Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Ni wapi Quarn imewatambua Wasaudia na nchi yao?

Usikaze fuvu. Palestina ni nchi kama ilivyo Tanzania. kabla ya uhuni wa marekani palestina ilikuwa hadi na sarafu yake na hati yake ya kusafiria. Kinachoongelewa ni wakazi wa Palestina na ardhi ya Palestina. Quran haijawahi kusema ardhi ya Gaza ni mali ya Waisrael. Biblia ndo iliweka wazi kabisa kwamba Gaza siyo ardhi wa Wana wa Israel.
Unakwepa maswali hapa hatuzingumzii Saudia Arabia,nani anagombania Saudia Arabia ,

Quran imewazunginzia Wana Israel tu, na urithi wa hiyo Ardhi,

Unakimbilia kusema Gaza ndio ya Waisraeli,pale Yerusalemu ,Masjid Al aqsa inafanya nini

Kama Quran inawatambua waisraeli na Ardhi ,

Unapowatetea WAPALESTINA mtuambie kwa hiyo hiyo Quran wametajwa wapi ,maana kwanza inaonesha hujui hata Jina Palestina limeanza lini
FB_IMG_1739050886026.jpg
 
Ni wapi Quarn imewatambua Wasaudia na nchi yao?

Usikaze fuvu. Palestina ni nchi kama ilivyo Tanzania. kabla ya uhuni wa marekani palestina ilikuwa hadi na sarafu yake na hati yake ya kusafiria. Kinachoongelewa ni wakazi wa Palestina na ardhi ya Palestina. Quran haijawahi kusema ardhi ya Gaza ni mali ya Waisrael. Biblia ndo iliweka wazi kabisa kwamba Gaza siyo ardhi wa Wana wa Israel.
Wewe inaonesha hata historia ya hao WAPALESTINA na hilo jina huijui

Kwanza, kihistoria, Palestina kama taifa huru halijawahi kuwepo kama vile Tanzania ilivyo. Jina "Palestina" lilianza kutumiwa sana baada ya Warumi kuteka eneo hilo na kulipa jina hilo karne ya pili BK. Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa limehusiana na Israeli na majimbo mengine kama Yudea na Samaria. Hata baada ya Dola ya Ottoman kulidhibiti kwa karne nyingi, eneo hilo halikuwa taifa huru, bali lilikuwa sehemu ya mamlaka ya Waingereza chini ya Umoja wa Mataifa baada ya Vita ya Kwanza ya Dunia.

Pili, kwa mtazamo wa kisheria, mataifa hupatikana kwa msingi wa uhuru wa kisiasa, mipaka inayotambuliwa kimataifa, na uanachama wa mashirika ya kimataifa kama Umoja wa Mataifa. Tanzania, kwa mfano, ilipata uhuru wake kutoka kwa Uingereza mwaka 1961 na kutambuliwa rasmi kama taifa huru lenye mamlaka kamili. Palestina, kwa upande mwingine, bado inapitia mchakato wa utambulisho wa kisiasa, ambapo baadhi ya nchi zinaitambua lakini haina uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa kama taifa huru.

Tatu, kwa mtazamo wa Biblia, ardhi ya Palestina kihistoria inahusiana na Israeli. Maandiko mengi yanaonyesha kuwa eneo hilo liliahidiwa kwa Wanaisraeli kupitia Abrahamu (Mwanzo 15:18-21). Ingawa Biblia haizingatii siasa za sasa, inatambua mipaka ya Israeli na historia ya watu wa eneo hilo.

Kwa hiyo, hoja kwamba Palestina ni taifa kama Tanzania haina msingi wa kihistoria, kisheria, wala wa kimapokeo ya kidini. Ardhi ya Palestina ipo, watu wa Kipalestina wapo, lakini taifa kamili la Palestina halijawahi kuwa na uhuru wa kudumu kama vile Tanzania.
 
blia ndo iliweka wazi kabisa kwamba Gaza siyo ardhi wa Wana wa Israel.
Kwa Mujibu wa Biblia ipi hiyo ?Kwakuwa umeisingizia Biblia nitatumia hiyo hiyo Biblia ,

Katika Biblia, Gaza inatajwa mara nyingi kama sehemu ya Wafilisti, lakini hilo halimaanishi kuwa haikuwa sehemu ya urithi wa Wana wa Israeli.

