Wapenda maua mje basi na maua yenu

Wapenda maua mje basi na maua yenu

Kujifunza kuogelea ama
Ila kama ni Hotel nzuri na utulivu haina tabu
Beach boys sio watoto wema 😄 🤣
🤣🤣Washenzi wale watoto...wanakuambia kabisa kama hutoi nyapu tunakuacha hukuhuku....

Yaan muda wote mbo imewasimama🙌
 
Kwa kweli kwa kujitolea kwao kule...Ngoma hawakosi
Sasa wasichana mnaendaje peke yenu bila mtu?
Sijaelewa kabisa ingawa sijawahi kufika huko ila wengi huwa wapo peke yao na ndio vijana nao wanapata nafasi ya kupita nao
Nimesoma sana humu wakiwazungumzia wanaotaka kufundishwa kuogelea
Ila hawafai kabisa lazima wadhibitiwe
 
Sasa wasichana mnaendaje peke yenu bila mtu?
Sijaelewa kabisa ingawa sijawahi kufika huko ila wengi huwa wapo peke yao na ndio vijana nao wanapata nafasi ya kupita nao
Nimesoma sana humu wakiwazungumzia wanaotaka kufundishwa kuogelea
Ila hawafai kabisa lazima wadhibitiwe
Mimi ni mmama,sijui wasichana... stress zikiwa nyingi unaenda pekeyako kubarizi....tunaona yanayofanyika na kwa namna wasichana wanavyosimulia ni kama nao wanapendezwa nayo
 
Mimi ni mmama,sijui wasichana... stress zikiwa nyingi unaenda pekeyako kubarizi....tunaona yanayofanyika na kwa namna wasichana wanavyosimulia ni kama nao wanapendezwa nayo
Nimekuelewa vizuri
Kweli maadili hakuna tena
Watoto wamefanya ndio sehemu ya kufanya mapenzi daa
Anyway tuendelee sasa tulikoishia kwenye maua yetu au sio 😄
 
Nimekuelewa vizuri
Kweli maadili hakuna tena
Watoto wamefanya ndio sehemu ya kufanya mapenzi daa
Anyway tuendelee sasa tulikoishia kwenye maua yetu au sio 😄
🤣🤣Yapi,ya kitulo ukotaka kwenda kugaragara?
 
🤣🤣Yapi,ya kitulo ukotaka kwenda kugaragara?
Kwanza nimepata na mwenyeji acha nije na wewe ukapaone 😄
Halafu nimepita duka moja jioni nikaona nikupigie picha hii
20241207_161008~2.jpg
 
Back
Top Bottom