Wapangaji waijulishe TRA kuwa nyumba si zao ili TRA isifanye kosa kuwatoza kodi ya jengo

Wapangaji waijulishe TRA kuwa nyumba si zao ili TRA isifanye kosa kuwatoza kodi ya jengo

Ili kuondoa mgogoro kati ya mwenye nyumba na mpangaji TRA iwatake wapangaji wapeleke namba zao za mita na kuiwezesha TRA iwaondoe kwenye kulipishwa kimakosa. Hata hivyo tatizo litabaki pale mwenye nyumba na mapangaji wanatumia mita moja ambapo mwenye nyumba atalazimisha wapangaji walipe kodi ya jengo.
Yaan serikali ianawapa wakati mgum sana wananchi wake.. maana kuna wengine hadi leo hii hawajui kuwa kodi ya jengo italipwa kupitia umeme. Nmepita sehem kwa mdogo wangu mmoja anapambana na misha kwenye site yake aliopangishwa.. akasema leo amenunu umeme wa 1000/= ukagoma wa 2000/= ukazingua mpaka ameweka 4000/= ndio kapata umeme unit 5 na sehem iv. Maana ake kapata umeme wa 2000 wenye makato ya rea, ewura na vat... 2000/= kakatwa ya kodi ya jengo miez miwil july na August. Na hayo yote hakua anayajua nmefika nakuta analalamika umeme wa 4000 nmepata unit 5 kwel anailalamikia serikali.. nikamwelewesha pale ndio akaelewa zaid maana alijua hali ndo ishakuwa hivo yaaan.. huu ni mfano wa wasiojua mambo kama haya.. kwa hiyo serikali ijipange
 
Kwanza tu ni kuweke sawa ni kuwa wewe ni mnafiki wa wazi kabisa.

Katika swala dogo kama hili umeshindwa kujua nan adui na nani mwenzako usimame nae katika kupambania haki ambayo wewe inakuhusu.

Nadhani unakumbuka ile hadithi ya mtego wa panya ulioua kuku, mbuzi, kondoo na ng'ombe na panya ambaye ndie muhusika wa mtego akapona. Lakini panya huyo huyo aliwaonya na kuwashirikisha hawa wanyama wakubwa wamsaidie na walikataa wakiamini huo mtego wa panya hauwahusu.

Anyways kama hauifahamu hiyo story hebu nenda kaitafute uisome uielewe. Utapata ujumbe.

Wewe raia wenzako wanalalamika kunyanyaswa wewe unatetea bila hata chembe ya huruma. Mbona hauna upendo na watanzania wenzako?!

Unakuwa kama Job ndugai akikaa kwenye kiti kile cha uspika anajibu majibu utadhani yeye anamiliki hii Dunia. Acha dharau.

Kama 1000 kwako ni ndogo kuna wenzako wanaitafuta kwa shida sana na hawapo tayari kunyang'anywa hiyo 1000 kiuonevu kwa kisingizio cha sijui kuchangia kodi ya nini sijui. Ni upumbavu.

Hebu jaribu kuwa muungwana wewe.
Mkuu kwani hii kodi ya majengo ni mpya? Sio kwamba wameamua kukata kwenye umeme badala ya wewe kwenda kupanga foleni TRA kulipa 10,000/- ya mwaka? Kwasababu sio kodi mpya nikuulize kwako wewe kipi rahisi kwenda TRA kupanga foleni au kulipa moja kwa moja kupitia Luku?
Mjadala hapa uwe kukatwa wasiohusika au nyumba moja yenye mita kadhaa kukatwa mara nyingi na hilo TRA washatoa ufafanuzi.
 
Ili kuondoa mgogoro kati ya mwenye nyumba na mpangaji TRA iwatake wapangaji wapeleke namba zao za mita na kuiwezesha TRA iwaondoe kwenye kulipishwa kimakosa. Hata hivyo tatizo litabaki pale mwenye nyumba na mapangaji wanatumia mita moja ambapo mwenye nyumba atalazimisha wapangaji walipe kodi ya jengo.
Suala ni Jepesi MPANGAJI awasiliane na MWENYE NYUMBA wake kama UPANGAJI wake ni Miezi 6 kwa Wale wanaokatwa 1000/= kila Mwezi ni sawa sh 6000 wakati wa kumlipa KODI Atoe hizo sh.6000/= Alizokatwa MAISHA yaendelee
Ccm oyeee

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Yani kuhangaika kote Huku ni kwasababu ya 1000 tu kwa mwezi?
Tunalalamika mno vitu vya kipuuzi ndio maana tukiwa na malalamiko ya msingi serikali haiyatilii maanani maana imetuzoea ni wapayukaji hovyo.
Huyo mpangaji atakayegombana na mwenye nyumba kwasababu ya 1000 atakuwa juha
Hayo ni maoni yako tu uzilazimishe waonekane majuha mjusi wee
 
Ili kuondoa mgogoro kati ya mwenye nyumba na mpangaji TRA iwatake wapangaji wapeleke namba zao za mita na kuiwezesha TRA iwaondoe kwenye kulipishwa kimakosa. Hata hivyo tatizo litabaki pale mwenye nyumba na mapangaji wanatumia mita moja ambapo mwenye nyumba atalazimisha wapangaji walipe kodi ya jengo.
kwani hawajui 80% ya nyumba nchi hii niza kupangisha?.
Waacheni washaamua mtawafanya Nini?ila siku tukiwa na tume huru wataogopa kupitisha maamuzi yenye kuumiza wengi.
 
