Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
HIO BIBI HAIONDOI BONDI YA WAYAHUDI NA WAKRSTO KUPITIA MUNGU WAO WA KIYAHUDI YEHOVA...TAFUTA PROPAGANDA NYINGINE....HIYO IPO CHEAP SANA😂🤣🤣wanatakiwa watowe waraka kwanini mazayuni wamepiga marufuku krismasi kufanyika alipozaliwa Yesu, Bethlehem na kwanini wanang'oa misalaba yote kwenye makaburi ya wakristo.
Tec naona hilo wanalikalia kimya kwa kuwa wanaofanya hayo ni wabarikiwa.
🤣🤣😂😂kwani TEC Hhawajatoa waraka kuhusu kichapo cha Leo?
Unateseka na mazayuni wewe.Sikiliza kijana, wenye haki ni mazayuni tu ya kuwanyag'anya wapalestina ardhi yao.
Sasa hivi huko mazayuni wameng'oa misalaba yote kwenye makaburi ya wakristo, hawataki kuiona. Unalielewa hilo?
Mungu hana kabila wewe, usiwe poyoyo.HIO BIBI HAIONDOI BONDI YA WAYAHUDI NA WAKRSTO KUPITIA MUNGU WAO WA KIYAHUDI YEHOVA...TAFUTA PROPAGANDA NYINGINE....HIYO IPO CHEAP SANA😂🤣🤣
Najua waislam wanawapigia magoti wakrsto na kuwasihii wawaunge mkono katika chuki yao dhidi ya wayahudi......ila wakrsto wanawasanifu maaana kwao wayahudi ni wateule wa Mungu wao wa kiyahudi YEHOVA..
wanapata muda wa kuingiza soundtrackWapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.
Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:
View attachment 2858495
My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.
Mama tulia basi, tafuta hata mme akukeep busy. Haya mengine unaumiza kichwa tu mama, relax. Uliyakuta na utayaacha, usijipe presha sana na kibaya zaidi huna cha kufanya ndo maana ukipata msongo wa mawazo unakimbilia Jamii forums kuandika.wanatakiwa watowe waraka kwanini mazayuni wamepiga marufuku krismasi kufanyika alipozaliwa Yesu, Bethlehem na kwanini wanang'oa misalaba yote kwenye makaburi ya wakristo.
Tec naona hilo wanalikalia kimya kwa kuwa wanaofanya hayo ni wabarikiwa.
Wakiristo wa jf humu wakiona hivi wanaumia sana, matumbo yanawakata. Utadhani wa ndio mayahudi. Jamaa wanaroho mbaya ajabuWapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.
Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:
View attachment 2858495
My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.
Wajinga tu, wao hao wanaitwa najisi na mazayuni na wanatemewa makohozi. Ukionekana na msalaba tu huko ni kosa. hawajitambui hawa mapoyoyo, tutawaelimisha kidogo kidogo.Wakiristo wa jf humu wakiona hivi wanaumia sana, matumbo yanawakata. Utadhani wa ndio mayahudi. Jamaa wanaroho mbaya ajabu
Wewe kweli una matatizo makubwa sana kichwani mwako. Hivi kwa jinsi vifo vilivyokuwa vingi kwa Wapalestina bado unawashabikia waendelee na vita???Unataka wafe watu wangapi zaidi ili uridhike na kuwasihi Wapaleatina kuendeleza juhudi za kutafuta amani ili kuepusha vifo Zaidi?Wapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.
Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:
View attachment 2858495
My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.
Sahihi wapalestina wangepewa ardhi nchi za kiarabu ndio msaada pekee wasiishe.Wapalestina wamesma mazayuni wasifikiri hata siku moja kuwa wataishi kwenye ardhi hiyo kwa raha wakati wenye ardhi wanateseka.
Hakuna mkristo anaemshobokea yahudi,yahudi ni mkristo ni paka na panya mazayuni dini Yao freemasoniWajinga tu, wao hao wanaitwa najisi na mazayuni na wanatemewa makohozi. Ukionekana na msalaba tu huko ni kosa. hawajitambui hawa mapoyoyo, tutawaelimisha kidogo kidogo.
Wao fikra zao kuna vita ya kidini israel
Mkristo anaweza kaa meza moja na muislamu na sio yahudiLabda huwafahamu wakristo wa JF, ngoja nikuitie mmoja akusome.
MK254 njoo huku uone kaanidka nini huyu kijana.
ningewashauri wasingefanya hivyo, kwasababu Israel alikuwa anatamaniw afanye hivyo ili aivamie mazima westbank, avunje majengo na wayahudi wajenge ya kwao. kama hamjui, westbank kuna wayahudi karibia 600,000 na wapalestina milioni kama 3. wayahudi 600,000 kuwepo pale na kila siku wanavamia mashamba na ya wapalestina na kuyapora, inawapa mwanya zaidi wa kufanya vita wakijifanya ni vita ya ugaidi kumbe ndio wanapora zaidi maeneo. Mahmood Abas analijua hili ndio maana alishatangaza kwamba wanaomba waitawale na GAZA kwasababu anaogopa GAZA inaenda kukaliwa na wazayuni milele. yaani hapa ni pale umeweka chambo unatafuta samaki afu anakuja mwenyewe.Wapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.
Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:
View attachment 2858495
My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.
Ndicho Israel inatafuta sasa kuanzia leo anza kuhesabu makobaz mtaanWapalestina kuonesha kuwa wao wote ni kitu kimoja, akiumizwa mmoja wote wanaumia, wamelianzisha huko West Bank. Wapiganaji wa Al Quds Brigades waliolianzisha wanasema halisimami hilo mpaka kieleweke.
Vita inaendelea kupanuka. Jana wamezzichapa huko usiku kucha:
View attachment 2858495
My take: Netanyau katumbukizwa maji ya kina kirefu, sasa anatapatapa. Wayahudi wenyewe wa asili ya hapo Palestina wamemgeuka, Wayemeni huko baharini wanaendeleza ubabe licha ya uwepo wa manoeari za kiv9ita za NATO. Kaskazini huko Hezbollah nao kila likipowa wanaliamsha. Ghaza hapo ndiyo usiseme, Hamas wamebadili mbinu na sasa wanalianzisha usiku usiku tu, wanajuwa mashiga wa kizayuni wanapenda kulala hovyo, waamke wapigane.