Wapendwa naomba ufafanuzi aliyefufuliwa baada ya kuwa amekufa kwa muda wa miaka Mia?

Again, hii ni story ya Qur'an au Hadith tu (fantasy)....havina uhalisia wowote. Usipende sana kuamini hivi vitabu kwani vimetungwa na watu tu kama vile wewe na mimi kwa kusingizia Mungu.
 
We mokiti mpuuzi kweli .kwahiyo zumaridi na shillah ndio unawafananisha na hizo aya hapo juu????
Ndio walipo iga , hakuna maali pengine wala mtume yoyote wa biblia alidai alipwe kwanza kabla ya huduma
Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
 
Ndio walipo iga , hakuna maali pengine wala mtume yoyote wa biblia alidai alipwe kwanza kabla ya huduma
Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
Huna unachojua ww unaokota okota tu.alafu unafanya kama hoja kumbe kichwani hamna kitu.unataka tu kudhihirisha ujinga wako mbele za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…