Nenda kasome Mwanzo 15:18-21, Mungu alimwahidi Abrahamu ardhi inayotoka mto wa Misri hadi mto mkubwa, mto Frati, ambayo ilijumuisha maeneo yaliyokuwa chini ya Wafilisti, wakiwemo watu wa Gaza.

Nenda Tena kasome Yoshua 13:2-3, Mungu alimwambia Yoshua kuwa bado kuna maeneo ambayo hayajamilikiwa na Israeli, yakiwemo yale ya Wafilisti kama Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi, na Ekroni.

Kwahiyo elewa Gaza ilikuwa sehemu ya ardhi ambayo Mungu aliwapa Wana wa Israeli, lakini hawakuimiliki mara moja.

Katika kitabu cha Waamuzi 1:18 inasema kuwa kabila la Yuda liliteka Gaza, Ashkeloni, na Ekroni, japo baadaye Wafilisti waliendelea kuwa na nguvu katika maeneo hayo.

Katika historia ya Israeli, tunawaona wafalme kama Daudi na Sulemani wakieneza mamlaka yao hadi maeneo ya Wafilisti, ikiwa ni pamoja na Gaza. Ingawa Wafilisti waliendelea kuwepo kama wapinzani, hilo halibatilishi kuwa eneo hilo lilihusiana na urithi wa Israeli kulingana na ahadi za Mungu.

Kwahiyo hoja kuwa Gaza sio sehemu ya Ardhi waliorithishwa Wana wa Israel kupitia Babu yao ibrahimu ni uzushi kama uzushi mwingine
 
Wenye ardhi ni wenyeji wao walipelekwa pale , mbona logic ndogo sana
WAPALESTINA ni wavamizi walioletwa hapo na Warumi ,Soma historia

Wameletwa juzi tu hapo , WAPALESTINA sio WAFILIST

Wafilisti siyo Wapalestina. Ingawa majina yao yanafanana, asili zao ni tofauti kabisa kihistoria, kiutamaduni, na hata kijiografia.

Wafilisti walikuwa watu wa asili ya Kihindi-Kizungu (Indo-European) waliotoka maeneo ya Bahari ya Aegean (kama Krete na visiwa vingine vya Mediterania). Walifika katika pwani ya Kanaani mnamo karne ya 12 KK na wakajenga miji mikuu mitano: Gaza, Ashkeloni, Ashdodi, Ekroni, na Gathi. Biblia inawataja Wafilisti kama wapinzani wakubwa wa Israeli, na majina kama Goliathi wa Gathi yanaonyesha walikuwa watu tofauti kabila na Wanaisraeli. Wafilisti walitoweka kama kikundi cha kitamaduni baada ya kushindwa na Waashuru mnamo karne ya 7 KK na hatimaye Wababeli waliomaliza kabisa uwepo wao wa kisiasa.

Kwa upande mwingine, Wapalestina wa leo ni Waarabu kwa asili, wakihusiana na jamii zilizokuwa ndani ya Dola ya Ottoman na baadaye Uingereza. Licha ya kwamba jina "Palestina" lilitumiwa na Warumi baada ya kuharibu Yerusalemu mwaka 135 BK ili kufuta utambulisho wa Kiyahudi, Wapalestina wa sasa hawana uhusiano wa moja kwa moja na Wafilisti wa Biblia. Wapalestina ni mchanganyiko wa Waarabu wa asili ya Kisemiti, Wamisri, Waashuru, na makabila mengine yaliyoishi katika eneo hilo kwa karne nyingi.

Kwa hivyo, madai kwamba Wapalestina wa leo ni Wafilisti wa Biblia hayana msingi wa kihistoria au kijenetiki. Ni makosa kuchanganya Wafilisti wa zamani, ambao walitoweka, na Wapalestina wa sasa, ambao ni sehemu ya jamii pana ya Waarabu wa Mashariki ya Kati.
 
WAPALESTINA ni wavamizi walioletwa hapo na Warumi ,Soma historia

Wameletwa juzi tu hapo , WAPALESTINA sio WAFILIST

Wafilisti siyo Wapalestina. Ingawa majina yao yanafanana, asili zao ni tofauti kabisa kihistoria, kiutamaduni, na hata kijiografia.

