa kumaliza ukipigana vita ambavyo ni ideology, unapigana na invisible enemy kwahio mabavu ni last resort sio mzuizi...;

Mfano Osama waliopiga Ubalozi wa Tanzania na Kenya hata Osama walikutana nae ?; Watu wanaopigana kwa Jina la Muumba wao Je ni kweli Muumba wao anahitaji msaada ?; Hivyo utaona kwamba hao watu na wengine wote wakikemea kwamba Kumaliza Raia mmoja haina justification ya aina yoyote au sababu hawa wanataka Taifa lao Huru la Palestina wakiwapa hilo Taifa huenda wakiendelea kudai wataonekana ni wakorofi (Kama ambavyo kila mtu ali-condemn Ubalozi wa Kenya na Tanzania ulivyopigwa Bomu)

kwani nyinyi mnapenda ushoga ndio mkashabikia Israili ??
 
HAMAS ni nani ? Hivi unajua shida ya vikundi kama Hamas ni recruitment ya watu (tena mbaya zaidi hao watu wala sio wanajeshi, unaweza ukakuta jirani yako au mwanao amekuwa recruited sababu ya hio ideology) Sasa niambie hapo HAMAS imeshindwa au imekuwaje...; Unajua kitu kinatiwa Terrorists Cells ?

Kwa HAMAS the end justifies the means kwahio unajuaje kama motto yao ni afadhali rather die like a man than live a coward ? Sasa methodology unayotumia inapelekea kupunguza au kuongeza watu wenye fikra hizo...
 
Sasa mbona huko Israeli wamewakamata mateka zaidi ya elfu 10 na wako ndani wengine zaidi ya miaka 30 , mbona hawaaachiwi wote , ??

Wewe endelea na ukafiri wako wenzako hivi vita vimewaamsha , wamepata nafasi wakausoma uislamu na wamesilimu kwa kuuona ukweli

View attachment 2833821
Na watu kama nyie ndio mnaupa Uislamu a Bad Name..., na kuwapa fursa ya kuwa-brush waisalamu wote kwamba wana fikra kama zako....

Ni mpuuzi pekee anayeishi kwenye dunia ambayo ni multicultural kutaka watu wote wawe kama yeye...
 
Mungu ni katika ulimwengu wa roho lkn ktk ulimwengu wa damu na nyama mambo ni tofauti

😁 Unajua kwann unatumia fake ID
Mungu hana mambo ya kiroho mbali na ya kimwili mbali yote ni yake

Natumia fake id kama unavyotumia wewe Mpaji mungu 😛
 
Na watu kama nyie ndio mnaupa Uislamu a Bad Name..., na kuwapa fursa ya kuwa-brush waisalamu wote kwamba wana fikra kama zako....

Ni mpuuzi pekee anayeishi kwenye dunia ambayo ni multicultural kutaka watu wote wawe kama yeye...

wenzako hawa wengine wanasilimu wewe shabikia mashoga

1701772274257.jpeg



Armenian priest Razmik Kasturianni converts to Islam and changes his name to Ramadan.
Allahu Akbar
 
wenzako hawa wengine wanasilimu wewe shabikia mashoga

View attachment 2833831


Armenian priest Razmik Kasturianni converts to Islam and changes his name to Ramadan.
Allahu Akbar
SIna muda kama wewe kufuatilia maisha ya watu au maamuzi ya watu, ninaheshimu choices za mtu yoyote yule ilimradi havunji sheria wala kuumiza mtu yoyote....

To each his/her own......
 
Alwaz umeandika mada yako Kwa uchungu mkubwa Sana mara nyingi huwa nasoma mada zako ila leo naona upo deep Sana.
Huu uchungu ulio nao umenikuta nami pia juzi baada ya Israel kupiga kambi ya wakimbizi kwa siku mbili mfululizo nilikuwa naangalia watoto wadogo kama wanangu jinsi wanavyokufa na kupoteza wazazi wao kwa kweli inaumiza

Kwa upande Fulani hizi shida ambazo wapalestina wanapata zinatokana na waarabu wenzao wenye nguvu Kati ya Iran na Saudi Arabia kutoelewana kiimani,kiitikadi na kisiasa, ebu fikiria hawa jamaa wangekuwa ni kitu kimoja kama ilivyo USA na nchi za magharibi hii dunia ya waarabu ingekuaje? Ni nchi Ipi ingeweza kugusa muunganiko wao kiuchumi,kijeshi na usalama?

Tatizo kubwa la waarabu ni kubaguana wao kwa wao Kwa misingi ya kiimani Kwa kifupi hawana tofauti na Sisi waafrica... angalia jinsi wazungu walivyoweza kuwagawa waarabu kiuchumi yaani zile nchi zote ambazo wazungu ni marafiki wao ziko vizuri kwa kila sekta na zile ambazo Iran anazisaidia ni vita tupu
Hizo nchi za kiarabu hata zikiungana zote bado zitabaki sio chochote wala lolote kwa hizo nchi za wazungu.

Tukubali kuwa wazungu walishatangulia kitambo na bado anatuongoza huku mwendo wao ni wakukimbia wakati sisi tunaoongozwa mwendo wetu ni wakutembea.

Huyo Irani sio chochote kabisa na misaada anayoitoa kwa waarabu wenzake ni ile misaada ya kijambazi ambayo haitawaendeleza wenzao badala yake inawatengenezea uhasama na chuki dhidi ya nchi zingine kitu ambacho kinakuja kuwapelekea wapokee kipigo cha mbwa mwizi kama Palestina
 
Hizo nchi za kiarabu hata zikiungana zote bado zitabaki sio chochote wala lolote kwa hizo nchi za wazungu.

Tukubali kuwa wazungu walishatangulia kitambo na bado anatuongoza huku mwendo wao ni wakukimbia wakati sisi tunaoongozwa mwendo wetu ni wakutembea.

Huyo Irani sio chochote kabisa na misaada anayoitoa kwa waarabu wenzake ni ile misaada ya kijambazi ambayo haitawaendeleza wenzao badala yake inawatengenezea uhasama na chuki dhidi ya nchi zingine kitu ambacho kinakuja kuwapelekea wapokee kipigo cha mbwa mwizi kama Palestina
Wazungu wametuacha miaka 300 nyuma
 
Unashindwa kupata mantiki ya maandiko kama haya.Hatupo kwa ajili ya kulia lia kama unavyodhani.
Hii habari unahusu ubinadamu na unyama
Tukishindwa kuonesha ubinadamu wetu basi tunaweza kugeuzwa wanyama kabisa na si sisi tu bali na nyinyi pia mtaumia au tuseme tutadhurika sote kwa pamoja.
Kwenye andiko lako mkuu, limenihudhunisha sana mkuu, hata hivyo, Wayahudi waachwe tu wasichokozwe tena na ili amani iendelee kutawala

Hao majamaa, walishapitia madhila mengi mno katika historia yao, kunyanyasa, kuuwa na kutokuwa na huruma, wanaweza na ndivyo walivyo, wao wanaimani kali saana kushinda itikadi zote za imani duniani

Na lingine, hayo majamaaa, kwa tekinolojia yako juuu sanakulikoni watu wote duniani
 
Back
Top Bottom