Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #81
Tatizo wewe haujawahi kupanga na ndiyo sababu nimesema serikali inatugombanisha wapangaji na wenye nyumba, mwenyenyumba neno lake hautaki kutoa 1,000 hama nenda kapange TRA.Lipa mkuu, hata hii mitandao unayotumia kulalamika na umeme unaochajia simu ni zao la kodi na tozo mbalimbali. Kata fedha yako kwenye Kodi ya mwenye nyumba.