Wafilisti walikuwa watu wa asili ya Kihindi-Kizungu (Indo-European) waliotoka maeneo ya Bahari ya Aegean (kama Krete na visiwa vingine vya Mediterania). Walifika katika pwani ya Kanaani mnamo karne ya 12 KK na wakajenga miji mikuu mitano: Gaza, Ashkeloni, Ashdodi, Ekroni, na Gathi. Biblia inawataja Wafilisti kama wapinzani wakubwa wa Israeli, na majina kama Goliathi wa Gathi yanaonyesha walikuwa watu tofauti kabila na Wanaisraeli. Wafilisti walitoweka kama kikundi cha kitamaduni baada ya kushindwa na Waashuru mnamo karne ya 7 KK na hatimaye Wababeli waliomaliza kabisa uwepo wao wa kisiasa.

Kwa upande mwingine, Wapalestina wa leo ni Waarabu kwa asili, wakihusiana na jamii zilizokuwa ndani ya Dola ya Ottoman na baadaye Uingereza. Licha ya kwamba jina "Palestina" lilitumiwa na Warumi baada ya kuharibu Yerusalemu mwaka 135 BK ili kufuta utambulisho wa Kiyahudi, Wapalestina wa sasa hawana uhusiano wa moja kwa moja na Wafilisti wa Biblia. Wapalestina ni mchanganyiko wa Waarabu wa asili ya Kisemiti, Wamisri, Waashuru, na makabila mengine yaliyoishi katika eneo hilo kwa karne nyingi.

Kwa hivyo, madai kwamba Wapalestina wa leo ni Wafilisti wa Biblia hayana msingi wa kihistoria au kijenetiki. Ni makosa kuchanganya Wafilisti wa zamani, ambao walitoweka, na Wapalestina wa sasa, ambao ni sehemu ya jamii pana ya Waarabu wa Mashariki ya Kati.
Hao waisrael ni wavamizi sijui unaangaika na kitu gani!!!, vitabu vyote vinathibitisha kuwa Israel ni mtu wa kuja hapo sio asili yake, unachokataa wewe kipi?
 
Hao waisrael ni wavamizi sijui unaangaika na kitu gani!!!, vitabu vyote vinathibitisha kuwa Israel ni mtu wa kuja hapo sio asili yake, unachokataa wewe kipi?
Kwahiyo Allah alipowapa hiyo Ardhi ,alihusika kwenye uvamizi?

Je WAPALESTINA ambao kiasili ni waarabu ,kwao ni wapi ,leta ushahidi wa Quran

Simple tu
 
Kwahiyo Allah alipowapa hiyo Ardhi ,alihusika kwenye uvamizi?

Je WAPALESTINA ambao kiasili ni waarabu ,kwao ni wapi ,leta ushahidi wa Quran

Simple tu
Ndio mbona kawaida sana , Allah anaweza kuua hata watu wasio na hatia ya moja kwa moja, yeye si ndio Muumbaji anaamua tu ila kibinadamu inabaki kuwa uvamizi kwa maana walikuta wenyeji pale, kuhusu Wapalestina ambao kiasili ni waarabu nao ni wavamizi kama Waisrael tofauti yao kuna mmoja anadai kaambiwa na Mungu na mwengine ni harakati za kimaisha ya wanadamu
 
Ndio mbona kawaida sana , Allah anaweza kuua hata watu wasio na hatia ya moja kwa moja, yeye si ndio Muumbaji anaamua tu ila kibinadamu inabaki kuwa uvamizi kwa maana walikuta wenyeji pale, kuhusu Wapalestina ambao kiasili ni waarabu nao ni wavamizi kama Waisrael tofauti yao kuna mmoja anadai kaambiwa na Mungu na mwengine ni harakati za kimaisha ya wanadamu
Waisraeli wanaodai au ndio ukweli wenyewe ?

Weka statement vzr sio wanadai, ni kweli waliambiwa hivo kwa mujibu wa Quran yako
 
Waisraeli wanaodai au ndio ukweli wenyewe ?

