Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Nilitaka kujitahidi kuwaelewa lakn nikashindwa.Ndio migos huwa najiuliza hawa jamaa wanakubalika vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kujitahidi kuwaelewa lakn nikashindwa.Ndio migos huwa najiuliza hawa jamaa wanakubalika vipi
Hadi Lil Ommy humohumoLil nayemjua ni Lil Wayne peke yake
Hawa wengine sijui
Lil yatch
Lil biby
Lil nas x
Lil pump
Lil baby...
Ni kina Lilian tu
Raindrop(drip),drop top(top)Nilitaka kujitahidi kuwaelewa lakn nikashindwa.
ushawishi wa kiba kwenye music industry worldwide ni mkubwa sana.Huyo mzee mandevuuu ahaaaàh kuwa serious basi
hayo majina kwanza yaanatia kinyaa, mizik yao ndo kabisaLil nayemjua ni Lil Wayne peke yake
Hawa wengine sijui
Lil yatch
Lil biby
Lil nas x
Lil pump
Lil baby...
Ni kina Lilian tu
DIZASTA VINA ALISTAHILI.Mwezi uliopita kwa wale wafatiliaji na wapenda mziki wa hiphop kutokea majuu huko USA nadhani mlifatilia Tuzo za BET
Ila tangu Tuzi hizo zifanyike niliwaza mengi, kwenye category moja ya Upcoming Artist ambapo alishinda Lilbaby na sio Juice World
Hivi ni kweli Lilbaby mkali kuliko Juice World?
Mimi ni Old skul katika BET huwa nafuatilia category za LIFE TIME ACHIEVEMENT AWARDS na ile ya HUMANITARIANS lkn huwa nipo interested na host wa show coz majority huwa wanakuwa ni old skul.Mwezi uliopita kwa wale wafatiliaji na wapenda mziki wa hiphop kutokea majuu huko USA nadhani mlifatilia Tuzo za BET
Ila tangu Tuzi hizo zifanyike niliwaza mengi, kwenye category moja ya Upcoming Artist ambapo alishinda Lilbaby na sio Juice World
Hivi ni kweli Lilbaby mkali kuliko Juice World?
Lil nayemjua ni Lil Wayne peke yake
Hawa wengine sijui
Lil yatch
Lil biby
Lil nas x
Lil pump
Lil baby...
Ni kina Lilian tu
Exactly kabisa mkuu. Huyo lil baby naye ni moja ya mumble rappers wazee wa kumung'unya maneno pamoja na gunna.Yani hiphop ya siku hizi kama imeharibiwa radha imepotea kabisa
dizasta vina ni akina joh sabiniDIZASTA VINA ALISTAHILI.
no body is safedizasta vina ni akina joh sabini
Raindrop(drip),drop top(top)
Smokin' on Cookie in the hotbox(cookie)
Fvckin' ur bitch she a thot,thot,(Thot)
Cookin' up dope in the Crockpor(Pot)
We came from nothin' to somethin' nigg*s(hey)
I dont trust nobody grip trigger(nobody)
Call up the gang and they come get and get U(gang)....Hii inaitwa Bad and Boujee by the Migos,Alaf uitafute na Narco alaf utanambia ariff.
Hatari jamaa katisha mleno body is safe
Hii ni verse ya yule shoga Lil uzi vert yani HIPHOP ya sasa kichefuchefu tuYeah yeah yeah yeah yeah
My bitch is bad to the bone /
Huh wait these niggas watching I swear to god they be my clone /
Switch my hoes like my flows/
Switch my flows like my clothes/
Keep on shooting gun don't reload/
Oh oh now she wanna fvck with my crews/
Ndo promo nilizozungumzia hawa nao wanatoka ATLANTA wana HIP Hop wanapopewa promo nyingiNdio migos huwa najiuliza hawa jamaa wanakubalika vipi
Siku hizi mwenye misingi ya HIP HOP wamebaki Juicy J,Joyner Lucas,2chains,Gucci Mane,Kendrick Lamar na Jcole basi..Yani hiphop ya siku hizi kama imeharibiwa radha imepotea kabisa
huwa nashangaa kumkuta mtu anajisema hip hop uku anamsikiliza country girl Yule sijui.Hatari jamaa katisha mle
Hahahaha unakuta mtu katulia eti anamskiliza young killerhuwa nashangaa kumkuta mtu anajisema hip hop uku anamsikiliza country girl Yule sijui.
Kwa ile mikato yake anayo gongelea nakubaliana na wewe kua mshkaji ni bwabwaHii ni verse ya yule shoga Lil uzi vert yani HIPHOP ya sasa kichefuchefu tu