Russia is not your enemy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 373
- 625
Ahaaa kale kamalaya si ndioMjisifie @cocastica
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa kale kamalaya si ndioMjisifie @cocastica
Asante sana brother nitakutafuta kwa hakika.. Leo ni siku ya Bwana ni muhimu kuitakasa [emoji1545]Mchawi mstaafu uende kanisani. Leo likizo ya kimaro imeisha na anarudi Tena pale kijitonyama. Ila bro Ukipita nyanda za juu kusini nitafute Mshana Jr tuongee na kushauriana mambo mawili matatu
Hahaaaaaaa....Wakenya wanajivunia @m254 ndio mkenya anayeweza kubishana na watanzania utazani kazaliwa manzese au mbagara
Nimeshangaa sana huenda nayo ni ID yake , maana huu ni ulevi wake wakua na multiplex ID'sPopoma tangu lini akawa muhaya?
Huyo ni msukuma..haijalishi kazaliwa wapiMshana mbona ni msambaa wa sehemu moja kule Lushoto inaitwa Mtae.
Gentamycine Ni mtusi toka Burundi.
Mayala Hana usukuma wowote, born and bred in Dar.
Bujibuji Ni msafwa kutoka sehemu moja kule Mbeya inaitwa Nzovwe.
Mpwayungu anasifiwa mkoa Gani?Sisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla.
Ni hayo tu kwa leo.
Popoma kwenye 1&2🙂Yaani na Mimi na Kabila langu la Kipemba ( Wapemba ) nimesahaulika / tumesahaulika Kweli?
Kwa hiyo wewe ni mdudu yule anae kaa kwenye uchafu mnamwita chawa kazi yako kusifia wenzio wewe huna kituSisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla.
Ni hayo tu kwa leo.
wengine inawezekana lakini kwa Mshana naogopa kutaja uraia halali wa mkoa na kabila lake naweza nisilale usiku. ila nasikia unapita MbeyaSisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla.
Ni hayo tu kwa leo.
Mungu wangu[emoji2827]wengine inawezekana lakini kwa Mshana naogopa kutaja uraia halali wa mkoa na kabila lake naweza nisilale usiku. ila nasikia unapita Mbeya
Hahahaha[emoji23]Kwa hiyo wagogo wajivunie Lemutuz?
Mimi apa....Sisi Wanguu tujisifie nani?
Mkuu wewe una id ngapi? Yani umeanzisha mada kujisifia na pia unakuja kuchangia na uku ukijipa like halafu bado kila mtu anajua ni weweGenta🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilikuwa natamani mno kulijua Kabila la GENTAMYCINE kumbe Jamaa ni Mhaya? Basi ndiyo maana.......!!!!!!