Weka statement vzr sio wanadai, ni kweli waliambiwa hivo kwa mujibu wa Quran yako
Kuambiwa na Quran hakufanyi usiwe mvamizi kwa tafsiri , hivi wewe kumbe ninacho andika husomi ? Wa Israel ni wavamizi kwa mujibu wa Quran na Biblia kwasababu wao kiasili sio watu wa hapo
 
Kuambiwa na Quran hakufanyi usiwe mvamizi kwa tafsiri , hivi wewe kumbe ninacho andika husomi ? Wa Israel ni wavamizi kwa mujibu wa Quran na Biblia kwasababu wao kiasili sio watu wa hapo
Kwahiyo Qurani inapo wapi Haki ya Ardhi hapo inakosea?
 
Kwahiyo Qurani inapo wapi Haki ya Ardhi hapo inakosea?
Kukosea au kupatia hilo ni jambo la waumini, kwenye uhalisia waisrael ni wavamizi kwasababu babu zao ni watu wa asili ya sehemu nyingine, mbona lugha imetumika nyepesi sana hapa
 
Kukosea au kupatia hilo ni jambo la waumini, kwenye uhalisia waisrael ni wavamizi kwasababu babu zao ni watu wa asili ya sehemu nyingine, mbona lugha imetumika nyepesi sana hapa
Kuna kitu unakwepa ,Wamevamia kwa idhini ya Allah ,je wamekosea?
 
Haya nimekuja Sasa, kwanza wew Quran huijui unabwabwaja TU, kimsingi Musa aliwahubiria Kumuabudu Mungu mmoja TU Kama waislam tunavyoabudu wao wakachonga ndama wa dhahabu (walikengeuka) waliambiwa wavamie wakamkamkatalia Musa kwa dhihaka kwamba akapigane yeye na Mola wake(kosa), ukiangalia Kuna manabii wengi wamepita Kwenye Ardhi hio wote ni waislam, Sasa Hawa wayahudi wa Sasa wangekua na chembe hata Moja ya Imani kuu ambayo ndio msingi wa MANABII wote waliopita kusingekua na ugomvi maana wangekua wanashare common interests, waliopi hapo Israel ni mazayuni ambayo kimsingi 90% ni mafree mason na illuminati na faithless people ambao Wanaangaikia political influence na mambo Yao lakini myahudi kamili anayeamini Mungu mmoja hawezi kua na ugomvi na kaka yake Mpalestina maana wote wanatoka Kwa baba mmoja Ibrahim S.A hivyo huo mchongo ni wayahudi wasio na Imani Zionist, kwanza walipoletwa wapalestine waliwapokea Kama brothers Kwa kua in reality ni hivyo sema Kuna wahuni wamejichomeka humo ndio wanaoleta shida, lakini Kuna wayahudi asili wanaoamini katka Mungu mmoja hawana shida kabisa na wapalestine wala Uislam, wangine wako Iran.
 
Kuna kitu unakwepa ,Wamevamia kwa idhini ya Allah ,je wamekosea?
Ndio wamekosea kimazingira( kwa maana ya uasili wa eneo) ila kiimani wamepatia kwa maana ya maelekezo ya Mungu wao , hakuna ninacho kwepa nakupa facts hata mtoto mdogo anaelewa
 
Ndio wamekosea kimazingira( kwa maana ya uasili wa eneo) ila kiimani wamepatia kwa maana ya maelekezo ya Mungu wao , hakuna ninacho kwepa nakupa facts hata mtoto mdogo anaelewa
Wewe jamaa hapana kwakweli 🙌 🙌
 