Mkuu kwani hii kodi ya majengo ni mpya? Sio kwamba wameamua kukata kwenye umeme badala ya wewe kwenda kupanga foleni TRA kulipa 10,000/- ya mwaka? Kwasababu sio kodi mpya nikuulize kwako wewe kipi rahisi kwenda TRA kupanga foleni au kulipa moja kwa moja kupitia Luku?
Mjadala hapa uwe kukatwa wasiohusika au nyumba moja yenye mita kadhaa kukatwa mara nyingi na hilo TRA washatoa ufafanuzi.
Hapana mkuu, hii sio kodi ngeni na si dhambi kukusanywa. Shida inakuja ni namna gani inakusanywa.

Kama swala ni kusolve Foleni za walipaji, mbona umeme na maji tunalipia kwa njia ya simu, bank na hata application za simu.

Kwahiyo sidhani kama dhamira yao ni kusolve hilo tatizo la foleni bali kuna motive nyingine nyuma ya hili.

Ila swala la msingi hapa kwanza linaloanza kuleta utata ni uhalali wa matumizi ya haya makusanyo ambayo yanakusanya kwa expense ya furaha na amani ya raia wasio na maisha yenye uelekeo.

Tusijivike aibu ya uzalendo kushindwa kuhoji nini kinaendelea. Raia hatutaki kutoa kodi sababu huwa haziendi pahala husika na kuishia kutuumiza tu kwenye kulipia.

Sasa nadhani badala ya kuwajibika kulipa ni vema tuwajibike pamoja kama wananchi kuhoji hela zinakwenda kutumikaje na wapi zinaenda.....

Au unasemaje mkuu?!
 
Serikali iwapuuze hawa walalamishi. Tanzania itajengwa na watanzania.

Kama tunachukia kweli kutembeza bakuli nchi za nje na kuombaomba misaada, ni lazima tukubali kuchangia.

Amkeni watanzania, kulalamika lalamika hakuna faida.
Ufisadi mkubwa unaofanywa na viongozi wa serikali ndio unaokatisha tamaa wananchi kuchanga, Yaani wananchi masikini wachange vielfu moja moja vyao ghafla unasikia kuna waziri kachota 40B hazijulikani zilipo.

Serikali iweke sheria kali juu ya ulaji wa pesa za umma, ama sivyo hakutakuja kuwa na mwamko wa kuchangia milele.
 
Mpangaji kumiliki mita ya LUKU😂😂only in Tanzania....tuwe serious!ngoja wenye nyumba wapandishe kodi ya kufidia hayo makato ya 1000/= kwa mwezi. Hiyo system ya makato iwekwe pia kwenye ukusanyaji wa takataka na ulinzi wa sungusungu...wabongo bhana!kodi ya barabara (road licence)ambayo ilitakiwa ilipwe na mmiliki wa chombo imewekwa kwenye mafuta na unalipa hata kama chombo si chako ..Watu kimyaaa!!
Lipeni kodi msilete za kuleta.
Walipokuwa wanabambikwa kodi wafanyabiashara kila mtu aliona poa, sasa kodi ni haki na wajibu wa kia mtu.
 
Yani kuhangaika kote Huku ni kwasababu ya 1000 tu kwa mwezi?
Tunalalamika mno vitu vya kipuuzi ndio maana tukiwa na malalamiko ya msingi serikali haiyatilii maanani maana imetuzoea ni wapayukaji hovyo.
Huyo mpangaji atakayegombana na mwenye nyumba kwasababu ya 1000 atakuwa juha
Mbona unaonekana wewe ndiye JUHA? kama 1000 ingekua ndogo kwanini TRA wanaikusanya?
 
Hapana mkuu, hii sio kodi ngeni na si dhambi kukusanywa. Shida inakuja ni namna gani inakusanywa.

Kama swala ni kusolve Foleni za walipaji, mbona umeme na maji tunalipia kwa njia ya simu, bank na hata application za simu.

Kwahiyo sidhani kama dhamira yao ni kusolve hilo tatizo la foleni bali kuna motive nyingine nyuma ya hili.

Ila swala la msingi hapa kwanza linaloanza kuleta utata ni uhalali wa matumizi ya haya makusanyo ambayo yanakusanya kwa expense ya furaha na amani ya raia wasio na maisha yenye uelekeo.

Tusijivike aibu ya uzalendo kushindwa kuhoji nini kinaendelea. Raia hatutaki kutoa kodi sababu huwa haziendi pahala husika na kuishia kutuumiza tu kwenye kulipia.

Sasa nadhani badala ya kuwajibika kulipa ni vema tuwajibike pamoja kama wananchi kuhoji hela zinakwenda kutumikaje na wapi zinaenda.....

