Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla ni hayo tu kwà leo.
Rubbish 🚮🚮Sisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla ni hayo tu kwà leo.
Wewe ndio GENTAMICIN mwenyewe, mwandiko wako haujifichiNasikia anaitwa Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura kwa mujibu wa Wanaomjua vyema akiwemo Mtutsi Mwenzake adriz
Mpuuzi kama Yeye anaweza Kufanana na Mimi Ndugu? Hebu nitake Radhi upesi sana.Wewe ndio GENTAMICIN mwenyewe, mwandiko wako haujifichi
Ungetajwa Wewe bado ungeandika hivi?Rubbish 🚮🚮
Hebu itabidi nizitafute nizijue pengine kweli [emoji23]Mshana ana features za kisambaa zaidi kuliko kipare, japo msambaa na mpare ni mtoto wa mjomba na shangazi[emoji12]
Sisi wapare wa jf
Weka pollSisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla ni hayo tu kwà leo.
Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla ni hayo tu kwà leo
Kabila dogo ila linachukua karibu mikoa mitano... Tanga, Morogoro, Manyara, Dodoma, n.kHivi hili kabila linapatikana wapi?
Dogo acha kuchezea akili zetu. Yaani unajisemea mwenyewe, ili kujiongezea ujiko siyo!Nilikuwa natamani mno kulijua Kabila la GENTAMYCINE kumbe Jamaa ni Mhaya? Basi ndiyo maana.......!!!!!!
Mnajivunia ktk lipi hasa? Hadithi zake za abunuwasi? Watu wengi mna mtindio wa akili. Halafu unaleta maujinga ya ukabila bila hata haya! We kweli zuzu.
Mcheza kwao hutuzwaMkataa kwao mtumwa
Mjisifie @cocasticaSisi Wanguu tujisifie nani?
Mpare na msambaa ndio Wana ukaribu lkn mpare ni mpare mgosi ni mgosi two things differently.Mshana ana features za kisambaa zaidi kuliko kipare, japo msambaa na mpare ni mtoto wa mjomba na shangazi😜
Mchawi mstaafu uende kanisani. Leo likizo ya kimaro imeisha na anarudi Tena pale kijitonyama. Ila bro Ukipita nyanda za juu kusini nitafute Mshana Jr tuongee na kushauriana mambo mawili matatuHili langu ni OG