Wapangaji waijulishe TRA kuwa nyumba si zao ili TRA isifanye kosa kuwatoza kodi ya jengo

Umesema kweli tupu.
 
Ccm yenye wenyeviti wa mtaa na vijiji kila sehemu hawafahamu wenye umiliki wa majengo.
Ccm ni chama cha hovyo sana
 
Ukiwa washindwa na elfu moja ya unga wa dona,utaweza kupangisha nyumba yenye umeme,ambayo nina hakika nyumba nzima,kama Dar kwa mwezi ni laki sita.Huyo wa kukosa elfu ya unga wa dona ni wakuishi nyumba ya chumba elfu tano na bila ya umeme na ni nje ya mji.
 
Huyo anayeshindwa kulipa umeme wa elfu,sio mpamgaji wa nyumba nzima,labda ni mpangaji wa chumba cha elfu tano,na itakuwa nyumba ina vyumba kumi,wakichangishana kulipia umeme,itakuwa kila mwenye chumba katoa shilingi mia kwa mwezi,sasa hapo ikiwa ameshindwa kulipa mia ya kila mwezi,atafute nyumba isikokuwa na umeme,apangishe.
 
Nyie matajiri wa Sinza hamjui kuna watu wanishi nyumba zenye umeme lakini wao hawautumii.
 
Tanesco haihusiki na kodi hii, Tanesco ni kama wakala tu wa kukusanya, mhusika ni TRA.
Tanesco wala sio wakala yeye kazi yake kupokea malipo ya bill tu asijipe kazi ya ziada bill huko ndani kuna nini si yake. Bill yasomeka jina la mwenye nyumba yatosha
 
Haifiki elfu moja kwa wanaopangisha chumba chumba,katika nyumba za kupanga,nyingi zina vyumba zsidi ya kumi,kila mpangaji akichangia umeme kila mwezi,atakuwa amelipa haiziidi shilingi mia.
 
Sijui kwanini tunakimbiliaga mambo haya bila kujipanga kisawasawa..
 
Wew unaoongea tu.. kuna mtu ana anamiliki nyumba nyumba kila chumba kina mita yake.. kwa mfano kuna vyumba kumi.. huoni kama kuna 10000/= apo lazima TRA wapite nayo.. mfumo wao na wa hovyo tu kuna miingiliano mingi sana kwenye hili
Hakuna nyumba kila chumba kina mita yake,labda frem za biashara,na hakuna mfanyabiashara anayeshindwa kulipa elfu kwa mwezi.
 
Mwenye nyumba anawahi kulipa kawaida kila mwanzo wa mwaka,hawezwi kukatwa hizo pesa.Wapo waliokwishalipa kwa njia za kawaida sio za luku,hawakatwi kwenye luku.
 
We jamaa sio wote mnashea nyumba za kupanga kuna watu wamepanga migorofa harifu
 
Serkali iagize kwamba!;
KODI YA JENGO NI KWA MWENYE JENGO TU!
MPANGAJI HAHUSIKI!
Hivo mpangaji na mwenye jengo wakubaliane jinsi ya kurudishiana makato aliyo katwa mpangaji kwa ajili ya kulipia jengo!
 

Sidhani umeelewa point ya jamaa. Na mifano yako ni irrelavant ukiilinganisha na anachosema. Anakwambia, mtu anakipa kodi ya lakini 4 kwa mwezi na anatumia umeme wa laki 2 kwa mwezi - huyo ndio agombane na mwenye nyumba kuhusu 1,000 katika mwezi huo mmoja?? Sasa wewe unazungumzia anayekosa 400 ya nauli. Mbona husemi mtu huyo amepanga nyumba bei gani na anatumia umeme kiasi gani kwa mwezi??? Hapo ndio kungekuwa na ulinganifu.

Huwezi kukinganisha chungwa na embe ukasema chungwa tamu! Unalinganisha chungwa la Tanga na la Ukerewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…