Wapemba Mungu anatuona, nakataliwa kuoa kisa nimekulia Bara

Wapemba Mungu anatuona, nakataliwa kuoa kisa nimekulia Bara

Nashangaa watu wanavyo mwambia ampe Mimba huyo binti atapotea hao ushirikina kwao kama urojo wanaupenda.
Tena hawanunui uchawi,,,wanafunguwa CHUPA MOJA tu...ktk chupa 100 ZA MAJINI..wanayoyafuga,,,UNAPIGWA kijini SHOGA,,,,UKIONA KIDUME KINA NDEVU TU..,,unaanza KUKATA VIUNO....usicheze nao hao WAPEMBA,,,NUKSI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wengi mtawalaumu sana Wapemba hapa kwa maneno ya kuambiwa tu, huyo kijana nina hakika hakufuata taratibu inaonekana amekuwa akimla binti wa watu kwa muda mrefu sasa na anaenda kuomba wazazi kumhalalishia sasa, kwa wapemba hilo ni tusi kubwa sana hawawezi kukuozesha binti yao katika baadhi ya masuala wapo serious sana sababu, Namshauri kijana wetu afate utaratibu, wapemba wana kawaida ya kuchunguza mume na familia yake kabla hawajakupa binti yao, inawezekana kijana wetu pia ana mapungufu (ulevi uzinzi) na wazazi wameshashituka. Unajua kule kila ukikaribia uchaguzi wanapelekwa Jeshi kutoka Bara na wanawapiga na kuwauwa sana, kuwanyanyasa sana kwa misingi ya kidini na kuona wanapambana la Alshabab labda, chuki ndio zimeanza huko na zinaendelea, siku ukienda ndio utajua jamaa wanaishi kwa nguvu za Mungu huku diaspora waki play important part, hakuna serikali (ya Zanzibar ama Tanganyika) inayowajali. Mnaoita nyinyi ubaguzi umeanza mbali sana kwa watu wa Bara.
Akhy mimi nilikuwa nikifundisha dini hiyo familia
 
wengi mtawalaumu sana Wapemba hapa kwa maneno ya kuambiwa tu, huyo kijana nina hakika hakufuata taratibu inaonekana amekuwa akimla binti wa watu kwa muda mrefu sasa na anaenda kuomba wazazi kumhalalishia sasa, kwa wapemba hilo ni tusi kubwa sana hawawezi kukuozesha binti yao katika baadhi ya masuala wapo serious sana sababu, Namshauri kijana wetu afate utaratibu, wapemba wana kawaida ya kuchunguza mume na familia yake kabla hawajakupa binti yao, inawezekana kijana wetu pia ana mapungufu (ulevi uzinzi) na wazazi wameshashituka. Unajua kule kila ukikaribia uchaguzi wanapelekwa Jeshi kutoka Bara na wanawapiga na kuwauwa sana, kuwanyanyasa sana kwa misingi ya kidini na kuona wanapambana la Alshabab labda, chuki ndio zimeanza huko na zinaendelea, siku ukienda ndio utajua jamaa wanaishi kwa nguvu za Mungu huku diaspora waki play important part, hakuna serikali (ya Zanzibar ama Tanganyika) inayowajali. Mnaoita nyinyi ubaguzi umeanza mbali sana kwa watu wa Bara.
Akhy mimi nilikuwa nikifundisha dini hiyo familia
 
Tena hawanunui uchawi,,,wanafunguwa CHUPA MOJA tu...ktk chupa 100 ZA MAJINI..wanayoyafuga,,,UNAPIGWA kijini SHOGA,,,,UKIONA KIDUME KINA NDEVU TU..,,unaanza KUKATA VIUNO....usicheze nao hao WAPEMBA,,,NUKSI

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha hao viumbe ukiwapangisha nyumba wakiipenda wanalusha kijini kimoja mwenyewe una uza nyumba ni nuksi kweli kweli.
 
wengi mtawalaumu sana Wapemba hapa kwa maneno ya kuambiwa tu, huyo kijana nina hakika hakufuata taratibu inaonekana amekuwa akimla binti wa watu kwa muda mrefu sasa na anaenda kuomba wazazi kumhalalishia sasa, kwa wapemba hilo ni tusi kubwa sana hawawezi kukuozesha binti yao katika baadhi ya masuala wapo serious sana sababu, Namshauri kijana wetu afate utaratibu, wapemba wana kawaida ya kuchunguza mume na familia yake kabla hawajakupa binti yao, inawezekana kijana wetu pia ana mapungufu (ulevi uzinzi) na wazazi wameshashituka. Unajua kule kila ukikaribia uchaguzi wanapelekwa Jeshi kutoka Bara na wanawapiga na kuwauwa sana, kuwanyanyasa sana kwa misingi ya kidini na kuona wanapambana la Alshabab labda, chuki ndio zimeanza huko na zinaendelea, siku ukienda ndio utajua jamaa wanaishi kwa nguvu za Mungu huku diaspora waki play important part, hakuna serikali (ya Zanzibar ama Tanganyika) inayowajali. Mnaoita nyinyi ubaguzi umeanza mbali sana kwa watu wa Bara.
Una tetea uwongo hao wapemba wanao sema bora mlevi wa pemba kuliko shekhe wa bara kwanza wanatuita machogo na hawataki watoto wao wazae vichwa kama jiwe utaozeshwa vipi ubaguzi kwao upo kwenye damu hata uende na utaratibu utapigwa tu.
 
