Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Weye ndiye uliyekuja na hoja kwamba ili Ardhi iwe yako lazima ije na maandiko kwenye Quran ambapo hilo jambo halipo.

Tafufa mtu akusaidie kutafsiri aya za Qran vizuri Allah anaposema "Enyi watu wangu" huwa kamkusudia nani
Sina haja ya kumtafuta mtu ,Aya zinajieleza
 
Huyo Mgawa Ardhi kwanini hakutengeneza Ardhi kubwa ili kila mtu awe na sehemu kuliko kuwapa baadhi na sio wengine hence kuleta hizi shida ?!!!

Yaani unataka kusema alikuwa hana Foresight ?; Hizi Justification za Kipuuzi zinatumika katika kukandamiza wengine; huwezi kusema wapalestina ni wavamizi wakati wapo sehemu inaitwa Palestina kwa kutumia vifungu ambavyo ni vya kusadikika na wote wa leo hawakuwepo wakati huo... Ila wakati wote tupe haya tumeyaona....
 

Attachments

  • 1739007170329.png
    1739007170329.png
    1.2 MB · Views: 2
Haya tufanye umeshinda basi. Tusubiri wawaondoe hao wapalestina kama wataweza. Kamwe hawataweza. Ikifika hiyo siku yaani Wapalestina wote wameondolewa pale niite mbwa kabisa.
IT WILL NEVER HAPPEN I'M SURE 💯
Unabii lazima utimie

Unabii wa Amosi (Amosi 1:6-8)
Amosi anatabiri hukumu juu ya Gaza

"Bwana asema hivi: Kwa sababu ya makosa matatu ya Gaza, naam, kwa sababu ya manne, sitabatilisha adhabu yake; kwa kuwa walihamisha watu wangu wote wahamishwao, ili wawatie mikononi mwa Edomu. Kwa hiyo nitatuma moto juu ya kuta za Gaza, nao utateketeza majumba yake. Nami nitakatilia mbali mwenyeji wa Ashdodi, na yeye aongozaye kutoka Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu juu ya Ekroni, na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU."
 
Nilidhani utajibu kuhusu hii MADA.
Nagawa wastani kutokana na idadi mnavyokuja....nijibu nini mie nina undugu nao hao wapelistina au waisraeli?..sio kuleteana porojo porojo...mleta mada ndo utuambie hao wavamizi wa kipelistina kwao ni wapi?..yanii mwenyezimungu tokea aumbe dunia ni wapelistina pekee yao ndo hawana kwao?..ilhali Mende tuu ana makazi?
 
Fahamu kwamba Israel asili yake haikuwa Nchi na haijawahi kuwa Nchi mpaka mwaka 1948 baada ya vita ya pili ya dunia wazungu wa Britain wakalitangaza hilo Taifa la Israel.

Israeli si taifa. Ni jina la Mtume. Nabii huyo ambaye baba yake aliitwa Yakobo, Wana hao wa Israeli walijulikana kuwa makabila 12 ya Israeli. Watu hawa wanaunda wale tunaowaita "Mayahudi" siku hizi, lakini Kiislamu wanaitwa Wana wa Israili, hivyo ndivyo Allah S.W.T anawaita. Neno Israeli halijawahipo kuhusishwa na serikali ni jambo jipya.

Narudia tena Israel ni Jina maalum la Nabii Yakub (AS) alilopewa na Allah (SWT). Haina uhusiano wowote na Nchi ya Kishetani ambayo imelitumia vibaya na kuliteka nyara jina la Nabii wa Mungu.

Umetumia muda mwingi kwenda kwenye Quran tukufu na kuleta hapa baadhi ya aya ingawa ziko na nyengine nyingi umeziacha, lakini katika aya hizo zote ulizoleta na ulizoziacha hakuna mahali zinatafsiri kwamba Israel ni Nchi (State) never (بَنِي إِسْرَائِيلَ) hili neno bani Israel maana yake ni watu wa ukoo Prophet Yakub na si (Nchi/State)

Hao kina Netanyahu na wenzake waliletwa hapo kwenye ardhi ya Palestina kama Diaspora baada ya hiyo vita ya pili ya dunia na kuanza kukatiwa vipande vya ardhi kila siku wanasogea mbele mpaka sasa zamai hizi imefikia halii hii uionayo. na wameletwa hapo kimkakati ili Nchi za ulaya na marekani waweze kupata mahali pa kudhibiti dola za kiarabu (Mashariki ya kati) kutokana na raslimali walizonazo walizobarikiwa lakini pia kujaribu kudhibiti mataifa ya kiislam yenye nguvu duniani na kupenyeza mila zao za kishenzi ili kuwavuruga waislamu.

