Wapalestina wamelianzisha huko ukingo wa Magharibi "West Bank"

Wapalestina wamelianzisha huko ukingo wa Magharibi "West Bank"

ningewashauri wasingefanya hivyo, kwasababu Israel alikuwa anatamaniw afanye hivyo ili aivamie mazima westbank, avunje majengo na wayahudi wajenge ya kwao. kama hamjui, westbank kuna wayahudi karibia 600,000 na wapalestina milioni kama 3. wayahudi 600,000 kuwepo pale na kila siku wanavamia mashamba na ya wapalestina na kuyapora, inawapa mwanya zaidi wa kufanya vita wakijifanya ni vita ya ugaidi kumbe ndio wanapora zaidi maeneo. Mahmood Abas analijua hili ndio maana alishatangaza kwamba wanaomba waitawale na GAZA kwasababu anaogopa GAZA inaenda kukaliwa na wazayuni milele. yaani hapa ni pale umeweka chambo unatafuta samaki afu anakuja mwenyewe.

kwa msiofahamu, wayahudi hawaiti kiti kinachoitwa WESTBANK, eneo lile wao wanaliita JUDEO SAMARIA, kama ilivyokuwa inaitwa zamani na wanaamini ni mkoa ndani ya nchi yao. Judeo samaria ndio kule kwenye Bethlehem ambako Yesu alizaliwa, ndio kwenye Hebron mji alioujenga Daudi mfalme wao.
Aaah mazayuni wanazidi kuwaleta wahamiaji mazayuni wenzao. Hiyo westbank yenyewe sehemu ya Mapalestina iliyobakishwa nhata magomeni kubwa.

Safari hii Wapalestina wameamuwa. mpaka mipaka ijulikane, kila mtu awe na kwake na ajitawale mwenyewe apendavyo.

Wewe fikirimazayuni wanaruhusiwa kuingia kuishi popote apendapo. Wapalestina hata waliokuwa wakimbizi hawaruhusiwi kurudi kwao. Haki iko wapi hapo?
 
Suluhisho ni kuundwa kwa taifa huru la Palestine jirani na Israel.....ikishindikana basi iwe taifa moja lenye kujumuisha mpaka Gaza na West bank.
 
Kwa jinsi ya ulivyo andika utafikiri sisi wabantu tunaumia Kwa wayaudi kuuawa.
Waarabu katili, mayaudi wababe katili.Sasa katili Kwa katili, wakatiliane wao Kwa wao.
Sisi wengine huku tunagonga kitimoto kama kawa
 
Aaah mazayuni wanazidi kuwaleta wahamiaji mazayuni wenzao. Hiyo westbank yenyewe sehemu ya Mapalestina iliyobakishwa nhata magomeni kubwa.

Safari hii Wapalestina wameamuwa. mpaka mipaka ijulikane, kila mtu awe na kwake na ajitawale mwenyewe apendavyo.

Wewe fikirimazayuni wanaruhusiwa kuingia kuishi popote apendapo. Wapalestina hata waliokuwa wakimbizi hawaruhusiwi kurudi kwao. Haki iko wapi hapo?
mipaka itakuwa ile ya Jordan. kwasababu wazayuni wanaamini wapalestina ni waarabu wahamiaji toka Jordan, na ikizingatia Jordan kuna wapalestina wengi kuliko raia wake halisi, wanataka kuhalalisha kwamba kwasababu kuna namba kubwa sana ya wapalestina Jordan kuzidi hata wenyeji wa Jordan, basi wapalestina waliopo Israel wahamia kwa wenzao Jordan ambako kuna ardhi kubwa hata hawawezi kuimaliza. HIlo lingeshatokea zamani sana, shida inakuja pale Israel kuna AL AQSA na mji wa Yerusalem ambayo kiimani Waislam hawawezi kuiachia. walichokishikilia wapalestina pale ambacho wapo tayari kufa sio ardhi, kama ardhi mbona nchi za kiarabu zina ardhi kubwa wangeshawaachia wakaenda kwengine, wapo pale kulinda maeneo matakatifu kwa dini ya kiislam. bahati mbaya ni kwamba, miaka 10 mingi palestina itakuwa na wayahudi zaidi ya 1,000,000 kwasababu wanachanga pesa kwenye jumuiya zao huko diaspora na wanajenga makazi mapya kila siku na vibarua wa kujenga makazi mapya hayo ni wapalestina wenyewe.
 
Aaah mazayuni wanazidi kuwaleta wahamiaji mazayuni wenzao. Hiyo westbank yenyewe sehemu ya Mapalestina iliyobakishwa nhata magomeni kubwa.

Safari hii Wapalestina wameamuwa. mpaka mipaka ijulikane, kila mtu awe na kwake na ajitawale mwenyewe apendavyo.

Wewe fikirimazayuni wanaruhusiwa kuingia kuishi popote apendapo. Wapalestina hata waliokuwa wakimbizi hawaruhusiwi kurudi kwao. Haki iko wapi hapo?
hivi nikikuuliza bibi kizee, kwanini Misri, Jordan, Saudia na nchi zingine za kiarabu hawataki kuruhusu wapalestina kukimbilia kwao kama wakimbizi, ni kwanini? be real kwenye hili, hebu tujadili.
 
Wapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.

Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:

View attachment 2858495


My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.
Vita gani wana piga na self na video imekuwa edited kama zile za Bruciliii na komando john?😆😆😆
 
Wapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.

Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:

View attachment 2858495


My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.
Akili zako zimeishia kwenye Udini tu, hunagahoja nje ya Islamic terrorism and fundamentalism
 
naumia sana, inge
Wapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.

Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:

View attachment 2858495


My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.

Wapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.

Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:

View attachment 2858495


My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.
ingekuwa karibu karibu ningekuwa huko napambana nakafir live,,,, ntashangaa sana waislam walio karibu wakishindwa kupigania ardhi ya phalestine
 
Labda ulisema na mumeo.
Mbona kama umepaniki sana? Inshallah allah akusaidie sana. Kama kwenu wanaume wanakuwa na waume basi mnalaana kubwa. Tuendelee kuwapambania wenzetu na kuanzisha uzi za kuwafariji.
 
Wapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.

Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:

View attachment 2858495


My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.
Waziri wa Fedha wa Israel kashatoa wito kwa Waisrael wanaotaka waanze kuhamia Gaza. Mwanzoni Netanyahu alisema kitu pekee kinachowauma Waarabu ni kuchukua maeneo yao na ndicho anakifanya hapo Gaza.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
mipaka itakuwa ile ya Jordan. kwasababu wazayuni wanaamini wapalestina ni waarabu wahamiaji toka Jordan, na ikizingatia Jordan kuna wapalestina wengi kuliko raia wake halisi, wanataka kuhalalisha kwamba kwasababu kuna namba kubwa sana ya wapalestina Jordan kuzidi hata wenyeji wa Jordan, basi wapalestina waliopo Israel wahamia kwa wenzao Jordan ambako kuna ardhi kubwa hata hawawezi kuimaliza. HIlo lingeshatokea zamani sana, shida inakuja pale Israel kuna AL AQSA na mji wa Yerusalem ambayo kiimani Waislam hawawezi kuiachia. walichokishikilia wapalestina pale ambacho wapo tayari kufa sio ardhi, kama ardhi mbona nchi za kiarabu zina ardhi kubwa wangeshawaachia wakaenda kwengine, wapo pale kulinda maeneo matakatifu kwa dini ya kiislam. bahati mbaya ni kwamba, miaka 10 mingi palestina itakuwa na wayahudi zaidi ya 1,000,000 kwasababu wanachanga pesa kwenye jumuiya zao huko diaspora na wanajenga makazi mapya kila siku na vibarua wa kujenga makazi mapya hayo ni wapalestina wenyewe.
Hii historia ya maeneo matakatifu ya Uislam ndani ni Israel ni tatizo, na inaacha maswali mengi hivyo ni sawa kwa Israel kuweka historia sawa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hii historia ya maeneo matakatifu ya Uislam ndani ni Israel ni tatizo, na inaacha maswali mengi hivyo ni sawa kwa Israel kuweka historia sawa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
ni kwasababu lile eneo lile lilishawahi kupigwa na waislam, wakajenga ule mskiti. wayahudi walifanya dhambi ndio maana wakapata mapigo ya kupigwa na kuchukuliwa utumwani. kwa wasomaji wa Biblia wanakumbuka kuwa Yesu aliulilia sana mji wa Yerusalemu akisema laiti wangelijua hakuna jiwe lingesalia juu ya jiwe lingine, akimaanisha maadui wangekuja kuwapiga na kuupiga mji. ilitokea, na ndio sababu ya wahayudi kusambaratika duniani kote kama wakimbizi. waislam nao walikuja kupigwa wanaondoshwa, lakini ndio wameshajenga al aqsa mosque. pia kwao mji wa Yerusalem ambao Mohamad aliukuta aliupenda ndio maana wanauchukulia kama ni mji mtakatifu kwao. ila mohamada liukuta ulishajengwaga miaka 3000 kabla hajazaliwa.
 
Kwahiyo waarabu wanadhani wana haki ya kuwanyanganya ardhi wayahudi...kama mungu wao wa kiarabu anavyowadanganya...
Jew,s wapo tayari kwa vita hata miaka bilioni moja........
Hakuna cease fire!!
Ardhi ni ya wapaestina mkuu na walio usa huwa wanasema
 
Labda huwafahamu wakristo wa JF, ngoja nikuitie mmoja akusome.

MK254 njoo huku uone kaanidka nini huyu kijana.

Mimi hushobokea kila anayetembeza kichapo kwa nyie mazombi, iwe Mchina, Mrusi, Mhindi, Myahudi yaani kila mkianzisha ugomvi mnauawa nyie.
 
Sikiliza kijana, wenye haki ni mazayuni tu ya kuwanyag'anya wapalestina ardhi yao.

Sasa hivi huko mazayuni wameng'oa misalaba yote kwenye makaburi ya wakristo, hawataki kuiona. Unalielewa hilo?
Wang'oe tu, sisi tuna Yesu, hiyo misalaba kwenye ukristo haitusaidie chochote, wayahudi wako civilized kuriko waarabu
 
Ww unachekesha kweli eti waislam wanawapigia magoti wa kristo wawaunge mkono katika watu wa hovyo ni hao wafuasi wa jesus,kiongozi wao anapgwa mpk kabaki na chupi hakuna hata alieweza kumsaidia ndio leo tuwaombe msaada nyinyi
HIO BIBI HAIONDOI BONDI YA WAYAHUDI NA WAKRSTO KUPITIA MUNGU WAO WA KIYAHUDI YEHOVA...TAFUTA PROPAGANDA NYINGINE....HIYO IPO CHEAP SANA😂🤣🤣
Najua waislam wanawapigia magoti wakrsto na kuwasihii wawaunge mkono katika chuki yao dhidi ya wayahudi......ila wakrsto wanawasanifu maaana kwao wayahudi ni wateule wa Mungu wao wa kiyahudi YEHOVA..
 
Suluhisho ni kuundwa kwa taifa huru la Palestine jirani na Israel.....ikishindikana basi iwe taifa moja lenye kujumuisha mpaka Gaza na West bank.
Wapalestina hawawezi kupewa nchi mbili, waende Jordan
 
Back
Top Bottom