pole yakhe,,,,sasa ammi huko pemba c ndo naskia kuna dini sana,,imekuaje tena sasa haya mambo,,!!!
Pemba kuna dini ya mazoea na si dini yakujifunza [taaluma], pamoja nakufanzia kazi yale ulojifunza
 
Kiukweli kimalezi wanajitahidi mkuu hapo hawajasingiziwa na hata bikra kule zipo nyingi ukifananisha na huku bara!
Inshort Wazanzibari ni wapumbav sana... (wapemba + waunguja) Wanajiona wao ndo wapo perfect, wana malezi mazuri na wameshika dini, ila sisi tuliokulia Bara tunaonekana makafiri, malaya, hatuna malezi na maadili. Wao wenyewe wanabaguana pia... Wapemba Vs. Waunguja. Wapemba wana matatizo sn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanajukwaa salamu kwenu
Mimi ni kijana wa kipemba nimependana na kijana mwenzangu binti wa kipemba nimeenda kwao nimemposa ila leo nimepata majibu kuwa nimekataliwa kwa sababu sijakulia pemba. Kibaya zaidi binti kaapa kuwa asipoolewa na mimi basi kifo ndio kheri yake na mda si mrefu alikuja home kwetu na amenambia akisikia nimeoa basi atahakikisha siishi kwa amani maisha yangu yote...
Binti nampenda na yeye ananipenda zaidi ya sana na hata sijui lakufanya tafadhali nishaurini
KWA ULIVYOZUNGUMZA NA MAALIM SEIF ANASEMAJE KUHUSU HILO ?

"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
 
wanajukwaa salamu kwenu
Mimi ni kijana wa kipemba nimependana na kijana mwenzangu binti wa kipemba nimeenda kwao nimemposa ila leo nimepata majibu kuwa nimekataliwa kwa sababu sijakulia pemba. Kibaya zaidi binti kaapa kuwa asipoolewa na mimi basi kifo ndio kheri yake na mda si mrefu alikuja home kwetu na amenambia akisikia nimeoa basi atahakikisha siishi kwa amani maisha yangu yote...
Binti nampenda na yeye ananipenda zaidi ya sana na hata sijui lakufanya tafadhali nishaurini


Huyo binti atakuwa kichaa na si mzuri kwako kuoa. Ni kweli mnapendana kama usemavyo, kikwazo kwenu ni wazazi wake wasiokutaka, sasa kwanini binti akuwekee gundu wewe? Yaani hataki wewe uoe ila uwe single tu maisha yako yote, je yeye akiolewa na mtu mwingine aliyekulia Pemba bado atataka wewe uwe single? Tatizo la nyie kutokuoana si wewe ila ni wazazi wake, kwani halijuwi hili?
 
wanajukwaa salamu kwenu
Mimi ni kijana wa kipemba nimependana na kijana mwenzangu binti wa kipemba nimeenda kwao nimemposa ila leo nimepata majibu kuwa nimekataliwa kwa sababu sijakulia pemba. Kibaya zaidi binti kaapa kuwa asipoolewa na mimi basi kifo ndio kheri yake na mda si mrefu alikuja home kwetu na amenambia akisikia nimeoa basi atahakikisha siishi kwa amani maisha yangu yote...
Binti nampenda na yeye ananipenda zaidi ya sana na hata sijui lakufanya tafadhali nishaurini
Wewe ushakuwa mpembara sio mpemba tena. Nasikia ukija bara unauasi upemba
 
Kwahio km wanateswa na jeshi la Bara ndio wachukie watu wote? Mm siwahukumu wapemba kwa Hadithi za kuambiwa, ninawajua kiundani.. Wapemba wapo very Judgemental kwa mtu yyte ambae hajakulia Pemba! The moment ukiwaambia unatokea Bara wanakuona hufai na MUHUNI tu kisa umekulia nje ya Pemba😁 hata kwenye kuowa na kuolewa wanaprefer Partner ambae ana asili ya Pemba japo kwa mzazi mmoja. Wapo ambao Wamejaa majungu na Husda wenyewe kwa wenyewe kutwa kuoneana choyo na wapo ambao wanapendana na wameshikamana. wana mazuri yao pia, ni watu wakarimu na waaminifu. Pemba ni sehem iliotulia sana, hakuna fujo ya aina yyte, wala hakuna wizi kule,

wengi mtawalaumu sana Wapemba hapa kwa maneno ya kuambiwa tu, huyo kijana nina hakika hakufuata taratibu inaonekana amekuwa akimla binti wa watu kwa muda mrefu sasa na anaenda kuomba wazazi kumhalalishia sasa, kwa wapemba hilo ni tusi kubwa sana hawawezi kukuozesha binti yao katika baadhi ya masuala wapo serious sana sababu, Namshauri kijana wetu afate utaratibu, wapemba wana kawaida ya kuchunguza mume na familia yake kabla hawajakupa binti yao, inawezekana kijana wetu pia ana mapungufu (ulevi uzinzi) na wazazi wameshashituka. Unajua kule kila ukikaribia uchaguzi wanapelekwa Jeshi kutoka Bara na wanawapiga na kuwauwa sana, kuwanyanyasa sana kwa misingi ya kidini na kuona wanapambana la Alshabab labda, chuki ndio zimeanza huko na zinaendelea, siku ukienda ndio utajua jamaa wanaishi kwa nguvu za Mungu huku diaspora waki play important part, hakuna serikali (ya Zanzibar ama Tanganyika) inayowajali. Mnaoita nyinyi ubaguzi umeanza mbali sana kwa watu wa Bara.
 
Back
Top Bottom