Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
HIO BIBI HAIONDOI BONDI YA WAYAHUDI NA WAKRSTO KUPITIA MUNGU WAO WA KIYAHUDI YEHOVA...TAFUTA PROPAGANDA NYINGINE....HIYO IPO CHEAP SANA😂🤣🤣wanatakiwa watowe waraka kwanini mazayuni wamepiga marufuku krismasi kufanyika alipozaliwa Yesu, Bethlehem na kwanini wanang'oa misalaba yote kwenye makaburi ya wakristo.
Tec naona hilo wanalikalia kimya kwa kuwa wanaofanya hayo ni wabarikiwa.
Najua waislam wanawapigia magoti wakrsto na kuwasihii wawaunge mkono katika chuki yao dhidi ya wayahudi......ila wakrsto wanawasanifu maaana kwao wayahudi ni wateule wa Mungu wao wa kiyahudi YEHOVA..