Wapendwa naona kama mwisho wangu umekaribia

Status
Not open for further replies.
Hili nalo neno mkuu
 
Ni kweli ungekuwa na mtaji ungefungua hata genge ikawa unapambna km Kuna mtu nyumbni ukamuacha ukaenda kupmbna huko japo kule ni mateso mapumziko ukafanya shughuli nyingine ni changamoto
Sahihi mkuu .kwa maelezo haya inaonyesha jinsi gani unaelewa mazingira ya kazi za viwandani
 
Ajira za Pesa zipo km zote Sema zinataka Kutokua na Hofu ya Mungu,
 
Mkuuu mini pale unapodhani ni mwisho ndio huwa mwanzo mpya, nina uzoefu ni hill zaidi ya mara mbili, kwa sasa jitupe mikononi mwa Mungu asilimia kwa asikimia 100
 
Pole Mkuu bado una pakuanzia. Chukua mkopo weka dhamana nyumba. Walau million tano. Swala la ufanye biashara gani ni swala lingine. Pia jiungamanishe kwenye maombi huko sijui Mwamposa sijui nani hukoo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…