Haya nimekuja Sasa, kwanza wew Quran huijui unabwabwaja TU, kimsingi Musa aliwahubiria Kumuabudu Mungu mmoja TU Kama waislam tunavyoabudu wao wakachonga ndama wa dhahabu (walikengeuka) waliambiwa wavamie wakamkamkatalia Musa kwa dhihaka kwamba akapigane yeye na Mola wake(kosa), ukiangalia Kuna manabii wengi wamepita Kwenye Ardhi hio wote ni waislam, Sasa Hawa wayahudi wa Sasa wangekua na chembe hata Moja ya Imani kuu ambayo ndio msingi wa MANABII wote waliopita kusingekua na ugomvi maana wangekua wanashare common interests, waliopi hapo Israel ni mazayuni ambayo kimsingi 90% ni mafree mason na illuminati na faithless people ambao Wanaangaikia political influence na mambo Yao lakini myahudi kamili anayeamini Mungu mmoja hawezi kua na ugomvi na kaka yake Mpalestina maana wote wanatoka Kwa baba mmoja Ibrahim S.A hivyo huo mchongo ni wayahudi wasio na Imani Zionist, kwanza walipoletwa wapalestine waliwapokea Kama brothers Kwa kua in reality ni hivyo sema Kuna wahuni wamejichomeka humo ndio wanaoleta shida, lakini Kuna wayahudi asili wanaoamini katka Mungu mmoja hawana shida kabisa na wapalestine wala Uislam, wangine wako Iran.
Kwanza inaonekana umedanganywa ukadanganyika , hoja kwamba "manabii wote waliopita walikuwa Waislamu" si sahihi kihistoria. Manabii kama Musa, Eliya, Isaya, na Danieli walihubiri imani ya Mungu wa Israeli kulingana na maagizo ya Torati. Uislamu kama dini ulianzishwa karne nyingi baadaye na Muhammad. Biblia inasema katika Kutoka 3:15 kwamba Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ndiye aliyewatuma manabii wake kwa taifa la Israeli, si kwa dini nyingine yoyote.

Pili, ni kweli kwamba Waisraeli walimkosea Mungu kwa kutengeneza ndama wa dhahabu, jambo lililotajwa katika Kutoka 32. Lakini kosa hilo halimaanishi kwamba Wayahudi wote walikuwa waasi au walikataliwa na Mungu. Biblia inarekodi kuwa Mungu aliwaadhibu waliokengeuka, lakini aliendelea kuwa na agano na taifa la Israeli kama inavyothibitishwa katika Yeremia 31:35-37.

Tatu, madai kwamba Wayahudi wa leo hawana imani au ni Freemason na Illuminati ni propaganda isiyo na msingi wa kihistoria. Kwanza, Wayahudi wa kidini bado wanafuata Torati na wanamwabudu Mungu mmoja, jambo linalothibitishwa na jumuiya mbalimbali za Kiyahudi duniani kote. Pili, si sahihi kusema kwamba mgogoro wa Israeli na Palestina ni wa kidini pekee. Historia inaonyesha kuwa tatizo hili lilianza hasa baada ya Vita ya Kwanza ya Dunia na uanzishwaji wa Dola ya Kiyahudi kupitia Azimio la Balfour la 1917, sio suala la imani pekee bali pia la siasa na ukoloni.

Mwisho, hoja kwamba Wayahudi waliwapokea Wapalestina kama ndugu halafu wahuni wakajichomeka haina uthibitisho wa kihistoria. Historia inaonyesha kuwa Waarabu wengi waliupinga uanzishwaji wa taifa la Israeli tangu mwanzo, na migogoro ilisababisha Vita ya Kiarabu na Israeli ya 1948. Ikiwa Wayahudi wote wangekuwa na amani na Uislamu, basi isingekuwa lazima kuundwa taifa la Kiyahudi kwa vita na mapambano. Biblia inasema wazi katika Ezekieli 37:21-22 kwamba Mungu mwenyewe alikusudia kuwarudisha Waisraeli katika nchi yao, jambo lililotokea kihistoria bila kutegemea masuala ya Illuminati au Freemason.

Kwa hiyo, hoja zako zina mapungufu makubwa kihistoria na kimantiki. Biblia na historia vinaonyesha wazi kwamba Wayahudi na Ukristo walikuwepo kabla ya Uislamu na kwamba mgogoro wa Israeli na Palestina una mizizi yake katika siasa na historia zaidi kuliko imani ya dini pekee.
 
Kwanza inaonekana umedanganywa ukadanganyika , hoja kwamba "manabii wote waliopita walikuwa Waislamu" si sahihi kihistoria. Manabii kama Musa, Eliya, Isaya, na Danieli walihubiri imani ya Mungu wa Israeli kulingana na maagizo ya Torati. Uislamu kama dini ulianzishwa karne nyingi baadaye na Muhammad. Biblia inasema katika Kutoka 3:15 kwamba Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ndiye aliyewatuma manabii wake kwa taifa la Israeli, si kwa dini nyingine yoyote.