Au unasemaje mkuu?!
Aisee kumbe malalamiko haya ni kuhoji zinatumikaje?! Basi sawa
 
Mbona unaonekana wewe ndiye JUHA? kama 1000 ingekua ndogo kwanini TRA wanaikusanya?
Narudia ni mtu juha Na mpuuzi anayeweza kutoa kelele Kwa kuchajiwa sh 1000 Kwa mwezi kuleta maendeleo.
Na ajabu hiyo 1000 wanachangia wapangaji kibao.
Tafuta hela acha roho na akili za kimasikini
 
Hayo ni maoni yako tu uzilazimishe waonekane majuha mjusi wee
Tafuta hela acha akili za kimasikini juha wewe.
Hizi zote ni akili za kimaskini, 1000 mnapiga kelele kama mmepewa hukumu ya kifo
 
Kama ni hivi tutaiuliza serikali zile kauli za nchi hii ni tajiri na kusikia namba za tozo za madini zilivyokuwa zikiongezeka imeishia wapi? Mbona sasa ni kauli za tozo aka kodi za kichwa kila mahali?
Hakuna mbadala wa Kodi Mkuu, tulipe Kodi
 
Tafuta hela acha akili za kimasikini juha wewe.
Hizi zote ni akili za kimaskini, 1000 mnapiga kelele kama mmepewa hukumu ya kifo
Wewe mwenye akili za kitajiri mbona unakunya mavi yananuka kama mizoga.Akili zako za kitajiri zingekuwa zinakusaidia ungekuwa unakunya vito vya thamani,mjusi wa kwenye majabali wee!.Wenye akili za kitajiri wanaziishi akili zao za kitajiri,sasa wewe una akili za kitajiri na bado maskini halafu unatukana watu humu unawaita wehu.kama 1000 sio kitu uwe kila siku unachukua 1000 unaichambia
 
Hoja yako haina uhusiano na kodi ya majengo(property tax)ya kutozwa 1000/= kila mwezi kwenye LUKU(jumla 12000/=kwa mwaka).😂😂Naona hapo umechanganya madesa!!!
Regardless mzee watu si wanadharau buku na kuiona ndogo sana! Wakati kuna watu wanaitafuta kwa tochi
 
Kama ni hivi tutaiuliza serikali zile kauli za nchi hii ni tajiri na kusikia namba za tozo za madini zilivyokuwa zikiongezeka imeishia wapi? Mbona sasa ni kauli za tozo aka kodi za kichwa kila mahali?
Hakuna mbadala wa Kodi Mkuu, tulipe Kodi
Kwanza tu ni kuweke sawa ni kuwa wewe ni mnafiki wa wazi kabisa.

Katika swala dogo kama hili umeshindwa kujua nan adui na nani mwenzako usimame nae katika kupambania haki ambayo wewe inakuhusu.

Nadhani unakumbuka ile hadithi ya mtego wa panya ulioua kuku, mbuzi, kondoo na ng'ombe na panya ambaye ndie muhusika wa mtego akapona. Lakini panya huyo huyo aliwaonya na kuwashirikisha hawa wanyama wakubwa wamsaidie na walikataa wakiamini huo mtego wa panya hauwahusu.

Anyways kama hauifahamu hiyo story hebu nenda kaitafute uisome uielewe. Utapata ujumbe.

Wewe raia wenzako wanalalamika kunyanyaswa wewe unatetea bila hata chembe ya huruma. Mbona hauna upendo na watanzania wenzako?!

Unakuwa kama Job ndugai akikaa kwenye kiti kile cha uspika anajibu majibu utadhani yeye anamiliki hii Dunia. Acha dharau.

Kama 1000 kwako ni ndogo kuna wenzako wanaitafuta kwa shida sana na hawapo tayari kunyang'anywa hiyo 1000 kiuonevu kwa kisingizio cha sijui kuchangia kodi ya nini sijui. Ni upumbavu.

Hebu jaribu kuwa muungwana wewe.
Huyo raia anayelalamika Kwa kutozwa Kodi ya sh 1000 Kwa mwezi ambayo pengine wanagawana Watu 5 hivyo =200 hastahili kuwa mtu hai, huyo ni mfu.

Unalalamika 1000 Wakati ukienda hospital ukikosa huduma unatukana, ukiona barabara mbovu unatukana, ukikosa umeme unatukana, unategemea fedha za kurekebisha hayo mambo zitatoka Wapi?
hakuna mbadala wa Kodi, asiyetaka kulipa Kodi ajiue apumzike kaburini
 
Hakuna mbadala wa Kodi Mkuu, tulipe Kodi
Mbadala wa kodi upo mzee! Uwezeshaji wa watu wajikite kuzalisha mali na kuuza nje ya nchi nchi ipate foreign reserve ya kutosha!

Double taxing ni upuuzi mwengine! Waweke kodi 50 katika kila chanzo cha pesa itamake sense ila sio kuweka elfu 10 kwenye muamala wa mtu mmoja!
 
Back
Top Bottom