Nafkiri baada ya kuapta muda kusoma maelezo haya hutakuja tena hapa na kasumba zako kama ulivyolishwa.
Kama Israel haikuwa state,Why Daudi awe mfalme?Alikuwa mfalme wa ukoo?Kumbuka wakati wa Daudi kulikuwa na nabii Samuel na Nathan!
 
Wenzio wanajadiri maandiko, wewe unajadiri waraka wa mtu; huoni kama unajichanganya mkuu? Jibu maswali kwenye kitabu kama walivo nukuu hizo Aya, achana na PAPA ambaye sometimes mnamuwekea maneno kinywani mwake na ni papa huyo huyo ambaye sio kiongozi wa Wakristo, papa ni kiongozi wa Roman Catholic, sio Wakristo wote wanaongozwa na huyo, unless unambie wewe huamini Quran au hizo nukuu hazipo kwenye Quran
Ulisoma jibu lake lilikua linaendana na mada?..wewe kwani unaiamini Quran yote au ni hicho kipande cha aya ndo umepa amini?...Quran pekee yake ndo iseme waisraeli kwao ni hapo ishndw kusema waarabu kwao ni wapi..hata Saudia tu haijatajwa kama kwao ni hapo sembuse wapelistina tena kwa kiarabu hicho hicho ila iseme waisraeli tu?..
Mgalatia hicho ni kisa cha Nabii Mussa na Bani Israel walivyokosa shukrani kwa mwenyezimungu mpk wakakufuru ikapelekea washndwe kufika kanan na mpk Nabii Mussa akafariki..tunakumbushwa sisi waumini tuwe wenye shukrani tunapopewa neema za mwenyezimungu sio kukengeuka...Nabii Mussa ametajwa mara nyng kwny Quran hasa hasa hichi kisa na Bani Israel baada ya kuwatoa utumwani miaka karibia 400 kutoka kwa mtu aliyejiita mungu.
Hapo ndo tunapata neno Alhamdullilah kwa lolote linakukuta mja wa mwenyezimungu....lkn si kweli eti iliainisha hapo ni kwao...hakuna sehemu hata moja Quran iliainisha waarabu kwao pale na waisraeli kwao pale au kabila fulani mana'ke zamani hapakua nchi waliishi kikabila...sasa ndo mie nimemuuliza kama hapo si kwao ni wapi patakua ni kwao?..na mkimbizi gani anabembelezwa ajengewe nyumba nzuri?
 
Sina haja ya kumtafuta mtu ,Aya zinajieleza
Naendelea kusubiri basi andiko Allah anasema ''Ardhi ya wapalestina tumewapa wana wa Israel''

Israel ni taifa bandia kuasisiwa kwake ni mwka 1948 baada ya vita ya pili ya dunia, Netanyahu na wenzao walikuja kwenye ardhi ile kama wageni tu (diaspora) hakuna myahudi ata mmoja umuonae leo kwenye ardhi ile aliyefanana na mtu yeyote katika ukanda ule wa mashariki ya kati wale wote ni wageni sio kwao pale na muda utafika tuu kumalizana nao Quran inatufundisha hivyo pia.
 
Y

Yaan ukwel uliokufanya ukahama uislam
Mwingi tu kwanza niliwapiga maswali machache MASHEIKH wakashindwa kujibu na nilikuwa mdogo kama miaka 17 au 18 hivi ndani ya MSIKITI nipo na baba yangu ambaye ni muislamu,

Walijua sijui kitu , hoja zao zilikuwa mitume na manabii had Yesu alikuwa muislamu na aliingia kwenye sinagogi na sinagogi ni MSIKITI

Hizi hoja zao kwa umri wangu walijua sichomoi lkn ,kusoma kwangu na kutafiti ,nilizioangua na wakakosa majibu