Pili, ni kweli kwamba Waisraeli walimkosea Mungu kwa kutengeneza ndama wa dhahabu, jambo lililotajwa katika Kutoka 32. Lakini kosa hilo halimaanishi kwamba Wayahudi wote walikuwa waasi au walikataliwa na Mungu. Biblia inarekodi kuwa Mungu aliwaadhibu waliokengeuka, lakini aliendelea kuwa na agano na taifa la Israeli kama inavyothibitishwa katika Yeremia 31:35-37.

Tatu, madai kwamba Wayahudi wa leo hawana imani au ni Freemason na Illuminati ni propaganda isiyo na msingi wa kihistoria. Kwanza, Wayahudi wa kidini bado wanafuata Torati na wanamwabudu Mungu mmoja, jambo linalothibitishwa na jumuiya mbalimbali za Kiyahudi duniani kote. Pili, si sahihi kusema kwamba mgogoro wa Israeli na Palestina ni wa kidini pekee. Historia inaonyesha kuwa tatizo hili lilianza hasa baada ya Vita ya Kwanza ya Dunia na uanzishwaji wa Dola ya Kiyahudi kupitia Azimio la Balfour la 1917, sio suala la imani pekee bali pia la siasa na ukoloni.

Mwisho, hoja kwamba Wayahudi waliwapokea Wapalestina kama ndugu halafu wahuni wakajichomeka haina uthibitisho wa kihistoria. Historia inaonyesha kuwa Waarabu wengi waliupinga uanzishwaji wa taifa la Israeli tangu mwanzo, na migogoro ilisababisha Vita ya Kiarabu na Israeli ya 1948. Ikiwa Wayahudi wote wangekuwa na amani na Uislamu, basi isingekuwa lazima kuundwa taifa la Kiyahudi kwa vita na mapambano. Biblia inasema wazi katika Ezekieli 37:21-22 kwamba Mungu mwenyewe alikusudia kuwarudisha Waisraeli katika nchi yao, jambo lililotokea kihistoria bila kutegemea masuala ya Illuminati au Freemason.

Kwa hiyo, hoja zako zina mapungufu makubwa kihistoria na kimantiki. Biblia na historia vinaonyesha wazi kwamba Wayahudi na Ukristo walikuwepo kabla ya Uislamu na kwamba mgogoro wa Israeli na Palestina una mizizi yake katika siasa na historia zaidi kuliko imani ya dini pekee.
Hapo ndio umeeleweka Sasa Mungu wa Ibrahim, Isaka, Mussa na Yakub ndio Allah mwenyewe hivyo mpalestina na myahudi ni brothers shida sio myahudi shida ni Freemasons ambao ni Zionist wametumia mwanya huo ili wakae middle east kwa maslahi yao
 
Kwa mujibu wa Quran Tukufu WALIOPEWA hiyo Ardhi ni Wana wa Israel,hakuna mahali Quran inawatambua WAPALESTINA,kama Kuna Aya zipo nitaomba nisaidiwe maana elimu ni Bahari

Hebu tuangalie Quran inasemaje kuhusu Ardhi kuwa ni ya Wana wa Israeli .

Uislamu Huwa unakwama kwenye historia tu ambayo mara kadhaa imekuwa ikiwaumbua

1. Surat Al-A'raf (7:137)
وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ


"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."

2. Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."

3. Surat Al-Baqara (2:47)
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

4. Surat Al-Baqara (2:122)

يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

5. Surat Al-Ma'idah (5:24-26)

Aya hizi zinaeleza jinsi Wana wa Israel walivyokataa kuingia katika ardhi hiyo kwa hofu ya watu waliokuwa wakiishi humo, na adhabu yao ya kupotea kwa miaka 40 jangwani:

قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّ فِيهَا قَوْمًا جَبَّارِينَ وَإِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا حَتَّىٰ يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِن يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِنَّا دَاخِلُونَ ۝ قَالَ رَجُلَانِ مِنَ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَنْعَمَ اللَّهُ عَلَيْهِمَا ادْخُلُوا عَلَيْهِمُ الْبَابَ فَإِذَا دَخَلْتُمُوهُ فَإِنَّكُمْ غَالِبُونَ ۖ وَعَلَى اللَّهِ فَتَوَكَّلُوا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ۝ قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا أَبَدًا مَّا دَامُوا فِيهَا فَاذْهَبْ أَنتَ وَرَبُّكَ فَقَاتِلَا إِنَّا هَاهُنَا قَاعِدُونَ ۝ قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ أَرْبَعِينَ سَنَةً يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ فَلَا تَأْسَ عَلَى الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ

