FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Jan 4, 2024 Thread starter #61 Mfalme Sulemani said: hivi nikikuuliza bibi kizee, kwanini Misri, Jordan, Saudia na nchi zingine za kiarabu hawataki kuruhusu wapalestina kukimbilia kwao kama wakimbizi, ni kwanini? be real kwenye hili, hebu tujadili. Click to expand... Kwani uzee ni ugonjwa au ndiyo matusi ya kikwenu hayo?
Mfalme Sulemani said: hivi nikikuuliza bibi kizee, kwanini Misri, Jordan, Saudia na nchi zingine za kiarabu hawataki kuruhusu wapalestina kukimbilia kwao kama wakimbizi, ni kwanini? be real kwenye hili, hebu tujadili. Click to expand... Kwani uzee ni ugonjwa au ndiyo matusi ya kikwenu hayo?