Ninachojivunia NILIUKANA UISLAMU NDANI YA MSIKITI ,nilimkiri Yesu kristo ndani ya MSIKITI , hili tukio siwezi kulisahau ,

Uhusiano wangu na Mzee wangu ulikufa hapo mpaka Leo tunasalimiana kwa Whatsapp tu ,since 2011 hiyo nazungumzia
 
Tatizo waislamu hamna elimu Dunia,hamtaki kuchunguza historia ,ndio maana mnakubali kirahisi tu kuwa manabii wale wakiyahudi eti walikuwa waislamu,ili Hali historia inawakataa kabisa ,
Qur'an inawataja Wana wa Israel katika nyakati za Musa, Yesu, na Muhammad, ikiwahusisha na urithi wa Yakobo (Israel), si eneo fulani tu. Yesu alizaliwa Bethlehem ya UYAHUDI , na Musa alizaliwa Misri ,lakini Musa ni myahudi Tena KABILA la LAWI, lakini Wana wa Israel ni kabila la kale lenye historia ndefu kabla ya mataifa ya kisasa.

Kudai kuwa Tanganyika ilikuwapo kabla ya Israel ni kukosa muktadha wa kihistoria. Ingawa Israel ya kisasa ilianzishwa 1948, Ufalme wa Israeli ulikuwepo tangu karne ya 10 KK. Hii inamaanisha kuwa Waisraeli walikuwapo maelfu ya miaka kabla ya Tanganyika.

Ethiopia na Sudan Kusini haziwezi kuwa chimbuko la Waisraeli kwa kuwa hazina uhusiano wa moja kwa moja na taifa hilo la kale. Ingawa Ethiopia ina jamii ya Wafalasha (Wayahudi wa Ethiopia), hakuna ushahidi wa kihistoria unaoonyesha kuwa Israeli ilianzia huko. Hivyo, hoja hii haina msingi wa kihistoria, kidini, wala kisayansi.
Uislam haujagswa elimu ya dunia na elimu ya akhera.

Pili quran ilipowataja Waisrael, Wayahudi na Manaswara na waliopewa kitabu ni jamii tatu tofauti.

Waisral ukoo na wafuasi wa nabii Yakobo.

Wayahudi na manaswara ni wale wanaosema wanawafata musa na yesu ilhali wako mis informed kwa maana ni Wazayuni na wakristo wa leo.

Halafu kuna waliopewa kitabu. Hawa ni wafuasi halisi wa musa walioteswa na firauni na wafuasi wa yesu walioteswa na paulo kupitia dola ya rumi.

wakati wafuasi halisi wa yesu na musa walikuwa ktk nchi inayoitwa Palestine, wafuasi bandia wa yesu wakaanzisha Antiokia Italia. Na wafuasi bandia wa musa walianzia ulaya kama watumwa ktk mashamba ya wazungu hadi walipofurushwa na Hitler

Kwa hiyo Quran inapotaja historia ya Bani Israel ilikuwa inakuwakumbusha waislam wa leo kuwa kama walivyoanganizwa na waislam kwa ukaidi ndivyo watu wa zama zake watavyoangamizwa. Zama za Muhammad ni pamoja na mimi na wewe.
 
Naendelea kusubiri basi andiko Allah anasema ''Ardhi ya wapalestina tumewapa wana wa Israel''

Israel ni taifa bandia kuasisiwa kwake ni mwka 1948 baada ya vita ya pili ya dunia, Netanyahu na wenzao walikuja kwenye ardhi ile kama wageni tu (diaspora) hakuna myahudi ata mmoja umuonae leo kwenye ardhi ile aliyefanana na mtu yeyote katika ukanda ule wa mashariki ya kati wale wote ni wageni sio kwao pale na muda utafika tuu kumalizana nao Quran inatufundisha hivyo pia.
Qur'an inaeleza kuhusu Wana wa Israeli kupewa ardhi katika aya kadhaa. Baadhi ya aya zinazohusu jambo hili ni:

1. Surah Al-Ma'idah (5:20-21)
"Na (kumbukeni) Musa alipowaambia watu wake: Enyi watu wangu! Kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu juu yenu, alipofanya manabii miongoni mwenu, na akakufanyeni wafalme, na akakupeni aliyo kukupeni ambavyo hakuwapeni yeyote katika walimwengu. Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekukadirieni, wala msirudi nyuma, wasije wakawa wenye kukhasirika."