("Wakasema: Ewe Musa! Hakika humo mna watu wenye nguvu na sisi hatutaingia humo mpaka wao watoke humo. Wakishatoka, basi tutaingia. Watu wawili miongoni mwao waliomuogopa Mwenyezi Mungu na ambao Mwenyezi Mungu amewaneemesha walisema: Waingilieni kwa kupitia mlango, mtakapoingia humo mtakuwa washindi. Na kwa Mwenyezi Mungu mtegemee ikiwa nyinyi ni waumini. Wakasema: Ewe Musa! Hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo. Basi nenda wewe na Mola wako mpigane, sisi tunakaa hapa. Musa akasema: Hakika ardhi hiyo imeharamishwa kwao kwa muda wa miaka arubaini, watatangatanga katika ardhi. Basi usiwaonee huruma hao watu wapotovu.")

Aya hizi zinaeleza historia ya Wana wa Israel na ardhi waliyopewa ,hivo WAPALESTINA ni wavamizi

Kwa mujibu wa Quran Tukufu WALIOPEWA hiyo Ardhi ni Wana wa Israel,hakuna mahali Quran inawatambua WAPALESTINA,kama Kuna Aya zipo nitaomba nisaidiwe maana elimu ni Bahari

Hebu tuangalie Quran inasemaje kuhusu Ardhi kuwa ni ya Wana wa Israeli .

Uislamu Huwa unakwama kwenye historia tu ambayo mara kadhaa imekuwa ikiwaumbua

1. Surat Al-A'raf (7:137)
وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ


"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."

2. Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."

3. Surat Al-Baqara (2:47)
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

4. Surat Al-Baqara (2:122)

يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

5. Surat Al-Ma'idah (5:24-26)

Aya hizi zinaeleza jinsi Wana wa Israel walivyokataa kuingia katika ardhi hiyo kwa hofu ya watu waliokuwa wakiishi humo, na adhabu yao ya kupotea kwa miaka 40 jangwani:

قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّ فِيهَا قَوْمًا جَبَّارِينَ وَإِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا حَتَّىٰ يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِن يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِنَّا دَاخِلُونَ ۝ قَالَ رَجُلَانِ مِنَ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَنْعَمَ اللَّهُ عَلَيْهِمَا ادْخُلُوا عَلَيْهِمُ الْبَابَ فَإِذَا دَخَلْتُمُوهُ فَإِنَّكُمْ غَالِبُونَ ۖ وَعَلَى اللَّهِ فَتَوَكَّلُوا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ۝ قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا أَبَدًا مَّا دَامُوا فِيهَا فَاذْهَبْ أَنتَ وَرَبُّكَ فَقَاتِلَا إِنَّا هَاهُنَا قَاعِدُونَ ۝ قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ أَرْبَعِينَ سَنَةً يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ فَلَا تَأْسَ عَلَى الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ

("Wakasema: Ewe Musa! Hakika humo mna watu wenye nguvu na sisi hatutaingia humo mpaka wao watoke humo. Wakishatoka, basi tutaingia. Watu wawili miongoni mwao waliomuogopa Mwenyezi Mungu na ambao Mwenyezi Mungu amewaneemesha walisema: Waingilieni kwa kupitia mlango, mtakapoingia humo mtakuwa washindi. Na kwa Mwenyezi Mungu mtegemee ikiwa nyinyi ni waumini. Wakasema: Ewe Musa! Hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo. Basi nenda wewe na Mola wako mpigane, sisi tunakaa hapa. Musa akasema: Hakika ardhi hiyo imeharamishwa kwao kwa muda wa miaka arubaini, watatangatanga katika ardhi. Basi usiwaonee huruma hao watu wapotovu.")

Aya hizi zinaeleza historia ya Wana wa Israel na ardhi waliyopewa ,hivo WAPALESTINA ni wavamizi
Hapa sasa Wafuga Midevu na Majini hawawezi kufurukuta maana hata kitabu chao wenyewe hawakijui kazi kubwabwaja tu ovyo na midomo yao imejaa matusi tu!!
 
Back
Top Bottom