Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kitulo National Park si ipo Mbeya ama🤣🤣🤣Nipo mbeya jamani...hiyo ni mbeya sehemu gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitulo National Park si ipo Mbeya ama🤣🤣🤣Nipo mbeya jamani...hiyo ni mbeya sehemu gani mkuu
HaswaaaKitulo
Jamani, basi wewe sio mpenzi wa vivutioKumbe,mi nipo tu huku sijui kitu
Kujifunza kuogelea amaNaenda dar coco na ununio Beach🤣🤣🥴
Hao kiboko 😄 🤣🤣🤣Washenzi wale watoto...wanakuambia kabisa kama hutoi nyapu tunakuacha hukuhuku....
Yaan muda wote mbo imewasimama🙌
Sasa wasichana mnaendaje peke yenu bila mtu?Kwa kweli kwa kujitolea kwao kule...Ngoma hawakosi
Mimi ni mmama,sijui wasichana... stress zikiwa nyingi unaenda pekeyako kubarizi....tunaona yanayofanyika na kwa namna wasichana wanavyosimulia ni kama nao wanapendezwa nayoSasa wasichana mnaendaje peke yenu bila mtu?
Sijaelewa kabisa ingawa sijawahi kufika huko ila wengi huwa wapo peke yao na ndio vijana nao wanapata nafasi ya kupita nao
Nimesoma sana humu wakiwazungumzia wanaotaka kufundishwa kuogelea
Ila hawafai kabisa lazima wadhibitiwe
Nimekuelewa vizuriMimi ni mmama,sijui wasichana... stress zikiwa nyingi unaenda pekeyako kubarizi....tunaona yanayofanyika na kwa namna wasichana wanavyosimulia ni kama nao wanapendezwa nayo
Kwanza nimepata na mwenyeji acha nije na wewe ukapaone 😄🤣🤣Yapi,ya kitulo ukotaka kwenda kugaragara?
Duu,mazuri kweli?Kwanza nimepata na mwenyeji acha nije na wewe ukapaone 😄
Halafu nimepita duka moja jioni nikaona nikupigie picha hii View attachment 3171622
Umependa lipi?Duu,mazuri kweli?
Yaani ndio hayo hayo jicho langu lilipoangukia nilipoyaona tu ♥️Yale yenye mchanganyiko weupe na wekundu
Wahenga walisema Mficha uchi hazai, jiongezewacha izo bwan 😂