2. Surah Al-A'raf (7:137)
"Na tukawarithisha watu walio kuwa wanadhununikwa mashariki na magharibi ya nchi tuliyoibariki. Na likatimia neno jema la Mola wako Mlezi kwa Wana wa Israili kwa sababu ya subira yao. Na tukaharibu kabisa waliyo kuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na wakaweza kuwa na majengo na mashamba."


3. Surah Al-Isra (17:104)
"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Na itakapofika ahadi ya Akhera, tutakuleteni kwa mkusanyiko."

LETA AYA KWENYE QURAN AU GAZETI ,ALLAH ALIWAHI KUWAPA PALESTINE ARDHI HAPO ISRAEL
 
Mwingi tu kwanza niliwapiga maswali machache MASHEIKH wakashindwa kujibu na nilikuwa mdogo kama miaka 17 au 18 hivi ndani ya MSIKITI nipo na baba yangu ambaye ni muislamu,

Walijua sijui kitu , hoja zao zilikuwa mitume na manabii had Yesu alikuwa muislamu na aliingia kwenye sinagogi na sinagogi ni MSIKITI

Hizi hoja zao kwa umri wangu walijua sichomoi lkn ,kusoma kwangu na kutafiti ,nilizioangua na wakakosa majibu

Ninachojivunia NILIUKANA UISLAMU NDANI YA MSIKITI ,nilimkiri Yesu kristo ndani ya MSIKITI , hili tukio siwezi kulisahau ,

Uhusiano wangu na Mzee wangu ulikufa hapo mpaka Leo tunasalimiana kwa Whatsapp tu ,since 2011 hiyo nazungumzia
Shida yenu ni moja tu hamsomi historia inasemaje kuhusu waisraeli, historia ipo wazi

Kwanza, si sahihi kusema kuwa Qur’an inawataja Waisraeli, Wayahudi, Manaswara, na waliopewa Kitabu kama makundi tofauti kabisa. Qur’an inataja Bani Israil kama ukoo wa Nabii Yakobo, lakini haijawagawanya kwa mtindo huu uliotajwa. Wayahudi na Manaswara wote wanahesabika kuwa ni sehemu ya "Ahlul Kitab" (Watu wa Kitabu), kwa sababu walipokea ufunuo kutoka kwa Mwenyezi Mungu kupitia Taurati na Injili.

Pili, si kweli kuwa Wayahudi wa sasa wote ni Wazayuni au kwamba Ukristo wa leo umetokana na Wakristo bandia wa Antiokia. Zionism ni harakati ya kisiasa iliyoanza karne ya 19, wakati Wayahudi walikuwepo kabla ya hapo kwa maelfu ya miaka. Vile vile, Ukristo ulikuwa umesambaa sehemu nyingi za dunia kabla ya Antiokia kuwa kitovu cha Ukristo wa Kirumi.

Tatu, hoja kwamba wafuasi wa Musa walihamia Ulaya kama watumwa wa Wazungu hadi walipofurushwa na Hitler ni potofu. Wayahudi waliishi Ulaya kwa karne nyingi, wakitoka sehemu mbalimbali za dunia, lakini si kweli kwamba wote walikuwa watumwa. Uhamisho wao ulitokea katika vipindi tofauti vya historia, na mateso yao yalihusiana na siasa na chuki za kikabila zaidi ya imani.
 
Israel ni taifa bandia kuasisiwa kwake ni mwka 1948 baada ya vita ya pili ya dunia, Netanyahu na wenzao walikuja kwenye ardhi ile kama wageni tu (diaspora) hakuna myahudi ata mmoja umuonae leo kwenye ardhi ile aliyefanana na mtu yeyote katika ukanda ule wa mashariki ya kati wale wote ni wageni sio kwao pale na muda utafika tuu kumalizana nao Quran inatufundisha hivyo pia.
Allah wako alisema atawakusanya awarudishe nchi Yao

😂😂😂😂😂😂😂

Surah Al-Isra (17:104)
"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Na itakapofika ahadi ya Akhera, tutakuleteni kwa mkusanyiko.
"
 
Naendelea kusubiri basi andiko Allah anasema ''Ardhi ya wapalestina tumewapa wana wa Israel''

