Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meek mill 1942 flows jamaa kapoteza mbayaMeek mill aliropoka tu kwamba drake anaandikiwa ngoma sijui ana ghost writer ila moyoni alijua kuwa drake siyo mtu mzuri
Mkuu uyo jamaa avatar yako ni moto wa kuotea mbali...anarap ni hatari.Hao wanaitwa mumble rappers ni ngumu sana kuwasikia wanachokiimba bila lyrics mfano lil baby na gunna
Angalau kidogo trippie redd anasikika
Hahahaha huyu jamaa ni moto tory lanez anamfahamu vizuriMkuu uyo jamaa avatar yako ni moto wa kuotea mbali...anarap ni hatari.
Joyner Lucas
'Lucky you' ya Eminem kaua sana mule
walk like i talk,commando,one time,cocoon,slippery,hot summer,annah Montana,versace,i got the bag, M I G O S [emoji1487][emoji1487][emoji1487]Raindrop(drip),drop top(top)
Smokin' on Cookie in the hotbox(cookie)
Fvckin' ur bitch she a thot,thot,(Thot)
Cookin' up dope in the Crockpor(Pot)
We came from nothin' to somethin' nigg*s(hey)
I dont trust nobody grip trigger(nobody)
Call up the gang and they come get and get U(gang)....Hii inaitwa Bad and Boujee by the Migos,Alaf uitafute na Narco alaf utanambia ariff.
Nakupinga Na Ww Pia...Ukija Kuangalia Kiuhalisia Lil Baby Alistahili Kubeba Tuzo Dhidi Ya Juice World...Kuanzia Kwenye Nyimbo Zake Alizotoa...Aina Ya Uimbaji...Mashairi Na Hata Katika Ngoma Alizokuwa Featured...Ebu ngoja kwanza..Ngoja nikupinge,Ku'deserve na Kusapotiwa ni vitu viwili tofauti...Mfano Label ya Big Machine inayom'manage Taylor Swift ni ndogo kwa Label kibao na anashinda matuzo mengi!!Sio label but is a Job..Label inayommiliki The Weeknd ni division ya Republic Records na Alishinda Grammy 8 na Billboards8 mwaka 2016...Kwahiyo Lil baby alibebwa tu ila tuzo alipaswa apewe Juice Word but Label sio issue kuliko Uwezo.
Acha Kukurupuka Wewe...Niki Wa Pili Inambeba Nini???Mkuu tunaongelea Hip hop na wewe unakuja kutuambia habari za Kina weeknd na Taylor swift..kwenye Hip Hop label inakubeba mzee amini hilo hivi hukumbuki wasanii wa Cash Money Records walivyokuwa wanakula promo japo uwezo ulikua mkali sio kiviile..na hata hapa Bongo Label kama weusi inabeba baadhi ya wasanii kama Nikki wa pili huyu ni dhairi anatembelea jina la weusi...unapoongelea miziki uliyoitaja wewe hapo inategemea uwezo wa mtu ni kweli lakini pia kwa kiasi fulani label pia inasaidia kufanya promotion kubali ukatae hao wote wawili Taylor na The weeknd pia wanamenejiwa na label ya Republic Records ni moja ya label kubwa dunian na inatoa promotion kubwa kwa wasanii wake
Sasa Ukisema Migos Wanapewa Promo Unazidi Kudanganya Umma...Ukianzia Kwa Rapper Kama OFFSET, Uje Kwa TAKEOFF Alafu QUAVO...Kiujumla Wanajua Na Hata Ukisikiliza Ngoma Zao Kuanzia LOOK AT MY DAB, CACOON, T-SHIRT, NARCOS, BAD & BOUJEE, MOTORSPORT...Ww Sio Mfuatiliaji Itakuwa Una-google Ndio Maana Unaonge Bila FACTSNdo promo nilizozungumzia hawa nao wanatoka ATLANTA wana HIP Hop wanapopewa promo nyingi
hujui kitu na sipendagi kubishana na watoto wasioujua muziki wa HipHop..kwa sababu wewe bado kijana mdogo huelewi lolote kuhusu HipHop umekalilishwa Migos ni wasanii wakali na hawabebwi basi mimi sikupingi endelea na msimamo wako huohuo lakini cha kukusaidia zaidi fuatilia michango mingine ya wachangiaji wa uzi huu ambao wanajua HipHop wanawaongeleaje kina Migos halafu akili kumkichwa mwenyewe...najua HipHop tofauti na unavyoijua na hao Migos sijaanza kuwajua leo kabla hata ya kutoa nyimbo ulizozitaja hapo mimi nilishawajua tayari coz nimeanza kufuatilia HipHop 1997 nawajua Rappers vizuri toka kipindi hicho mpaka leo..Facts zipi labda unataka niongelee wewe?Sasa Ukisema Migos Wanapewa Promo Unazidi Kudanganya Umma...Ukianzia Kwa Rapper Kama OFFSET, Uje Kwa TAKEOFF Alafu QUAVO...Kiujumla Wanajua Na Hata Ukisikiliza Ngoma Zao Kuanzia LOOK AT MY DAB, CACOON, T-SHIRT, NARCOS, BAD & BOUJEE, MOTORSPORT...Ww Sio Mfuatiliaji Itakuwa Una-google Ndio Maana Unaonge Bila FACTS
Unamzungumziaje NFSiku hizi mwenye misingi ya HIP HOP wamebaki Juicy J,Joyner Lucas,2chains,Gucci Mane,Kendrick Lamar na Jcole basi..
Lil nayemjua ni Lil Wayne peke yake
Hawa wengine sijui
Lil yatch
Lil biby
Lil nas x
Lil pump
Lil baby...
Ni kina Lilian tu
Ndio migos huwa najiuliza hawa jamaa wanakubalika vipi