Israel ni taifa bandia kuasisiwa kwake ni mwka 1948 baada ya vita ya pili ya dunia, Netanyahu na wenzao walikuja kwenye ardhi ile kama wageni tu (diaspora) hakuna myahudi ata mmoja umuonae leo kwenye ardhi ile aliyefanana na mtu yeyote katika ukanda ule wa mashariki ya kati wale wote ni wageni sio kwao pale na muda utafika tuu kumalizana nao Quran inatufundisha hivyo pia.
Kumalizana nao ni ndoto ya Alinacha mkuu.Wao ndio watawamaliza
 
Kwa mujibu wa Quran Tukufu WALIOPEWA hiyo Ardhi ni Wana wa Israel,hakuna mahali Quran inawatambua WAPALESTINA,kama Kuna Aya zipo nitaomba nisaidiwe maana elimu ni Bahari

Hebu tuangalie Quran inasemaje kuhusu Ardhi kuwa ni ya Wana wa Israeli .

Uislamu Huwa unakwama kwenye historia tu ambayo mara kadhaa imekuwa ikiwaumbua

1. Surat Al-A'raf (7:137)
وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ


"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."

2. Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."

3. Surat Al-Baqara (2:47)
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

4. Surat Al-Baqara (2:122)

يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

5. Surat Al-Ma'idah (5:24-26)

Aya hizi zinaeleza jinsi Wana wa Israel walivyokataa kuingia katika ardhi hiyo kwa hofu ya watu waliokuwa wakiishi humo, na adhabu yao ya kupotea kwa miaka 40 jangwani:

قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّ فِيهَا قَوْمًا جَبَّارِينَ وَإِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا حَتَّىٰ يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِن يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِنَّا دَاخِلُونَ ۝ قَالَ رَجُلَانِ مِنَ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَنْعَمَ اللَّهُ عَلَيْهِمَا ادْخُلُوا عَلَيْهِمُ الْبَابَ فَإِذَا دَخَلْتُمُوهُ فَإِنَّكُمْ غَالِبُونَ ۖ وَعَلَى اللَّهِ فَتَوَكَّلُوا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ۝ قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا أَبَدًا مَّا دَامُوا فِيهَا فَاذْهَبْ أَنتَ وَرَبُّكَ فَقَاتِلَا إِنَّا هَاهُنَا قَاعِدُونَ ۝ قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ أَرْبَعِينَ سَنَةً يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ فَلَا تَأْسَ عَلَى الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ

("Wakasema: Ewe Musa! Hakika humo mna watu wenye nguvu na sisi hatutaingia humo mpaka wao watoke humo. Wakishatoka, basi tutaingia. Watu wawili miongoni mwao waliomuogopa Mwenyezi Mungu na ambao Mwenyezi Mungu amewaneemesha walisema: Waingilieni kwa kupitia mlango, mtakapoingia humo mtakuwa washindi. Na kwa Mwenyezi Mungu mtegemee ikiwa nyinyi ni waumini. Wakasema: Ewe Musa! Hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo. Basi nenda wewe na Mola wako mpigane, sisi tunakaa hapa. Musa akasema: Hakika ardhi hiyo imeharamishwa kwao kwa muda wa miaka arubaini, watatangatanga katika ardhi. Basi usiwaonee huruma hao watu wapotovu.")

Aya hizi zinaeleza historia ya Wana wa Israel na ardhi waliyopewa ,hivo WAPALESTINA ni wavamizi
Kobazi watayakana maandishi ya mtume wao feki,wao walishakaririshwa ujinga kwamba adui yao ni uyahudi na ukristo ndio mana wanafukuana mitaro majumbani mwao mana sio dhambi,dhawabu kwao ni kuua wayahudu na wakristo.
 
Kwa mujibu wa Quran Wana wa israel ni race na si dini, Quran inasema musa ni mtume wa Allah na ni muislam na si myahudi,kwa misingi ya Quran uyahudi ni imani/dini,kwa hivyo netanyahu na wayahudi wenzie ambao ni wazungu wa poland na ukraine siyo Wana wa israel na hawahusiki na hizo aya za Quran,hata DNA zao siyo za kisemitiki(semitic)
Akili za kobazi wanazijua wao,sasa ndio uharo gani huu umeandika
 
Back
Top Bottom